Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujumbe wa WhatsApp wasababisha talaka

Mwanamume mmoja nchini Saudia amempa talaka mkewe kutokana na ujumbe wake katika mtandao wa WhatsApp.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WHATSAPP YANUNJA REKODI YA "UJUMBE"



Mtandao wa WhatsappKila siku zaidi ujumbe billioni 30 wa mtandao wa WhatsApp hutumwa kulingana na takwimu mpya zilizotolewa na afisa mkuu wa mtandao huo Jan Koum.Pia kuna watumiaji millioni 700 wanotumia mtandao huo mara kwa mara.Koum anasema kuwa shirika hilo linafurahia idadi kubwa ya wateja ilionao.Lakini idadi hiyo ni kubwa mno na hivyobasi kuwa vigumu kuelewa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Whatsapp yavunja rekodi ya 'ujumbe'

Kila siku zaidi ujumbe billioni 30 za mtandao wa WhatsApp hutumwa kulingana na takwimu mpya zilizotolewa

 

9 years ago

Michuzi

DW YAKANUSHA UJUMBE UNAOSAMBAA FACEBOOK NA WHATSAPP


Idhaa ya kiswahili ya DW hapa nchini inapenda kuwataarifu kuwa Wapendwa wake na watumiaji wa ukurasa wetu wa Facebook na wasikilizaji kwa jumla.
Kuna ujumbe unaosambazwa kwa njia wa Whatsapp katika mitandao ya kijamii kwamba DW inakusanya maoni kuhusu wagombea wawili wakuu wa uchaguzi wa Tanzania, John Magufuli wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Tungependa kuwajulisha hatufanyi utafiti wowote wa maoni kuhusu wagombea hao.

 

9 years ago

Mwananchi

Mbaroni kwa kusambaza ujumbe wa WhatsApp

Sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015 imebisha hodi mjini Moshi baada ya mgombea Udiwani kata ya Soweto, Collins Mayyutta kushitakiwa kwa kosa linaloangukia chini ya sheria hiyo.

 

10 years ago

Bongo5

Whatsapp yaongeza alama ya kuonesha ujumbe umesomwa na muda uliosomwa

Whatsapp wamewapunguzia sababu ya kujitetea wale wote wenye tabia za kutojibu message kwa kisingizio kuwa hawakuziona hata kama zilionesha tiki mbili kuashiaria zimefika. Sasa Whats App imeongeza alama ya kuonesha kuwa ujumbe umesomwa na muda ambao umesomwa. Kuanzia sasa ujumbe ambao tayari umepokelewa na kusomwa utakuwa unaonesha tiki mbili za blue upande wa kulia chini […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukabila wasababisha mauaji Nigeria

Watu 100 wakazi wa kijiji kimoja wameuawa katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria, katika shambulizi ambalo limehusishwa na uhasama kati ya jamii mbili

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wasababisha msukosuko ulaya

Kumekuwa na dalili za kuongezeka misukosuko kati ya nchi za ulaya wakati zinapojaribu kukabiliana na maelfu ya wahamiaji

 

10 years ago

BBCSwahili

Ushirikina wasababisha vifo India

Imani za kishirikina zinazowalenga wanawake zinasababisha vifo vingi India

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wa bomu wasababisha vifo-Somalia

Watu 6 wameuawa baada ya bomu kulipuka karibu na uwanja wa kimataifa a ndege mjini Mogadishu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani