Usikubali kuomba radhi!
RAIS wangu sikubaliani na wote wanaokutaka uombe radhi kwa agizo lako uliloagiza! Uombe radhi kwa kosa lipi? Kusema "Acheni unyonge, uvumilivu una ukomo wake," si kauli ya kuomba radhi. Uombe...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jPvKO*I18G8*m*ds1BkeC1*MnSMP0rslz9MrbdyKyn-ulnch1HWFFr8wQfIE9fx1gp2Pu2pX5pQNpDsCunR7iip7ceTl1h2b/facebook.jpg?width=650)
FACEBOOK YALAZIMIKA KUOMBA RADHI
Wanaume na wanawake waliobadili jinsia yao au (transgender) kwa kusisitiza kuwa lazima watumie majina yao halisi kwenye kurasa sao za mtandao huo. Mtandao wa Facebook umewaomba radhi jamii ya wanaume na wanawake waliobadili jinsia yao au (transgender) kwa kusisitiza kuwa lazima watumie majina yao halisi kwenye kurasa sao za mtandao huo.
Kurasa nyingi za watu wa jamii hiyo zilianikwa au kufichuliwa na mtumiaji mmoja mwezi jana...
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Joe Biden alazimika kuomba radhi
Makamu wa Rais wa Marekani, Joe Biden,amewaomba radhi maafisa wakuu wa Milki za kiarabu baada ya kudai wanaunga mkono wapiganaji Syria
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-xmZJdDQZQT0/VYmOwKSqhcI/AAAAAAAACLw/l1ugfOXM49w/s72-c/neymar-wiping-the-tears-of-his-face-after-crying.jpg)
NEYMAR AANDIKA UJUMBE MREFU WA KUHUDHUNISHA KUOMBA RADHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-xmZJdDQZQT0/VYmOwKSqhcI/AAAAAAAACLw/l1ugfOXM49w/s400/neymar-wiping-the-tears-of-his-face-after-crying.jpg)
Sasa baada ya kuzungumza na waandishi wa habari kuhusu kujutia kitendo alichokifanya lakini bado ametumia muda mrefu kuandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kwa lugh ya kireno jinsi gani anazidi kujutia nafasi...
10 years ago
Michuzi06 Dec
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
Prof. Assad usikubali kuyumbishwa
RAIS Jakaya Kikwete, amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Ludovick Utouh ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria. Profesa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbKh-JY2ugPcR21raijCHt0ZAoTU3KrEbpn34e4HwsILlsV8-w3OnsDp7hBUb88Wu0hgm1RvV-3Pu1WkmIKCge7y/mahaba.jpg?width=650)
USIKUBALI KUACHIKA UKIWA KWENYE UCHUMBA!
UJANA una mambo mengi lakini vijana wa zama hizi tumezidisha. Matukio ndani ya uhusiano ni mengi zaidi ya wakati uliopita. Kukutana na wanandoa wanaoachana baada ya miaka miwili tu ni jambo la kawaida siku hizi. Si ajabu tena kusikia msichana amechumbiwa na amevalishwa pete kabisa lakini baada ya siku kadhaa anaachwa. Hii ni aibu! Utakuta msichana hadi anaingia kwenye ndoa, ameshavaa pete za uchumba kutoka kwa wanaume hata wanne...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y8Xf2kBXWFkO7vYvjy9Ch9K0j315IwY5890VTVJ7Ut8kOzF0cnr4m8IqbDrY6JfNc4YdBoEVG5W-SfAjYMDkyjfCysCySx5X/couplehappilysleeping.jpg?width=650)
KAMA HANA SIFA HIZI 5, USIKUBALI NDOA
Ni Jumanne nyingine ambapo mamilioni ya Watanzania masikio na macho ni kwenye matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika juzi, Jumapili nchini kote. Mimi kabla sijaendelea mbele na mada ya mapenzi, napenda kuwaasa Watanzania wenzangu kwamba, matokeo yoyote ya uchaguzi tuyapokee kama changamoto na kusubiri miaka mingine mitano. Hakuna haja ya kugombana wala kujengeana chuki. Tanzania ni nchi ya amani. Sasa turudi kwenye mada yetu ya...
10 years ago
Vijimambo07 Oct
KUBALI USIKUBALI, MWANA YA ALIKIBA NI DONGO KWA DIAMOND, USHAHIDI HUU HAPA.
![BONGOCLAN.CO.TZ DIAMOND](http://www.bongoclan.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/BONGOCLAN.CO_.TZ-DIAMOND.jpg)
Hapa Alikiba, anamwambia Diamond, nyumbani ( SHAROBARO RECORDS) kuna kila kitu, beats kali, management nzuri and all that, kitu gani kilimkimbiza SHAROBARO RECORDS?Ona babio mamio wote wanakulilia,HAPA ALIKIBA ANAMAANISHA, SHAROBARO RECORDS, WAKIONGOZWA NA BOB JUNIOR, WOTE WANAMLALAMIKIA DIAMOND KWA KITENDO CHAKE CHA KUKIMBIA KUFANYA KAZI SHAROBARO. (BOB JUNIOR ALIPIGA KELELE SANA DIAMOND ALIPOKIMBIA SHAROBARO RECORDS )Mtoto...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania