Tanzania tunajifunza nini mgogoro Sudan Kusini?
Januari 21, mwaka huu, Tanzania iliendelea kujiweka katika mstari wa juu kwenye masuala ya diplomasia amani ndani ya nchi za Bara la Afrika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Oct
Ugunduzi wa gesi: Tanzania tunajifunza nini kwa Norway
Soko kubwa la mafuta na gesi asilia katika bara la Ulaya inaelezwa kuwa limetekwa na Norway. Shirika la ‘The U.S Energy Information Administration (EIA) linaitaja Norway kama taifa la tatu katika ushindani wa soko la gesi na mafuta duniani, ikitanguliwa na Urusi na Qatar.
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
SPLM kumaliza mgogoro Sudan Kusini
Vikundi vinavyopingana nchini Sudan Kusini vimesaini mkataba wa amani nchini Tanzania, ukilenga kumaliza mgogoro ulioua maelfu ya watu katika taifa hilo
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Malecela asuluhisha mgogoro wa Sudan Kusini
Viongozi waliogawanyika na kuanzisha mapigano ya wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama tawala cha Sudan People Liberation Movement (SPLM), Sudan Kusini wamekubaliana kuwajibika ili kurejesha amani na utulivu nchini humo.
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Sudan Kusini wasaini makubaliano 43 ya kutatua mgogoro wao
Viongozi wa Chama tawala cha nchini Sudan Kusini, Sudan People Liberation Movement (SPLM) wametakiwa kuheshimu makubaliano 43 waliyosaini juzi usiku ili kusitishwa vita na kurejesha amani na kuifanyia marekebisho katiba ya nchi hiyo.
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Tunajifunza nini kutoka Burkina Faso?
Hamkani si shwari nchini Burkina Faso. Utawala wa Rais Blaise Compaore umefikia tamati baada kuzidiwa na nguvu ya umma.
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Wadau tunajifunza nini kutoka kwa Diamond?
Wakati mwingine mtu mashuhuri anaweza kutoa somo kwa mamilioni ya watu, ikiwa atafuatiliwa kwa umakini. Hivi ndivyo inavyowapasa Watanzania kutafakari kwa kuangalia nini anachokifanya mwanamuziki Diamond Platnumz hasa katika upande wa kazi yake ya muziki.
11 years ago
Mwananchi09 Sep
Tunajifunza nini kifo cha Betty Ndejembi?
Betty Ndejembi ni msichana mrembo na mwanamitindo ambaye anatumia sana huduma za mitandao ya kijamii kwa ajili ya shughuli zake mbalimbali za kujiingizia kipato na kujitangaza zaidi.
11 years ago
Dewji Blog08 Sep
Sikiliza mjadala ulioongozwa na Mjengwa redioni ukiwa na mada ni nini tunajifunza kwa ajali ya Musoma?
Kwa kusikiliza mjadala huo bofya hapa
11 years ago
Habarileo16 Oct
Tanzania kusuluhisha mgororo Sudan Kusini
TANZANIA imekubali kuwa msuluhishi wa mgogoro wa kisiasa ndani ya chama tawala cha Sudan Kusini cha Sudanese People’s Liberation Movement (SPLM) ulioibuka na kusababisha kuzuka kwa vita ya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania