Ukabila wasababisha mauaji Nigeria
Watu 100 wakazi wa kijiji kimoja wameuawa katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria, katika shambulizi ambalo limehusishwa na uhasama kati ya jamii mbili
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili04 Mar
Mauaji zaidi yatokea Nigeria
11 years ago
BBCSwahili14 Mar
Boko Haram waendeleza mauaji Nigeria
11 years ago
BBCSwahili04 Jun
Boko Haram wafanya mauaji mapya -Nigeria
10 years ago
BBCSwahili03 Feb
Mwezi mmoja toka mauaji ya Baga Nigeria
10 years ago
Raia Mwema10 Sep
Udini, ukabila ni ukaburu
KATI ya nukuu ama wosia muhimu wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kwa Watanzania ni kukataa
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mtanzania30 Apr
Dk. Shein akemea udini, ukabila
NA AMON MTEGA, RUVUMA
RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk. Ali Mohamed Shein, amewataka Watanzania wasigawanyike kwa masuala ya kidini na ukabila kwa kuwa wanaweza kuvuruga amani ya nchi.
Dk. Shein alitoa wito huo jana mjini Songea alipokuwa akizindua mbio za mwenge wa uhuru katika Uwanja wa Majimaji mkoani Ruvuma.
“Kuna baadhi ya makundi yamekuwa yakifanya jitihada za kuwagawa Watanzania kwa kuingiza masuala ya udini na
wengine wanaanza kueneza ukabila.
“Mambo hayo tusiyaruhusu...
10 years ago
Habarileo08 Sep
Bulembo aonya udini na ukabila
MWENYEKITI wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Abdallah Bulembo, ameonya juu ya siasa za udini na ukabila kwenye kampeni na kuitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuchukua hatua dhidi ya mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Serikali Bunda yakemea ukabila
MKUU wa Wilaya ya Bunda, Joshua Mirumbe, amekemea ubaguzi wa kikabila kati ya Wajaluo na Wajita, ulioanza kujitokeza katika Kijiji cha Karukekere, kilichoko wilayani Bunda, mkoani Mara. Mirumbe, alitoa onyo...
9 years ago
Habarileo06 Jan
Padre akemea siasa za ukanda na ukabila
PADRE Msaidizi wa Parokia ya Mt. Aloyce Gonzaga, Jimbo Katoliki la Mbinga, Christian Mhagama amekemea tabia ya watu kuzungumzia ukanda na ukabila na kuonya kwamba jambo hilo sio jema kwa taifa na linarudisha nyuma maendeleo.