Bima ya Afya yaongeza muda kufanya uhakiki
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umeongeza muda wa mwezi mmoja kwa wanachama wake kuweza kuhakiki taarifa zao, kabla ya kuhitimisha utaratibu huo ifikapo Februari 28, mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kh-uagKDtoM/U9uwkQ0md0I/AAAAAAAF8Rc/xX4hVH3C2Kk/s72-c/Screen+Shot+2014-08-01+at+6.20.22+PM.png)
10 years ago
GPL![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/RVdzUcpnPNvf7Lm47Bo8sfuIVrAcyGvd7lly4MjCB9EQzE2MTAsAPEawrqHQXvVidPjfKQ-wYgYr0zJ78NGeWRDn_fuL0xyJ8MykTr3TlDpfhSVBy-y9=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/112.jpg)
NIHF KUFANYA KAMPENI YA SIKU 60 KUHAMASISHA WANANCHI KUJIUNGA NA MFUKO HUO WA BIMA YA AFYA
Kaimu Mkurugenzi mkuu na Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Beatus Chijumba akizungumza na waandishi wa habari leo kwenye makao makuu ya shirika hilo wakati alipotangaza kampeni ya siku 60 kwa ajili ya kuhamasisha wananchi kujiuga na Mfuko wa Bima ya Afya katika Halmashauri zipatazo 54 nchini Katikati ni Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti na mwisho ni Ali Othman Mkuu wa...
10 years ago
Habarileo07 Aug
TFF yaongeza muda wa usajili
SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) limesogeza mbele dirisha la usajili kwa timu za Ligi Kuu, daraja la kwanza na la pili na sasa litafunga Agosti 20 badala ya jana kama ilivyopangwa awali.
11 years ago
MichuziWaziri wa Afya atembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya jijini Dar
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLaf5Mvqu5oYa-Sld-Ljmi-Uc4UfmSD1ExIvJIrezxUZAoyrZ5cY1sMF2pzygAsErWx7GxnS2BNbIZ4nSg1xXJPvl/1.jpg?width=650)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tNnbGK5x6Zo/VaYi3ce8KtI/AAAAAAAHp2c/EYYfH-79Amo/s72-c/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
Bodi ya Mikopo yaongeza muda wa kuwasilisha maombi
![](http://3.bp.blogspot.com/-tNnbGK5x6Zo/VaYi3ce8KtI/AAAAAAAHp2c/EYYfH-79Amo/s320/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeongeza muda wa waombaji mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016 kuwasilisha maombi yao hadi mwishoni mwa mwezi huu (31 Julai, 2015).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo (Jumatano, Julai 15, 2015) na Mkurugenzi Mtendaji wa (HESLB) Bw. George Nyatega, hatua hiyo imechukuliwa ilikuwapa fursa wombaji ambao hawajakamilisha kufanya hivyo.
“Hatua hii imechukuliwa ili kuwapa fursa wale ambao kwa sababu mbalimbali hawakuweza kufanya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0mycjQHjaZanStRRGVjQG1ecSKXHfe4vCXFSykqsqUCF6WjEXsZfCAiGDLxL-eSAF9aSf36rSPLvQEAgnO1AtD1p/Pichana1.jpg?width=650)
SENSA YA VIWANDA TANZANIA: SERIKALI YAONGEZA MUDA
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar Es salaam kueleza uamuzi wa Serikali kuongeza muda wa Sensa ya Viwanda Tanzania Bara hadi Agosti 31,2015 na hatua zitakazochukuliwa kufuatia viwanda 366 kushindwa kuwasilisha takwimu za uzalishaji kwenye Madodoso ya Sensa. Kaimu Meneja wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Mkoa wa Dar es salaam Bw. Albert Kapala akitoa ufafanuzi wa lengo la...
11 years ago
Mwananchi01 Jul
AFYA: Hofu yatanda Mfuko Bima ya Afya
>Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya nchini (NHIF) huenda usifikie lengo lake la kuwahudumia wananchi kwa asilimia 30 ifikapo mwakani, kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo ya Jiji la Dar es Salaam kushindwa kuhamasisha wananchi wake kujiunga.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-i_nOP-2_elk/VZgrmcVsGdI/AAAAAAAHm50/GiQjz1PjlDY/s72-c/n0u9lxtnqhi85twhh8fk.jpg)
DIT yaongeza muda wa udahili wa wanafunzi wa kozi mbalimbali
![](http://3.bp.blogspot.com/-i_nOP-2_elk/VZgrmcVsGdI/AAAAAAAHm50/GiQjz1PjlDY/s640/n0u9lxtnqhi85twhh8fk.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania