Tunajifunza nini kifo cha Betty Ndejembi?
Betty Ndejembi ni msichana mrembo na mwanamitindo ambaye anatumia sana huduma za mitandao ya kijamii kwa ajili ya shughuli zake mbalimbali za kujiingizia kipato na kujitangaza zaidi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo530 Aug
Unyanyasaji Mtandaoni + Kifo cha Betty Ndejembi, nani wa kumnyooshea kidole?
Imeandikwa na Malisa Godlisten Ninaandika makala hii nikitambua bayana kuwa itamuudhi kila mtu anayeingia mtandaoni kwa minajili ya kuwanyanyasa wengine. Lakini siku zote ninaamini katika busara hii: kuuchukia ukweli hakubadilishi ukweli kuwa uongo. Ukweli ni ukweli na uongo ni uongo. Ukweli hauwezi kuwa uongo, na kadhalika uongo hauwezi kuwa ukweli. Kamwe asilani. Wakati tunaomboleza kifo […]
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Tunajifunza nini kutoka Burkina Faso?
Hamkani si shwari nchini Burkina Faso. Utawala wa Rais Blaise Compaore umefikia tamati baada kuzidiwa na nguvu ya umma.
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Tanzania tunajifunza nini mgogoro Sudan Kusini?
Januari 21, mwaka huu, Tanzania iliendelea kujiweka katika mstari wa juu kwenye masuala ya diplomasia amani ndani ya nchi za Bara la Afrika.
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Wadau tunajifunza nini kutoka kwa Diamond?
Wakati mwingine mtu mashuhuri anaweza kutoa somo kwa mamilioni ya watu, ikiwa atafuatiliwa kwa umakini. Hivi ndivyo inavyowapasa Watanzania kutafakari kwa kuangalia nini anachokifanya mwanamuziki Diamond Platnumz hasa katika upande wa kazi yake ya muziki.
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Ugunduzi wa gesi: Tanzania tunajifunza nini kwa Norway
Soko kubwa la mafuta na gesi asilia katika bara la Ulaya inaelezwa kuwa limetekwa na Norway. Shirika la ‘The U.S Energy Information Administration (EIA) linaitaja Norway kama taifa la tatu katika ushindani wa soko la gesi na mafuta duniani, ikitanguliwa na Urusi na Qatar.
10 years ago
Dewji Blog08 Sep
Sikiliza mjadala ulioongozwa na Mjengwa redioni ukiwa na mada ni nini tunajifunza kwa ajali ya Musoma?
Kwa kusikiliza mjadala huo bofya hapa
9 years ago
Vijimambo14 Sep
KIFO CHA MTOI NINI KILITOKEA
Aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Lushoto mkoani Tanga, Mohamed Mtoi.
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, pamoja na makada wengine wa chama hicho, wanatarajiwa kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Lushoto mkoani Tanga, Mohamed Mtoi (39), aliyefariki dunia juzi usiku kwa ajali ya gari.
Kwa mujibu wa Mkuu wa Idara ya Mawasiliano wa Chadema, Tumaini Makene, mazishi hayo yanatarajiwa kufanyika leo saa 7:00 mchana katika kijiji cha...
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, pamoja na makada wengine wa chama hicho, wanatarajiwa kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Lushoto mkoani Tanga, Mohamed Mtoi (39), aliyefariki dunia juzi usiku kwa ajali ya gari.
Kwa mujibu wa Mkuu wa Idara ya Mawasiliano wa Chadema, Tumaini Makene, mazishi hayo yanatarajiwa kufanyika leo saa 7:00 mchana katika kijiji cha...
11 years ago
GPLKIFO CHA WAZIRI MGIMWA, KWA NINI...
Na Mwandishi Wetu
WAKATI taifa likiwa katika msiba kufuatia kifo cha Waziri wa Fedha, Mipango na Uchumi, Dk. William Mgimwa, wananchi wameitaka serikali kueleza kwa nini kwa kipindi chote cha kuumwa kwake, ugonjwa uliomuua ulifanywa siri. Marehemu Dk. William Mgimwa. Waziri Mgimwa alifariki dunia Jumatano (juzi) saa 5:20 asubuhi kwa saa za Afrika Kusini (Tanzania saa 6:20) katika Hospitali ya Mediclinic Klooff jijini...
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Miaka 18 ya kifo cha Tupac wasanii mmejifunza nini?
Leo dunia nzima inaadhimisha miaka 18 ya kifo cha nguli wa muziki wa kizazi kipya aliyewahi kuitikisa dunia ya vijana kwa miaka isiyozidi minane akiwa kinara na kisha kuaga dunia kwa kupigwa risasi na mahasimu wake na kufariki dunia siku ya saba baada ya kupoteza damu nyingi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania