Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rwanda na A.Kusini kusuluhisha mgogoro

Rais Jacob Zuma wa Afrika-Kusini na Paul Kagame wa Rwanda wamekubaliana kuanzisha mazungumzo ya pamoja ya kumaliza mzozo wao wa kidiplomasia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kusuluhisha mgogoro katika ajira

Binadamu tuna tabia mbalimbali. Kuna wavumilivu, kuna wanaopenda kuelimisha wenzao, lakini pia kuna wengine wana hasira za haraka, hutenda bila kufikiri wala kufuata hatua. Waajiri na wajiriwa nao ni miongoni mwa binadamu, kwa hiyo haya yote wanaweza kuyafanya na wao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Adebayor apewa mda wa kusuluhisha mgogoro

Mkufunzi wa kilabu ya Tottenham Emmanuel Adebayor amepewa mapumziko kwa mara ya pili msimu huu lakini hatma yake katika kilabu ya Spurs haijulikani.

 

10 years ago

Habarileo

Tanzania kusuluhisha mgororo Sudan Kusini

TANZANIA imekubali kuwa msuluhishi wa mgogoro wa kisiasa ndani ya chama tawala cha Sudan Kusini cha Sudanese People’s Liberation Movement (SPLM) ulioibuka na kusababisha kuzuka kwa vita ya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.

 

10 years ago

Mtanzania

Malecela atamba CCM kusuluhisha Sudan Kusini

MALECELA.NA PENDO MANGALA, DODOMA
MWANASIASA mkongwe na Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM, John Malecela, amesema kitendo cha chama hicho kuwa mwenyeji katika mkutano wa usuluhishi wa mgogoro wa Sudan Kusini, anaamini ni moja ya mambo yatakayokisogeza mbele.
Malecela aliyekuwa msuluhishi wa mgogoro huo, alitoa kauli hiyo jana mjini hapa, wakati akiwashukuru wanaCCM wa Mkoa wa Dodoma kwa mapokezi makubwa, kwani ni heshima kwake na taifa.
“Kiukweli kazi ile ilikuwa ni ngumu sana kwani kusuluhisha watu...

 

11 years ago

Michuzi

JUKWAA LA KATIBA WATANGAZA KUSULUHISHA MGOGORO WA BUNGE MAALUM LA KATIBA

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Deus Kibamba akizungumza katika mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika ofisi za Jukwaa la Katiba jijini Dar es Salaam katika kutoa tamko rasmi za tathimini ya Jukwaa la Katiba Tanzania kuhusu Katiba Mpya, Tulipotoka, Tulipo na Tuendako. Pembeni ni Msimamizi wa Mradi wa taasisi isiyo ya kiserikali ya (NGO Network for Dodoma) Bw. Edward Mbogo (kushoto) na Mjumbe wa Jukwaa la Katiba toka Pemba Bw. Omari Omari.
Waandishi wa Habari wakifuatilia. --- Na...

 

10 years ago

BBCSwahili

SPLM kumaliza mgogoro Sudan Kusini

Vikundi vinavyopingana nchini Sudan Kusini vimesaini mkataba wa amani nchini Tanzania, ukilenga kumaliza mgogoro ulioua maelfu ya watu katika taifa hilo

 

10 years ago

Mwananchi

Malecela asuluhisha mgogoro wa Sudan Kusini

Viongozi waliogawanyika na kuanzisha mapigano ya wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama tawala cha Sudan People Liberation Movement (SPLM), Sudan Kusini wamekubaliana kuwajibika ili kurejesha amani na utulivu nchini humo.

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania tunajifunza nini mgogoro Sudan Kusini?

Januari 21, mwaka huu, Tanzania iliendelea kujiweka katika mstari wa juu kwenye masuala ya diplomasia amani ndani ya nchi za Bara la Afrika.

 

10 years ago

Mwananchi

Sudan Kusini wasaini makubaliano 43 ya kutatua mgogoro wao

Viongozi wa Chama tawala cha nchini Sudan Kusini, Sudan People Liberation Movement (SPLM) wametakiwa kuheshimu makubaliano 43 waliyosaini juzi usiku ili kusitishwa vita na kurejesha amani na kuifanyia marekebisho katiba ya nchi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani