Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM Kama Babeli, imepoteza sifa na uhalali wa kutawala

KATI ya mwaka 605- 539 Kabla ya kuzaliwa Kristo (KK) na baada ya baada ya gharika, jambo muhimu l

Fred Mpendazoe

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

MAADILI: MAT: IMTU imepoteza sifa

>Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), kimezitaka mamlaka zinazohusika kuchukua hatua kali za haraka dhidi ya taasisi na watu waliojihusisha na utupaji wa mabaki ya viungo vya binadamu katika Bonde la Mto Mpiji, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita.

 

9 years ago

Mwananchi

ZEC imepoteza sifa kusimamia uchaguzi Zanzibar-ADC

Mwenyekiti wa chama cha ADC, Said Miraaj Abdulla amesema Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) haiwezi kusimamia tena uchaguzi wa Zanzibar baada ya siku 90 kwa sababu ina mapungufu mengi kama yaliyobainishwa na mwenyekiti wake, Jecha Salim Jecha wakati akitangaza kufuta matokeo ya uchaguzi huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Naifananisha CCM na Mnara wa Babeli

Idadi ya waliokuwa watangazania kupitia Chama cha Mapinduzi ilifikia 42. Wengi tulijiuliza je, hii ni demokrasia ya kweli au ni uchu wa madaraka?

 

10 years ago

Mwananchi

Msishangae, CCM imegeuka kuwa mnara wa Babeli!

Sasa ni dhahiri kwamba mwelekeo wa nchi yetu umetufikisha mahali pabaya. Haya tumeyasema, tumeyaandika, wengine tumeyahubiri, lakini serikali yetu tukufu ya CCM haisikiii.

 

9 years ago

Raia Mwema

Hakuna jipya, CCM imepoteza mwelekeo

NINAANDIKA kujibu makala ya Dk.

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Sefu atamba CCM kuendelea kutawala

948

Balozi Seif akiwapongeza Viongozi wa CCM Majimbo,Wadi, na Matawi yaliyomo ndani ya Wilaya ya kati kwa kusimamia vyema ujenzi wa ofisi za chama hicho katika maeneo mbali mbali ya Wilaya hiyo.(Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ).

975

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif akiwasisitiza wana CCM wa matawi na Wadi za Wilaya ya Kati Kujenga Ofisi za chama zitakazoambatana na miradi ya kuichumi ili kuepuka tegemezi alipokuwa katika ziara ya kukagua ujenzi wa ofisi hizo.

Mjumbe wa Kamati Kuu...

 

9 years ago

GPL

KAMA HANA SIFA HIZI 5, USIKUBALI NDOA

Ni Jumanne nyingine ambapo mamilioni ya Watanzania masikio na macho ni kwenye matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika juzi, Jumapili nchini kote. Mimi kabla sijaendelea mbele na mada ya mapenzi, napenda kuwaasa Watanzania wenzangu kwamba, matokeo yoyote ya uchaguzi tuyapokee kama changamoto na kusubiri miaka mingine mitano. Hakuna haja ya kugombana wala kujengeana chuki. Tanzania ni nchi ya amani. Sasa turudi kwenye mada yetu ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Sifa kumi za mgombea urais wa CCM

Hivi karibuni nimesaidiana kimawazo na Watanzania wenzangu katika kufanya uchambuzi wa watu wanaotajwa au waliojitangaza kuwa watawania uteule wa urais kupitia CCM na nalishukuru gazeti hili kwa kukubali kuchapisha maoni yangu.

 

10 years ago

Mwananchi

Kingunge: Waliojitokeza kuwania urais CCM hawana sifa

Harakati za kuwania urais ndani ya CCM zimeingia katika hatua mpya baada ya mwanasiasa mkongwe, Kingunge Ngombale - Mwiru kuibuka na kudai kuwa wote waliojitokeza kuwania nafasi hiyo hawana sifa kwa kuwa wanatumia fedha kutaka kuingia Ikulu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani