UVCCM Singida waendelea kumnyooshea kidole Nyalandu
Na Emmanuel Michael,
Singida.
SAKATA la mvutano baina Umoja wa Vijana UVCCM Wilaya ya Singida Vijijini na Mbunge wao Mhe Lazaro Nyalandu, limechukua sura mpya baada ya kikao chake cha baraza kuadhimia kuitishwa haraka kwa mkutano mkuu wa Jumuiya hiyo ili kutoa hitimisho la maamuzi dhidi yake.
Umoja wa Vijana unamtuhumu Mbunge huyo wa Singida Kaskazini kusababisha Chama Cha Mapinduzi kupoteza Vijiji vinane na Vitongoji 50 katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika mwishoni mwa mwaka...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo530 Aug
Unyanyasaji Mtandaoni + Kifo cha Betty Ndejembi, nani wa kumnyooshea kidole?
10 years ago
Habarileo27 Dec
UVCCM Singida walianzisha kwa Nyalandu
BARAZA a Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Singida Vijijini, limemshutumu mbunge wao, Lazaro Nyalandu kwa kusababisha chama hicho kukosa ushindi mnono kwenye baadhi ya maeneo katika jimbo la Singida Kaskazini wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa hivi karibuni.
10 years ago
StarTV19 Jan
Watumishi wa afya waendelea kunyooshewa kidole.
Na Sudi Shaaban,
Mwanza.
Sekta ya afya nchini imetajwa kuwa chanzo kikubwa cha kuisabishia serikali lawama kutoka kwa wananchi kutokana na utendaji mbovu wa watumishi ambao umekuwa ukilalamikiwa kila kukicha bila kuchukuliwa hatua yeyote.
Pia sekta hiyo imeendelea kukabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa vifaa tiba pamoja na dawa jambo ambalo bado ni kilio kikubwa kwa serikali na wananchi.
Nia ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo ni kuhakikisha mkoa unapiga hatua katika...
10 years ago
Habarileo12 Jan
UVCCM kumweka kitimoto Nyalandu
SAKATA baina ya Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Singida Vijijini limechukua sura mpya baada ya kikao cha Baraza la Jumuiya hiyo kuazimia kuitisha mkutano mkuu ili kumjadili.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Sl9BkzjOc3c/XrldHdvcN-I/AAAAAAAAH34/EeGs2DSMNb8KmZz7_Y8PqK0vQsuplWBIwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200428_124231.jpg)
UVCCM IRINGA WAENDELEA KUTOA ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sl9BkzjOc3c/XrldHdvcN-I/AAAAAAAAH34/EeGs2DSMNb8KmZz7_Y8PqK0vQsuplWBIwCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200428_124231.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iLuorMEDQJY/XrldHXht2LI/AAAAAAAAH38/9tG-wsWwLEku15dl-54AxhuWsWx-m52GgCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200428_124111_1.jpg)
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi(UVCCM) Wilaya ya Iringa vijijini umeeleza kuwa zoezi la...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Mwenyekiti UVCCM Singida asimamishwa
BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana (UVCCM) Mkoa wa Singida limemsimamisha uongozi Mwenyekiti wao wa mkoa, Martin Labia Lissu kwa madai ya kushindwa kutoa utetezi dhidi ya tuhuma zilizokuwa zikimkabili....
10 years ago
Dewji Blog30 Jul
Maziku amaliza mgogoro wa Nyalandu na wenzake, waendelea na mchakato kuomba kura kwa wananchi
Katibu wa CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumaliza mgogoro wa wagombea Ubunge Jimbo la Singida Kaskazini.
Katibu wa CCM Mkoa wa Singida, Mary Maziku akiwa ofisini kwake.
Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Kaskazini, Jastine Monko akizungumza na waandishi wa habari nje ya jengo la CCM Mkoa wa Singida baada ya kumaliza tofauti zao.
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akizungumza na waandishi wa habari nje ya viwanja vya CCM Mkoa wa...
11 years ago
GPLMAKONDA ASIMIKA MAKAMANDA 16 WA UVCCM MKOA WA SINGIDA
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Ujenzi wa maabara waendelea kupamba moto mkoani Singida
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Manyoni mkoani Singida, Supeet Mseya (kulia), akikagua ujenzi wa vyumba vitatu vya maabara katika kata ya Iseke.(Picha na Nathaniel Limu).