Ujumbe wa WhatsApp wasababisha talaka
Mwanamume mmoja nchini Saudia amempa talaka mkewe kutokana na ujumbe wake katika mtandao wa WhatsApp.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo08 Jan
WHATSAPP YANUNJA REKODI YA "UJUMBE"
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/10/141110112420_whatsapp_640x360_afp_nocredit.jpg)
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Whatsapp yavunja rekodi ya 'ujumbe'
Kila siku zaidi ujumbe billioni 30 za mtandao wa WhatsApp hutumwa kulingana na takwimu mpya zilizotolewa
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Tp0ASyzxAJo/VhYZuuybTuI/AAAAAAAH9jQ/N8fmWjaXhSc/s72-c/y0KrpoL8.png)
DW YAKANUSHA UJUMBE UNAOSAMBAA FACEBOOK NA WHATSAPP
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tp0ASyzxAJo/VhYZuuybTuI/AAAAAAAH9jQ/N8fmWjaXhSc/s200/y0KrpoL8.png)
Kuna ujumbe unaosambazwa kwa njia wa Whatsapp katika mitandao ya kijamii kwamba DW inakusanya maoni kuhusu wagombea wawili wakuu wa uchaguzi wa Tanzania, John Magufuli wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Tungependa kuwajulisha hatufanyi utafiti wowote wa maoni kuhusu wagombea hao.
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Mbaroni kwa kusambaza ujumbe wa WhatsApp
Sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015 imebisha hodi mjini Moshi baada ya mgombea Udiwani kata ya Soweto, Collins Mayyutta kushitakiwa kwa kosa linaloangukia chini ya sheria hiyo.
10 years ago
Bongo507 Nov
Whatsapp yaongeza alama ya kuonesha ujumbe umesomwa na muda uliosomwa
Whatsapp wamewapunguzia sababu ya kujitetea wale wote wenye tabia za kutojibu message kwa kisingizio kuwa hawakuziona hata kama zilionesha tiki mbili kuashiaria zimefika. Sasa Whats App imeongeza alama ya kuonesha kuwa ujumbe umesomwa na muda ambao umesomwa. Kuanzia sasa ujumbe ambao tayari umepokelewa na kusomwa utakuwa unaonesha tiki mbili za blue upande wa kulia chini […]
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Ukabila wasababisha mauaji Nigeria
Watu 100 wakazi wa kijiji kimoja wameuawa katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria, katika shambulizi ambalo limehusishwa na uhasama kati ya jamii mbili
9 years ago
BBCSwahili19 Sep
Wahamiaji wasababisha msukosuko ulaya
Kumekuwa na dalili za kuongezeka misukosuko kati ya nchi za ulaya wakati zinapojaribu kukabiliana na maelfu ya wahamiaji
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Ushirikina wasababisha vifo India
Imani za kishirikina zinazowalenga wanawake zinasababisha vifo vingi India
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Mlipuko wa bomu wasababisha vifo-Somalia
Watu 6 wameuawa baada ya bomu kulipuka karibu na uwanja wa kimataifa a ndege mjini Mogadishu
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania