Malecela atamba CCM kusuluhisha Sudan Kusini
NA PENDO MANGALA, DODOMA
MWANASIASA mkongwe na Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM, John Malecela, amesema kitendo cha chama hicho kuwa mwenyeji katika mkutano wa usuluhishi wa mgogoro wa Sudan Kusini, anaamini ni moja ya mambo yatakayokisogeza mbele.
Malecela aliyekuwa msuluhishi wa mgogoro huo, alitoa kauli hiyo jana mjini hapa, wakati akiwashukuru wanaCCM wa Mkoa wa Dodoma kwa mapokezi makubwa, kwani ni heshima kwake na taifa.
“Kiukweli kazi ile ilikuwa ni ngumu sana kwani kusuluhisha watu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Oct
Tanzania kusuluhisha mgororo Sudan Kusini
TANZANIA imekubali kuwa msuluhishi wa mgogoro wa kisiasa ndani ya chama tawala cha Sudan Kusini cha Sudanese People’s Liberation Movement (SPLM) ulioibuka na kusababisha kuzuka kwa vita ya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Malecela asuluhisha mgogoro wa Sudan Kusini
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Rwanda na A.Kusini kusuluhisha mgogoro
10 years ago
Mwananchi24 Jan
CCM imeweza Sudan Kusini na ndani je?
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Zitto ahoji Malecela kutokwenda Afrika Kusini
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), amehoji Wizara ya Mambo ya Nje kwa kushindwa kuratibu safari ya Waziri Mkuu Msaafu, John Malecela, kuambatana na Rais katika Misa ya kumuaga...
10 years ago
TheCitizen08 Jun
Malecela seeks CCM nomination
10 years ago
Habarileo08 Jun
Dk Mwele Malecela ajitosa urais CCM
MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti Magonjwa ya Binadamu Dk Mwele Malecela mtoto wa Makamu wa zamani wa CCM John Malecela ni miongoni mwa wana CCM ambao wamejitosa kugombea urais kupitia CCM.
10 years ago
Dewji Blog04 Nov
Balozi Sefu atamba CCM kuendelea kutawala
Balozi Seif akiwapongeza Viongozi wa CCM Majimbo,Wadi, na Matawi yaliyomo ndani ya Wilaya ya kati kwa kusimamia vyema ujenzi wa ofisi za chama hicho katika maeneo mbali mbali ya Wilaya hiyo.(Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ).
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif akiwasisitiza wana CCM wa matawi na Wadi za Wilaya ya Kati Kujenga Ofisi za chama zitakazoambatana na miradi ya kuichumi ili kuepuka tegemezi alipokuwa katika ziara ya kukagua ujenzi wa ofisi hizo.
Mjumbe wa Kamati Kuu...
10 years ago
Habarileo08 Jun
Mwenyekiti CCM atamba kumng’oa Mchungaji Msigwa
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu (39) amesema anayo nia na uwezo wa kumuangusha katika Uchaguzi Mkuu wa baadaye mwaka huu, Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini anayemaliza muda wake Mchungaji Peter Msigwa (Chadema).