Watumishi afya wanaomiliki hospitali kuchunguzwa
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ameagiza kufanyike uchunguzi dhidi ya waganga na wauguzi, wanaomiliki hospitali, kliniki na maduka ya dawa baridi ili kubaini kama wanahusika na upotevu wa dawa kwenye hospitali za Serikali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo27 Oct
Uhaba wa watumishi waathiri hospitali, vituo vya afya
UHABA wa watumishi katika hospitali na vituo vya afya mkoani Rukwa umetakiwa kutatuliwa haraka kuleta ufanisi katika utekelezaji wa kampeni ya kukomesha vifo vya mama na mtoto wakati wa kujifungua.
9 years ago
Habarileo25 Nov
Wazee Kilosa vijijini kuchunguzwa afya
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilosa, mkoani Morogoro kupitia hospitali ya wilaya hiyo inatarajia kuanza utekelezaji wa mpango wa kuwafanyia uchunguzi wa afya wazee wanaoishi vijijini ili kuwakinga na maradhi.
11 years ago
Mwananchi20 Dec
JK aenda kuchunguzwa afya Marekani, mkewe apata tuzo
10 years ago
MichuziWLF YAKABIDHI NYUMBA ZENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 156 KWA AJILI YA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KITUO CHA AFYA NGURUKA WILAYANI UVINZA
10 years ago
MichuziWatumishi wa afya waonywa
Baadhi ya wadau wa afya wakifuatilia uzinduzi wa wa Mpango wa Maboresho kwa Wafanyakazi wa Sekta ya Afya (HRHSP 2014/2019), uliofanyika Dar es Salaam jana. Picha na Joseph Zablon.
Wafanyakazi katika sekta ya afya wanadaiwa kutumia muda wa asilimia 20 na isiyozidi 30 kwa mwa mwezi jambo ambalo ni...
9 years ago
Mwananchi28 Dec
Uhaba watumishi afya waitesa Lindi
10 years ago
StarTV19 Jan
Watumishi wa afya waendelea kunyooshewa kidole.
Na Sudi Shaaban,
Mwanza.
Sekta ya afya nchini imetajwa kuwa chanzo kikubwa cha kuisabishia serikali lawama kutoka kwa wananchi kutokana na utendaji mbovu wa watumishi ambao umekuwa ukilalamikiwa kila kukicha bila kuchukuliwa hatua yeyote.
Pia sekta hiyo imeendelea kukabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa vifaa tiba pamoja na dawa jambo ambalo bado ni kilio kikubwa kwa serikali na wananchi.
Nia ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo ni kuhakikisha mkoa unapiga hatua katika...
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Tatizo la watumishi sekta ya afya lapungua
NAIBU Katibu Mkuu anayeshughulika na afya katika Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Dk. Deo Mtasiwa, amesema tatizo la ukosefu wa watumishi wa sekta...
11 years ago
Dewji Blog05 Jul
Singida yakabiliwa na Upungufu wa watumishi sekta ya Afya
Mkuu wa wilaya ya Singida.Queen Mlozi, akizungumza kwenye kikao cha mrejesho wa utafiti uliofanywa na timu ya ufuatiliaji na uwajibikaji jamii (Social Accountability Monitoring-SAM) kilichofanyika mjini Singida.Timu ya SAM kwa kushirikiana na baadhi ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Singida,kwa pamoja walifanya utafiti juu ya uwajibikaji kwenye vituo vya kutolea huduma ya afya.Kushoto ni mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida,Idd Mnyampanda nas kulia ni mwenyekiti wa kikao...