Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi Sefu atamba CCM kuendelea kutawala

948

Balozi Seif akiwapongeza Viongozi wa CCM Majimbo,Wadi, na Matawi yaliyomo ndani ya Wilaya ya kati kwa kusimamia vyema ujenzi wa ofisi za chama hicho katika maeneo mbali mbali ya Wilaya hiyo.(Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ).

975

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif akiwasisitiza wana CCM wa matawi na Wadi za Wilaya ya Kati Kujenga Ofisi za chama zitakazoambatana na miradi ya kuichumi ili kuepuka tegemezi alipokuwa katika ziara ya kukagua ujenzi wa ofisi hizo.

Mjumbe wa Kamati Kuu...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Sefu Iddi ataka jamii itumie fursa elimu ya juu

795

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akiwa na Mwenyeji wake Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dr. Asha-Rose Migiro wakiliongoza Gwaride kulingia kwenye uwanja wa Mahafali ya 26 ya chuo kikuu huria cha Tanzania yaliyofanyika Makamu Makuu yake Bungo Kibaha, Mkoa wa Pwani.

Na Othman Khamis Ame

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewahimiza Watanzania kuitumia  fursa  inayotolewa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (CKHT) katika kujipatia Taaluma  huku wakiendelea na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Balozi Sefu Iddi abariki tamasha la 17 la ZIFF 2014 visiwani Zanzibar

DSC_0157

Makamu wa Rais wa Pili wa Zanzibar, Balozi Sefu Ali Iddi akisalimiana na baadhi ya wageni alipowasili kwenye ufunguzi wa Tamasha la 17 la ZIFF  Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya ZIFF Mh. Mahmoud Thabit Kombo.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).

DSC_0159

Mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Sefu Ali Iddi akisalimiana na Mgeni maalum mwalikwa mwigizaji wa filamu ya MANDELA “Long Walk to Freedom” Terry Pheto ambayo ilifungua tamasha hilo la 17 la ZIFF usiku wa kuamkia leo visiwani...

 

11 years ago

GPL

BALOZI SEFU IDDI ABARIKI TAMASHA LA 17 LA ZIFF 2014 VISIWANI ZANZIBAR‏

Makamu wa Rais wa Pili wa Zanzibar, Balozi Sefu Ali Iddi akisalimiana na baadhi ya wageni alipowasili kwenye ufunguzi wa Tamasha la 17 la ZIFF Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya ZIFF Mh. Mahmoud Thabit Kombo. Mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Sefu Ali Iddi akisalimiana na Mgeni maalum mwalikwa mwigizaji wa filamu ya MANDELA "Long Walk to Freedom" Terry Pheto ambayo ilifungua tamasha hilo la 17 la ZIFF usiku wa...

 

10 years ago

Raia Mwema

CCM Kama Babeli, imepoteza sifa na uhalali wa kutawala

KATI ya mwaka 605- 539 Kabla ya kuzaliwa Kristo (KK) na baada ya baada ya gharika, jambo muhimu l

Fred Mpendazoe

 

10 years ago

Habarileo

Mwenyekiti CCM atamba kumng’oa Mchungaji Msigwa

Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa.MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu (39) amesema anayo nia na uwezo wa kumuangusha katika Uchaguzi Mkuu wa baadaye mwaka huu, Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini anayemaliza muda wake Mchungaji Peter Msigwa (Chadema).

 

10 years ago

Mtanzania

Malecela atamba CCM kusuluhisha Sudan Kusini

MALECELA.NA PENDO MANGALA, DODOMA
MWANASIASA mkongwe na Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM, John Malecela, amesema kitendo cha chama hicho kuwa mwenyeji katika mkutano wa usuluhishi wa mgogoro wa Sudan Kusini, anaamini ni moja ya mambo yatakayokisogeza mbele.
Malecela aliyekuwa msuluhishi wa mgogoro huo, alitoa kauli hiyo jana mjini hapa, wakati akiwashukuru wanaCCM wa Mkoa wa Dodoma kwa mapokezi makubwa, kwani ni heshima kwake na taifa.
“Kiukweli kazi ile ilikuwa ni ngumu sana kwani kusuluhisha watu...

 

11 years ago

Mwananchi

Mgeja atamba CCM ipo imara hakuna wa kuiyumbisha

>Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja amesema chama hicho kiko imara na kitaendelea hakuna mtu yeyote ndani na nje wa kukiyumbisha.

 

10 years ago

Habarileo

CCM yashinda viti vyote Monduli, Lowassa atamba

CHAMA Cha Mapinduzi wilayani Monduli imechukua nafasi zote katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, vitongoji na vijiji.

 

10 years ago

Mtanzania

Ni mtikisiko * Ukawa watesa miji mikubwa, ngome za CCM * Lowassa atamba

 

mtanzaniadaily.2indd
Na Waandishi Wetu, Dar na mikoani,

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetikiswa na vyama vinavyounda Umoja ya Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwenye matokeo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.
Katika uchaguzi huo uliofanyika nchini juzi, matokeo yanaonyesha kupanda kwa vyama vya upinzani hasa kwa kushinda maeneo yaliyokuwa yakiongozwa na CCM hali iliyokitikisa vilivyo chama hicho tawala.
Kutangazwa huko kwa matokeo hayo kunakuja baada ya kukamilika kwa uchaguzi huo katika baadhi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani