Uhaba watumishi afya waitesa Lindi
Upungufu wa watumishi wa sekta ya afya mkoani hapa unadaiwa kuchangia huduma duni katika hospitali, zahanati na vituo vya afya vya Serikali na kuhatarisga maisha ya wagonjwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo27 Oct
Uhaba wa watumishi waathiri hospitali, vituo vya afya
UHABA wa watumishi katika hospitali na vituo vya afya mkoani Rukwa umetakiwa kutatuliwa haraka kuleta ufanisi katika utekelezaji wa kampeni ya kukomesha vifo vya mama na mtoto wakati wa kujifungua.
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Serikali kukabili uhaba watumishi mahakamani
KUTOKANA na uhaba wa watumishi katika mahakama nchini, Serikali inakusudia kutatua na kumaliza adha hiyo ambayo ni kero kwa wananchi. Hayo yalisemwa na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Asha...
10 years ago
MichuziWLF YAKABIDHI NYUMBA ZENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 156 KWA AJILI YA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KITUO CHA AFYA NGURUKA WILAYANI UVINZA
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
TBL kutumia mil. 700/- kutatua uhaba wa maji sekta ya afya
TATIZO la upatikananji wa maji safi na salama nchini ni moja kati ya changamoto kubwa zinazoikabili sekta ya afya nchini. Tatizo hili limekuwa likiathiri ufanisi katika shughuli mbalimbali za huduma...
10 years ago
MichuziWatumishi wa afya waonywa
Baadhi ya wadau wa afya wakifuatilia uzinduzi wa wa Mpango wa Maboresho kwa Wafanyakazi wa Sekta ya Afya (HRHSP 2014/2019), uliofanyika Dar es Salaam jana. Picha na Joseph Zablon.
Wafanyakazi katika sekta ya afya wanadaiwa kutumia muda wa asilimia 20 na isiyozidi 30 kwa mwa mwezi jambo ambalo ni...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CJo1-N2jozc/U-NjpJT5BjI/AAAAAAABEwM/-tgyyrpjLz8/s72-c/IMG-20140807-WA0004.jpg)
MFUKO WA UTT WATOA ELIMU KWA WATUMISHI WA SERIKALI NA WAKULIMA JUU YA MIFUKO YA UWEKEZAJI MKOANI LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-CJo1-N2jozc/U-NjpJT5BjI/AAAAAAABEwM/-tgyyrpjLz8/s1600/IMG-20140807-WA0004.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RKJzGwASGYE/U-Njm6XN1MI/AAAAAAABEwA/DR6_lOyy4T8/s1600/IMG-20140807-WA0001.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-voBvpqgtPPI/U-NjomXu6cI/AAAAAAABEwI/OgdQ-GLUmOs/s1600/IMG-20140807-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1-ylHwrf5TU/U-Njp1ZWT9I/AAAAAAABEwY/-sNvwLpFVLQ/s1600/IMG-20140807-WA0005.jpg)
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Watumishi afya wanaomiliki hospitali kuchunguzwa
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Tatizo la watumishi sekta ya afya lapungua
NAIBU Katibu Mkuu anayeshughulika na afya katika Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Dk. Deo Mtasiwa, amesema tatizo la ukosefu wa watumishi wa sekta...
10 years ago
StarTV19 Jan
Watumishi wa afya waendelea kunyooshewa kidole.
Na Sudi Shaaban,
Mwanza.
Sekta ya afya nchini imetajwa kuwa chanzo kikubwa cha kuisabishia serikali lawama kutoka kwa wananchi kutokana na utendaji mbovu wa watumishi ambao umekuwa ukilalamikiwa kila kukicha bila kuchukuliwa hatua yeyote.
Pia sekta hiyo imeendelea kukabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa vifaa tiba pamoja na dawa jambo ambalo bado ni kilio kikubwa kwa serikali na wananchi.
Nia ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo ni kuhakikisha mkoa unapiga hatua katika...