WhatsApp yaongeza features mpya ikiwemo ‘emoji’ ya kidole cha kati!
WhatsApp imeboresha zaidi huduma zake kwa kuongeza baadhi ya vitu ambavyo havikuwepo katika matoleo yaliyopita. Maboresho hayo ni kwa watumiaji simu za Android. Katika version mpya 2.12.250, sasa mtumiaji wa WhatsApp anaweza ku-customize notifications kwa mtu mmoja mmoja au kwa kila kundi alilonalo, ikiwemo vibration length, popup notification, notification light na call notification tone. Kingine […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo507 Nov
Whatsapp yaongeza alama ya kuonesha ujumbe umesomwa na muda uliosomwa
Whatsapp wamewapunguzia sababu ya kujitetea wale wote wenye tabia za kutojibu message kwa kisingizio kuwa hawakuziona hata kama zilionesha tiki mbili kuashiaria zimefika. Sasa Whats App imeongeza alama ya kuonesha kuwa ujumbe umesomwa na muda ambao umesomwa. Kuanzia sasa ujumbe ambao tayari umepokelewa na kusomwa utakuwa unaonesha tiki mbili za blue upande wa kulia chini […]
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Uhusiano kati ya Korea Kusini na Kaskazini: Nini chanzo cha Uhasama uliopo kati ya mataifa haya
Miezi ya hivi karibuni , kumekuwa na uvumi kuhusu hali ya uchumi na afya kutokana na virusi vya corona, licha ya kwamba Korea Kaskazini ilithibitisha kuwa hakuna maambukizi ya corona.
10 years ago
MichuziPPF YAWANOA WAAJIRI KUHUSIANA NA HUDUMA ZAKE MPYA IKIWEMO PPF TAARIFA APP
10 years ago
Bongo530 Aug
Unyanyasaji Mtandaoni + Kifo cha Betty Ndejembi, nani wa kumnyooshea kidole?
Imeandikwa na Malisa Godlisten Ninaandika makala hii nikitambua bayana kuwa itamuudhi kila mtu anayeingia mtandaoni kwa minajili ya kuwanyanyasa wengine. Lakini siku zote ninaamini katika busara hii: kuuchukia ukweli hakubadilishi ukweli kuwa uongo. Ukweli ni ukweli na uongo ni uongo. Ukweli hauwezi kuwa uongo, na kadhalika uongo hauwezi kuwa ukweli. Kamwe asilani. Wakati tunaomboleza kifo […]
5 years ago
MichuziUBORESHWAJI KITUO CHA AFYA BUNDA MJINI IKIWEMO MAJENGO MAPYA NA VIFAA TIBA VYA KISASA
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Kitendawili cha Escrow: Chadema yaongeza orodha
Masikio ya Watanzania leo yameelekezwa kwa Rais Jakaya Kikwete watakapokuwa wakisikiliza hotuba yake kwa Taifa inayotarajiwa kujibu maswali yapatayo 10 ambayo yanatarajiwa kutegua kitendawili cha kashfa ya uchotaji wa Sh306 bilioni katika Akaunti ya Tegeta Escrow.
5 years ago
MichuziKIKUNDI CHA BARAKOA TZ CHAGAWA BARAKOA BURE ZAIDI YA 1000 MAENEO MBALIMBALI IKIWEMO VITUO VYA WATOTO YATIMA
Janga la ugonjwa wa virusi vya COVID-19 umeleta uhaba ya bidhaa nyingi humu nchini zikiwemo Barakoa. Rania Nasser ambaye ni mwanafunzi wa sekondari aliunda kikundi kinachojulikana kama Barakoa Tz cha kutengeneza na kugawa barakoa bure kwa wale wenye uhitaji. Nia yake kubwa ilikuwa ni kutengeneza barakoa nyingi na kuzigawa bure kwenye vituo vya polisi vilivyo karibu na nyumbani kwao bure kabisa.
Baada ya wiki moja, uhitaji wa barakoa uliongezeka maradufu na hivyo akaona umuhimu wake...
Baada ya wiki moja, uhitaji wa barakoa uliongezeka maradufu na hivyo akaona umuhimu wake...
5 years ago
Engadget09 Apr
Next year's emoji update will be delayed by six months
Next year's emoji update will be delayed by six months EngadgetThere aren't going to be any new emojis in 2021 NeowinThere might be no new Android or iOS emoji released in 2021 TechRadarEven emoji are being delayed because of coronavirus 😷 Android PoliceNew emoji will come to iPhones later than usual because of coronavirus 9to5MacView Full coverage on Google News
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania