Whatsapp yaongeza alama ya kuonesha ujumbe umesomwa na muda uliosomwa
Whatsapp wamewapunguzia sababu ya kujitetea wale wote wenye tabia za kutojibu message kwa kisingizio kuwa hawakuziona hata kama zilionesha tiki mbili kuashiaria zimefika. Sasa Whats App imeongeza alama ya kuonesha kuwa ujumbe umesomwa na muda ambao umesomwa. Kuanzia sasa ujumbe ambao tayari umepokelewa na kusomwa utakuwa unaonesha tiki mbili za blue upande wa kulia chini […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo527 Aug
WhatsApp yaongeza features mpya ikiwemo ‘emoji’ ya kidole cha kati!
10 years ago
Habarileo07 Aug
TFF yaongeza muda wa usajili
SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) limesogeza mbele dirisha la usajili kwa timu za Ligi Kuu, daraja la kwanza na la pili na sasa litafunga Agosti 20 badala ya jana kama ilivyopangwa awali.
10 years ago
Vijimambo08 Jan
WHATSAPP YANUNJA REKODI YA "UJUMBE"
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/10/141110112420_whatsapp_640x360_afp_nocredit.jpg)
10 years ago
BBCSwahili20 Mar
Ujumbe wa WhatsApp wasababisha talaka
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Whatsapp yavunja rekodi ya 'ujumbe'
10 years ago
Habarileo29 Jan
Bima ya Afya yaongeza muda kufanya uhakiki
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umeongeza muda wa mwezi mmoja kwa wanachama wake kuweza kuhakiki taarifa zao, kabla ya kuhitimisha utaratibu huo ifikapo Februari 28, mwaka huu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0mycjQHjaZanStRRGVjQG1ecSKXHfe4vCXFSykqsqUCF6WjEXsZfCAiGDLxL-eSAF9aSf36rSPLvQEAgnO1AtD1p/Pichana1.jpg?width=650)
SENSA YA VIWANDA TANZANIA: SERIKALI YAONGEZA MUDA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tNnbGK5x6Zo/VaYi3ce8KtI/AAAAAAAHp2c/EYYfH-79Amo/s72-c/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
Bodi ya Mikopo yaongeza muda wa kuwasilisha maombi
![](http://3.bp.blogspot.com/-tNnbGK5x6Zo/VaYi3ce8KtI/AAAAAAAHp2c/EYYfH-79Amo/s320/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeongeza muda wa waombaji mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016 kuwasilisha maombi yao hadi mwishoni mwa mwezi huu (31 Julai, 2015).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo (Jumatano, Julai 15, 2015) na Mkurugenzi Mtendaji wa (HESLB) Bw. George Nyatega, hatua hiyo imechukuliwa ilikuwapa fursa wombaji ambao hawajakamilisha kufanya hivyo.
“Hatua hii imechukuliwa ili kuwapa fursa wale ambao kwa sababu mbalimbali hawakuweza kufanya...
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Mbaroni kwa kusambaza ujumbe wa WhatsApp