Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIT yaongeza muda wa udahili wa wanafunzi wa kozi mbalimbali

Chuo cha Teknolojia cha Dar es Salam (DIT), imeongeza muda wa udahili wa wanafunzi wa kozi tofauti kutoka Agosti mwaka huu hadi kufikia Oktoba, lengo likiwa kutoa fura zaidi kwa waombaji kukamilisha taratibu. Akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana, Mkuu wa Uhusiano wa chuo hicho, Amaan Kakana alisema, wamesogeza muda kwa waombaji wa kozi hizo ambazo zitaanza rasmi Novemba ili kutoa fursa kwa wanafunzi wengi zaidi kupata fursa hiyo. Kupata aina ya Kozi hizo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wanafunzi DIT waandamana

WANAFUNZI wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) leo wameandamana kwenda Wizara ya Sayansi na Teknolojia wakidai hawajaridhishwa na uamuzi wa uongozi wa chuo kuwazuia wanafunzi 684 kufanya mtihani.

 

10 years ago

Habarileo

TFF yaongeza muda wa usajili

SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) limesogeza mbele dirisha la usajili kwa timu za Ligi Kuu, daraja la kwanza na la pili na sasa litafunga Agosti 20 badala ya jana kama ilivyopangwa awali.

 

10 years ago

GPL

SENSA YA VIWANDA TANZANIA: SERIKALI YAONGEZA MUDA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar Es salaam kueleza uamuzi wa Serikali kuongeza muda wa Sensa ya Viwanda Tanzania Bara hadi Agosti 31,2015 na hatua zitakazochukuliwa kufuatia viwanda 366 kushindwa kuwasilisha takwimu za uzalishaji kwenye Madodoso ya Sensa. Kaimu Meneja wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Mkoa wa Dar es salaam Bw. Albert Kapala akitoa ufafanuzi wa lengo la...

 

10 years ago

Habarileo

Bima ya Afya yaongeza muda kufanya uhakiki

 Eugene MikongotiMFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umeongeza muda wa mwezi mmoja kwa wanachama wake kuweza kuhakiki taarifa zao, kabla ya kuhitimisha utaratibu huo ifikapo Februari 28, mwaka huu.

 

10 years ago

Michuzi

Bodi ya Mikopo yaongeza muda wa kuwasilisha maombi

Na Mwandishi Wetu
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeongeza muda wa waombaji mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016 kuwasilisha maombi yao hadi mwishoni mwa mwezi huu (31 Julai, 2015).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo (Jumatano, Julai 15, 2015) na Mkurugenzi Mtendaji wa (HESLB) Bw. George Nyatega, hatua hiyo imechukuliwa ilikuwapa fursa wombaji ambao hawajakamilisha kufanya hivyo.
“Hatua hii imechukuliwa ili kuwapa fursa wale ambao kwa sababu mbalimbali hawakuweza kufanya...

 

10 years ago

Bongo5

Whatsapp yaongeza alama ya kuonesha ujumbe umesomwa na muda uliosomwa

Whatsapp wamewapunguzia sababu ya kujitetea wale wote wenye tabia za kutojibu message kwa kisingizio kuwa hawakuziona hata kama zilionesha tiki mbili kuashiaria zimefika. Sasa Whats App imeongeza alama ya kuonesha kuwa ujumbe umesomwa na muda ambao umesomwa. Kuanzia sasa ujumbe ambao tayari umepokelewa na kusomwa utakuwa unaonesha tiki mbili za blue upande wa kulia chini […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Flaviana Matata atoa elimu ya fursa mbalimbali zinazopatikana PSPF kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali jijini Mwanza

Balozi wa PSPF, Bi. Flaviana Matata akitoa elimu kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya elimu ya juu (hawapo pichani) jijini Mwanza.

Afisa Mfawidhi Ofisi ya PSPF Mwanza, Bw. Salim Salim, akisalimiana na Balozi wa PSPF, Bi. Flaviana Matata, kabla ya kuanza semina ya siku moja kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya elimu ya juu jijini Mwanza.

Baadhi ya wanafunzi wakisoma vipeperushi vyenye taarifa kuhusu Mfuko wa PSPF wakati wa semina juu ya Mfuko huo iliyotolewa na Balozi wa PSPF, Bi....

 

10 years ago

Vijimambo

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) YAONGEZA MUDA WA KUJIANDIKISHA JIJINI DAR ES SALAAM

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kuwa inaongeza muda wa siku nne tu wa kuandikisha wapiga kura kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam. Hii inamaanisha kuwa zoezi hilo ambalo lilikuwa linaisha ijumaa ya kesho julai 31, litaendelea hadi jumanne agosti 4Akiongea na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema kuwa hataweza kuongeza muda wa zaidi ya siku nne kwa kuwa ratiba zitaingiliana.Aidha, Jaji Mstaafu Lubuva amesema mpaka sasa watu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Rwanda yaongeza muda wa kutotoka nje wa wiki mbili

Rwanda yaongeza muda wa kutotoka nje wa wiki mbili

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani