Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Unyanyasaji Mtandaoni + Kifo cha Betty Ndejembi, nani wa kumnyooshea kidole?

Imeandikwa na Malisa Godlisten Ninaandika makala hii nikitambua bayana kuwa itamuudhi kila mtu anayeingia mtandaoni kwa minajili ya kuwanyanyasa wengine. Lakini siku zote ninaamini katika busara hii: kuuchukia ukweli hakubadilishi ukweli kuwa uongo. Ukweli ni ukweli na uongo ni uongo. Ukweli hauwezi kuwa uongo, na kadhalika uongo hauwezi kuwa ukweli. Kamwe asilani. Wakati tunaomboleza kifo […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tunajifunza nini kifo cha Betty Ndejembi?

Betty Ndejembi ni msichana mrembo na mwanamitindo ambaye anatumia sana huduma za mitandao ya kijamii kwa ajili ya shughuli zake mbalimbali za kujiingizia kipato na kujitangaza zaidi.

 

10 years ago

StarTV

UVCCM Singida waendelea kumnyooshea kidole Nyalandu

Na Emmanuel Michael,

Singida.

 

SAKATA la mvutano baina Umoja wa Vijana UVCCM Wilaya ya Singida Vijijini na Mbunge wao Mhe Lazaro Nyalandu, limechukua sura mpya baada ya kikao chake cha baraza kuadhimia kuitishwa haraka kwa mkutano mkuu wa Jumuiya hiyo ili kutoa hitimisho la maamuzi dhidi yake.

 

Umoja wa Vijana unamtuhumu Mbunge huyo wa Singida Kaskazini kusababisha Chama Cha Mapinduzi kupoteza Vijiji vinane na Vitongoji 50 katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika mwishoni mwa mwaka...

 

5 years ago

BBCSwahili

Pierre Nkurunziza: Nani anaiongoza Burundi baada ya kifo cha Nkurunziza?

Zaidi ya saa 48 baada ya kifo cha ghafla cha rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kumekuwa na sintofahamu kuhusu ni nani atakayechukuwa hatamu ya uongozi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani

Afisa akamatwa kwa mauaji ya Mmarekani mweusi aliyekuwa amekamatwa na polisi

 

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: Fahmi Dovutwa: Mwenyekiti wa chama cha UPDP

Historia yake Fahmi Nasoro Dovutwa ni Mwenyekiti wa kitaifa wa Chama cha United Peoples Democratic Party (UPDP). Alizaliwa Februari 27, 1957 mjini Kisarawe mkoani Pwani (Amefikisha miaka 58 Februari mwaka huu).

 

9 years ago

Bongo5

WhatsApp yaongeza features mpya ikiwemo ‘emoji’ ya kidole cha kati!

WhatsApp imeboresha zaidi huduma zake kwa kuongeza baadhi ya vitu ambavyo havikuwepo katika matoleo yaliyopita. Maboresho hayo ni kwa watumiaji simu za Android. Katika version mpya 2.12.250, sasa mtumiaji wa WhatsApp anaweza ku-customize notifications kwa mtu mmoja mmoja au kwa kila kundi alilonalo, ikiwemo vibration length, popup notification, notification light na call notification tone. Kingine […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Pombe chanzo cha unyanyasaji wa kijinsia’

MRATIBU wa Kituo cha Usuluhishi (CRC) kinachoratibiwa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (Tamwa), Elizabeth Muhangwa, amesema unywaji wa pombe unasababisha unyanyasaji wa kijinsia katika familia. Muhangwa alitoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Migogoro, vurugu chanzo cha unyanyasaji wanawake

IMEFIKA wakati Tanzania kupitia Bunge kuridhia Azimio la Umoja wa Mataifa namba 1325 (UN Resolution 1325) ili kukomesha vitendo vya kikatili na unyanyasaji wa kijinsia wanavyotendewa wananchi wasiokuwa na hatia,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani