Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMA HANA SIFA HIZI 5, USIKUBALI NDOA

Ni Jumanne nyingine ambapo mamilioni ya Watanzania masikio na macho ni kwenye matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika juzi, Jumapili nchini kote. Mimi kabla sijaendelea mbele na mada ya mapenzi, napenda kuwaasa Watanzania wenzangu kwamba, matokeo yoyote ya uchaguzi tuyapokee kama changamoto na kusubiri miaka mingine mitano. Hakuna haja ya kugombana wala kujengeana chuki. Tanzania ni nchi ya amani. Sasa turudi kwenye mada yetu ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

VAI ADAI HANA SIFA ZA MKE

Msanii wa filamu asiyeishiwa vituko, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’. Imelda Mtema KATIKA hali ya kushangaza, msanii wa filamu asiyeishiwa vituko, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ amekiri kuwa tabia zake za kulewa kila siku zinamfanya kukosa sifa za kuwa mke wa mtu. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Vai alisema ameshazoea kupiga ulabu hata akiamka asubuhi, kitu kinachomshawishi kuamini kuwa ni vigumu kumpata...

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE WA KUMUOA HANA SIFA ZA KUWA MPENZI

YES! Ni Jumanne tena, wenye imani haba husema kwa kawaida Jumanne si siku yenye baraka kifedha! Si kweli! Mungu alipoumba mbingu na dunia aliziona siku zote saba ni njema ila matumizi yetu wanadamu ndiyo yana kasoro! Jumanne ya leo Mungu ameniwezesha kuwafikia tena, ninakuja na mada nzuri sana. Kwamba, Mwanamke wa Kumuoa Hana Sifa za Kuwa Mpenzi.Wengi wanaweza kupingana na huu utafiti wangu lakini nawaomba wasome mada hii mwanzo...

 

10 years ago

Mwananchi

Hizi ndizo sifa za mwalimu bora- 1

Ualimu ni mojawapo ya fani muhimu kwa maendeleo ya taifa lolote lile duniani. Kila mmoja wetu anatambua umuhimu na michango ya walimu katika maisha yake ya kila siku.

 

10 years ago

Mwananchi

Hizi ndizo sifa za mwalimu bora- 2

Katika makala iliyopita tuliangalia baadhi ya sifa anazotakiwa kuwa nazo mwalimu. Katika makala haya tutaendelea na sifa nyingine.

 

10 years ago

GPL

SHEHE: AUNT EZEKIEL HANA NDOA

Stori: Gladness Mallya na Chande Abdallah
SHEIKH Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa ameweka wazi kuwa msanii nyota wa filamu, Aunt Ezekiel ambaye aliolewa na Sunday Demonte hana ndoa kutokana na kukaa mbali na mumewe kwa zaidi ya miezi sita. Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa akizungumza jambo. “Hakuna ndoa kati ya mtu yeyote ambaye amezidi miezi 6 bila kukutana na mumewe kwa mujibu wa dini ya...

 

9 years ago

Bongo5

Hizi ndio sifa za mwanamke ambaye AY atataka kumuoa

Rapper Ambwene Yessaya aka AY amezitaja sifa za mwanamke ambaye atakuja kumuoa pindi muda ukifika. “Wanawake wazuri wapo wengi,” alisema” Nimekutana na wengi bali kuchagua mke sahihi ni kitu kinachohitaji busara na endapo nikisema niangalie uzuri wa mwanamke nitapoteza malengo yangu. Nahitaji mwanamke ambaye yupo smart kichwani,” AY aliliambia gazeti la mwananchi. Pia AY alisema […]

 

9 years ago

MillardAyo

Good News: Rock City Mall imekamilika, hizi ndio sifa zake kubwa usizozijua…(+Audio)

Kwa mara nyingine tena nakusogezea stori kutokea Mwanza kuhusiana na jengo jipya la Rock City Mall ambalomiezi kadhaa iliyopita lilianza kuchukua headlines baada ya kuonekana ndio Shopping Mall kubwa kuwahi kujengwa katika jiji hilo. hapa nakukutanisha na Joseph Mlinzi kabibu wa kampuni iliyojenga jengo hilo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]

The post Good News: Rock City Mall imekamilika, hizi ndio sifa zake kubwa usizozijua…(+Audio) appeared first...

 

10 years ago

Raia Mwema

CCM Kama Babeli, imepoteza sifa na uhalali wa kutawala

KATI ya mwaka 605- 539 Kabla ya kuzaliwa Kristo (KK) na baada ya baada ya gharika, jambo muhimu l

Fred Mpendazoe

 

9 years ago

Bongo5

Kim Kardashian ataja jina alilomchagulia mtoto anayetarajia kujifungua, japo hana uhakika kama Kanye atalipenda

Baada ya familia ya Kanye West na Kim Kardashian kushare na ulimwengu jinsia ya mtoto wanayetarajia kumpata siku ya Christmas kuwa ni wa kiume, sasa kinachofata ni jina. Staa wa reality show ya KUWTK, Kim K (34) amesema kuwa kuna jina ambalo yeye binafsi angependa kumwita mwanaye pindi atakapozaliwa ambalo ni Easton, lakini hana uhakika […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani