Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watumishi wa afya waendelea kunyooshewa kidole.

Na Sudi Shaaban,

Mwanza.

Sekta ya afya nchini imetajwa kuwa chanzo kikubwa cha kuisabishia serikali lawama kutoka kwa wananchi kutokana na utendaji mbovu wa watumishi ambao umekuwa ukilalamikiwa kila kukicha bila kuchukuliwa hatua yeyote.

 

Pia sekta hiyo imeendelea kukabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa vifaa tiba pamoja na dawa jambo ambalo bado ni kilio kikubwa kwa serikali na wananchi.

 

Nia ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo ni kuhakikisha mkoa unapiga hatua katika...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

WLF waendelea kukabidhi nyumba za watumishi wa afya katika kijiji cha Mabanda wilayani Kibondo mkoani Kigoma

E80A5273

Katibu Tawala wa Wilaya ya Kibondo Ayubu Sebabili (kulia) akikata utepe kuashiria Ufunguzi wa Nyumba ya Mganga yenye uwezo wa Kukaliwa na Familia Mbili baada ya kukabidhiwa Nyumba hiyo na Mkurugenzi Mkuu wa shirika la World Lung Foundation Dk.Nguke Mwakatundu (wa pili kulia).

E80A5243

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la World Lung Foundation Dk.Nguke Mwakatundu(aliyesimama) akizungumza katika hafla ya kukabidhi Nyumba ya Mganga kwa Uongozi wa Kijiji cha Mabamba Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma.

E80A5252

Katibu...

 

10 years ago

StarTV

UVCCM Singida waendelea kumnyooshea kidole Nyalandu

Na Emmanuel Michael,

Singida.

 

SAKATA la mvutano baina Umoja wa Vijana UVCCM Wilaya ya Singida Vijijini na Mbunge wao Mhe Lazaro Nyalandu, limechukua sura mpya baada ya kikao chake cha baraza kuadhimia kuitishwa haraka kwa mkutano mkuu wa Jumuiya hiyo ili kutoa hitimisho la maamuzi dhidi yake.

 

Umoja wa Vijana unamtuhumu Mbunge huyo wa Singida Kaskazini kusababisha Chama Cha Mapinduzi kupoteza Vijiji vinane na Vitongoji 50 katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika mwishoni mwa mwaka...

 

10 years ago

Michuzi

WLF YAKABIDHI NYUMBA ZENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 156 KWA AJILI YA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KITUO CHA AFYA NGURUKA WILAYANI UVINZA

 .Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya kushoto Akishirikiana na Mkurugenzi Mkuu wa World Lung Foundation(wa pili kushoto)Dr Nguke Mwakatundu kukata utepe wakati wa Uzinduzi wa Nyumba za Watumishi wa Afya katika kituo cha Afya Nguruka Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma. Mkuu wa mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya  akikata utepe Ikiwa ni Ishara ya ufunguzi wa Nyumba zilizo jengwa kwa hisani ya WLF kwa ajili ya watumishi wa Afya katika kituo cha Nguruka Wilayani Uvinza Mkoani...

 

10 years ago

Michuzi

Watumishi wa afya waonywa

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid akizungumza wakati za uzinduzi wa Mpango wa Maboresho kwa Wafanyakazi wa Sekta ya Afya (HRHSP 2014/2019), uliofanyika Dar es Salaam jana.

Baadhi ya wadau wa afya wakifuatilia uzinduzi wa wa Mpango wa Maboresho kwa Wafanyakazi wa Sekta ya Afya (HRHSP 2014/2019), uliofanyika Dar es Salaam jana. Picha na Joseph Zablon.
Wafanyakazi katika sekta ya afya wanadaiwa kutumia muda wa asilimia 20 na isiyozidi 30 kwa mwa mwezi jambo ambalo ni...

 

10 years ago

Vijimambo

Utoaji huduma za afya bure waendelea kuvutia wengi Sabasaba

Baadhi ya wateja kwenye Maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam wakiwa wamepanga foleni kusubiri kumuona daktari ndani ya Banda la NSSF walipotembelea banda hilo. Baadhi ya wateja kwenye Maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam wakiwa wamepanga foleni kusubiri kumuona daktari ndani ya Banda la NSSF walipotembelea banda hilo.Mmoja wa madaktari (kushoto) akimuhudumia mteja alipokuwa akipatiwa huduma za afya bure zinazotolewa na NSSF. Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linatoa huduma za afya bure kwa wateja mbalimbali watakaotembelea katika Banda la shirika hilo ndani ya Maonesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Mmoja wa madaktari (kushoto) akimuhudumia mteja alipokuwa akipatiwa huduma za afya bure zinazotolewa na NSSF. Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linatoa huduma za afya bure kwa wateja mbalimbali watakaotembelea katika Banda la shirika hilo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tatizo la watumishi sekta ya afya lapungua

NAIBU Katibu Mkuu anayeshughulika na afya katika Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Dk. Deo Mtasiwa, amesema tatizo la ukosefu wa watumishi wa sekta...

 

9 years ago

Mwananchi

Uhaba watumishi afya waitesa Lindi

Upungufu wa watumishi wa sekta ya afya mkoani hapa unadaiwa kuchangia huduma duni katika hospitali, zahanati na vituo vya afya vya Serikali na kuhatarisga maisha ya wagonjwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Watumishi afya wanaomiliki hospitali kuchunguzwa

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ameagiza kufanyike uchunguzi dhidi ya waganga na wauguzi, wanaomiliki hospitali, kliniki na maduka ya dawa baridi ili kubaini kama wanahusika na upotevu wa dawa kwenye hospitali za Serikali.

 

11 years ago

Dewji Blog

Singida yakabiliwa na Upungufu wa watumishi sekta ya Afya

DSC09892

Mkuu wa wilaya ya Singida.Queen Mlozi, akizungumza kwenye kikao cha mrejesho wa utafiti uliofanywa na timu ya ufuatiliaji na uwajibikaji jamii (Social Accountability Monitoring-SAM) kilichofanyika mjini Singida.Timu ya SAM kwa kushirikiana na baadhi ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Singida,kwa pamoja walifanya utafiti juu ya uwajibikaji kwenye vituo vya kutolea huduma ya afya.Kushoto ni mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida,Idd Mnyampanda nas kulia ni mwenyekiti wa kikao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani