Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Usikubali kuomba radhi!

RAIS wangu sikubaliani na wote wanaokutaka uombe radhi kwa agizo lako uliloagiza! Uombe radhi kwa kosa lipi? Kusema "Acheni unyonge, uvumilivu una ukomo wake," si kauli ya kuomba radhi. Uombe...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

FACEBOOK YALAZIMIKA KUOMBA RADHI

Wanaume na wanawake waliobadili jinsia yao au (transgender) kwa kusisitiza kuwa lazima watumie majina yao halisi kwenye kurasa sao za mtandao huo. Mtandao wa Facebook umewaomba radhi jamii ya wanaume na wanawake waliobadili jinsia yao au (transgender) kwa kusisitiza kuwa lazima watumie majina yao halisi kwenye kurasa sao za mtandao huo.
Kurasa nyingi za watu wa jamii hiyo zilianikwa au kufichuliwa na mtumiaji mmoja mwezi jana...

 

10 years ago

BBCSwahili

Joe Biden alazimika kuomba radhi

Makamu wa Rais wa Marekani, Joe Biden,amewaomba radhi maafisa wakuu wa Milki za kiarabu baada ya kudai wanaunga mkono wapiganaji Syria

 

10 years ago

Africanjam.Com

NEYMAR AANDIKA UJUMBE MREFU WA KUHUDHUNISHA KUOMBA RADHI

Neymar ambae hivi karibuni amepigwa panga la kukosa mechi nne kwenye Copa America baada ya kitendo cha utovu wa nidhamu alichofanya kwenye mechi.Licha ya kuwa nje ya uwanja lakini bado anaendelea kuwa supporter mkubwa wa timu yake kwa kukaa jukwaani akishangilia timu yake.
Sasa baada ya kuzungumza na waandishi wa habari kuhusu kujutia kitendo alichokifanya lakini bado ametumia muda mrefu kuandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kwa lugh ya kireno jinsi gani anazidi kujutia nafasi...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Tanzania Daima

Prof. Assad usikubali kuyumbishwa

RAIS Jakaya Kikwete, amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Ludovick Utouh ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria. Profesa...

 

11 years ago

GPL

USIKUBALI KUACHIKA UKIWA KWENYE UCHUMBA!

UJANA una mambo mengi lakini vijana wa zama hizi tumezidisha. Matukio ndani ya uhusiano ni mengi zaidi ya wakati uliopita. Kukutana na wanandoa wanaoachana baada ya miaka miwili tu ni jambo la kawaida siku hizi. Si ajabu tena kusikia msichana amechumbiwa na amevalishwa pete kabisa lakini baada ya siku kadhaa anaachwa. Hii ni aibu! Utakuta msichana hadi anaingia kwenye ndoa, ameshavaa pete za uchumba kutoka kwa wanaume hata wanne...

 

9 years ago

GPL

KAMA HANA SIFA HIZI 5, USIKUBALI NDOA

Ni Jumanne nyingine ambapo mamilioni ya Watanzania masikio na macho ni kwenye matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika juzi, Jumapili nchini kote. Mimi kabla sijaendelea mbele na mada ya mapenzi, napenda kuwaasa Watanzania wenzangu kwamba, matokeo yoyote ya uchaguzi tuyapokee kama changamoto na kusubiri miaka mingine mitano. Hakuna haja ya kugombana wala kujengeana chuki. Tanzania ni nchi ya amani. Sasa turudi kwenye mada yetu ya...

 

10 years ago

Vijimambo

KUBALI USIKUBALI, MWANA YA ALIKIBA NI DONGO KWA DIAMOND, USHAHIDI HUU HAPA.

BONGOCLAN.CO.TZ DIAMONDHUU HAPA UTHIBITISHO.Mali ni nyingi nyumbani, kipi kimekukimbiza,
Hapa Alikiba, anamwambia Diamond, nyumbani ( SHAROBARO RECORDS) kuna kila kitu, beats kali, management nzuri and all that, kitu gani kilimkimbiza SHAROBARO RECORDS?Ona babio mamio wote wanakulilia,HAPA ALIKIBA ANAMAANISHA, SHAROBARO RECORDS, WAKIONGOZWA NA BOB JUNIOR, WOTE WANAMLALAMIKIA DIAMOND KWA KITENDO CHAKE CHA KUKIMBIA KUFANYA KAZI SHAROBARO. (BOB JUNIOR ALIPIGA KELELE SANA DIAMOND ALIPOKIMBIA SHAROBARO RECORDS )Mtoto...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani