JK aenda kuchunguzwa afya Marekani, mkewe apata tuzo
Rais Jakaya Kikwete, ameondoka nchini kwenda Marekani kufanyiwa uchunguzi wa afya yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Watumishi afya wanaomiliki hospitali kuchunguzwa
9 years ago
Habarileo25 Nov
Wazee Kilosa vijijini kuchunguzwa afya
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilosa, mkoani Morogoro kupitia hospitali ya wilaya hiyo inatarajia kuanza utekelezaji wa mpango wa kuwafanyia uchunguzi wa afya wazee wanaoishi vijijini ili kuwakinga na maradhi.
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Rais Kikwete aenda Marekani
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
Matumla Jr ‘amtandika vibayaa’ bondia wa China Wang Xin Hua, aenda kupigana Marekani
Mohamed Matumla Junior akimtupia makonde Mchina Wang Xiu Hua.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Bondia anayetoka kwenye familia yenye kusifika kwenye mchezo huo wa ngumi hapa Nchini Mohamed Matumla Junior usiku wa kuamkia leo Machi 28, ameweza kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania katika mchezo huo baada ya kumshinda bondia mwenzake kutoka China, Wang Xiu Hua katika pambano la kuwania ubingwa wa Super Bantam wa WBF Eliminator. Mchezo uliochezwa Ndani ya Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zOltqygyYsg/VkofcrwTuJI/AAAAAAAIGQ0/YdDVj3iFiAM/s72-c/58497eff-e738-40cc-b7ba-b2600a229eb8.jpg)
mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Stars Malimi Mayunga aenda marekani, kuimba na akon
10 years ago
Habarileo11 Oct
Malala apata Tuzo ya Nobel
RAIA wa Pakistan, Malala Yousafzai na wa India, Kailash Satyarthi kwa pamoja leo wametunukiwa Tuzo ya Nishani ya Amani ya Nobel kwa juhudi zao za kupambana na ukandamizaji wa vijana na kutetea haki ya watoto kusoma.
9 years ago
Michuzi29 Nov
MO APATA TUZO NYINGINE AFRIKA YA KUSINI
![DSC_4663](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/DSC_4663.jpg)
10 years ago
Mtanzania03 Mar
Rais Namibia apata Tuzo ya Mo Ibrahim
Mwandishi Wetu na Mashirika ya Habari
RAIS anayemaliza muda wake nchini Namibia, Hifikepunye Pohamba, ameshinda tuzo ya Mo Ibrahim inayotolewa kwa kiongozi wa Afrika aliyeonyesha uongozi bora.
Tuzo hiyo yenye thamani ya dola za Marekani milioni tano (sawa na Sh bilioni 9.2 za Tanzania) ni kubwa zaidi duniani kutolewa kwa mtu mmoja mmoja.
Fedha hizo hutolewa kila mwaka kwa kiongozi wa kuchaguliwa aliyetawala vizuri kwa kuinua viwango vya maisha ya raia wake na kisha kuondoka madarakani kwa...