Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WHATSAPP YANUNJA REKODI YA "UJUMBE"



Mtandao wa WhatsappKila siku zaidi ujumbe billioni 30 wa mtandao wa WhatsApp hutumwa kulingana na takwimu mpya zilizotolewa na afisa mkuu wa mtandao huo Jan Koum.Pia kuna watumiaji millioni 700 wanotumia mtandao huo mara kwa mara.Koum anasema kuwa shirika hilo linafurahia idadi kubwa ya wateja ilionao.Lakini idadi hiyo ni kubwa mno na hivyobasi kuwa vigumu kuelewa.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Whatsapp yavunja rekodi ya 'ujumbe'

Kila siku zaidi ujumbe billioni 30 za mtandao wa WhatsApp hutumwa kulingana na takwimu mpya zilizotolewa

 

10 years ago

BBCSwahili

Ujumbe wa WhatsApp wasababisha talaka

Mwanamume mmoja nchini Saudia amempa talaka mkewe kutokana na ujumbe wake katika mtandao wa WhatsApp.

 

9 years ago

Mwananchi

Mbaroni kwa kusambaza ujumbe wa WhatsApp

Sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015 imebisha hodi mjini Moshi baada ya mgombea Udiwani kata ya Soweto, Collins Mayyutta kushitakiwa kwa kosa linaloangukia chini ya sheria hiyo.

 

9 years ago

Michuzi

DW YAKANUSHA UJUMBE UNAOSAMBAA FACEBOOK NA WHATSAPP


Idhaa ya kiswahili ya DW hapa nchini inapenda kuwataarifu kuwa Wapendwa wake na watumiaji wa ukurasa wetu wa Facebook na wasikilizaji kwa jumla.
Kuna ujumbe unaosambazwa kwa njia wa Whatsapp katika mitandao ya kijamii kwamba DW inakusanya maoni kuhusu wagombea wawili wakuu wa uchaguzi wa Tanzania, John Magufuli wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Tungependa kuwajulisha hatufanyi utafiti wowote wa maoni kuhusu wagombea hao.

 

10 years ago

Bongo5

Whatsapp yaongeza alama ya kuonesha ujumbe umesomwa na muda uliosomwa

Whatsapp wamewapunguzia sababu ya kujitetea wale wote wenye tabia za kutojibu message kwa kisingizio kuwa hawakuziona hata kama zilionesha tiki mbili kuashiaria zimefika. Sasa Whats App imeongeza alama ya kuonesha kuwa ujumbe umesomwa na muda ambao umesomwa. Kuanzia sasa ujumbe ambao tayari umepokelewa na kusomwa utakuwa unaonesha tiki mbili za blue upande wa kulia chini […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Ronaldo ajivunjia rekodi, aweka rekodi mpya

IGxwi

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji bora wa dunia mwaka 2014 na mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo (pichani)ameweka rekodi mpya katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA baada ya hapo jana kufunga goli 4 katika mchezo kati ya Real na Malmo.

Magoli ya Ronaldo yalifungwa katika dakika ya 39, 47, 50 na 58 na kufanikiwa kufikisha magoli 11 katika michezo ya makundi rekodi ambayo ilikuwa haijawahi kufikiwa na mchezaji yoyote.

Kabla ya kuweka rekodi hiyo mpya, Ronaldo alikuwa na...

 

10 years ago

Africanjam.Com

HOW TO USE WHATSAPP WITHOUT ANY NUMBER


Just think about using whatsapp without registering any number, that will be very cool as you will be using the whatsapp anonymously.
First of all, Save your complete Whatsapp data to your phone and uninstall the existing Whatsapp account.Now, switch your phone to Airplane Mode then Download and Install new Whatsapp on your phone.After that, go with on-screen instructions and put your phone number there, don’t it will not send the message as your phone is on flight mode.Now, it will ask you...

 

10 years ago

Africanjam.Com

HOW TO INSTALL AND USE WHATSAPP ON YOUR PC


Step 1: Download and install Bluestacks App player from the link provided at the bottom of this article.Note: Bluestacks App player is not compatible with certain anti viruses such as Bitdefender.Step 2: Once Bluestacks App player is installed, run it.Step 3: Once you run Bluestacks App player, you will be greeted with the following screen where you will be prompted to sign in with your Google account, so that you can access the Google Play Store.Step 4: Click on continue and sign in with...

 

11 years ago

GPL

FACEBOOK KUINUNUA WHATSAPP

KAMA ulikuwa hufahamu, habari kuu katika ulimwengu wa Teknohama kwa siku ya leo ni Facebook kuinunua Whatsapp kwa bei ya dola bilioni 19.  Ununuzi huo ni wa programu pekee na siyo kampuni ingawa wafanyakazi wa Whatsapp watajiunga na timu ya Facebook moja kwa moja na kazi za Whatsapp zitaendelea kubaki kama zilivyo, alieleza Jan Koum ambaye ni muanzilishi wa Whatsapp. Kwa wasiofahamu, Whatsapp ni moja ya programu za simu za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani