Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK aenda kuchunguzwa afya Marekani, mkewe apata tuzo

Rais Jakaya Kikwete, ameondoka nchini kwenda Marekani kufanyiwa uchunguzi wa afya yake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Watumishi afya wanaomiliki hospitali kuchunguzwa

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ameagiza kufanyike uchunguzi dhidi ya waganga na wauguzi, wanaomiliki hospitali, kliniki na maduka ya dawa baridi ili kubaini kama wanahusika na upotevu wa dawa kwenye hospitali za Serikali.

 

9 years ago

Habarileo

Wazee Kilosa vijijini kuchunguzwa afya

HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilosa, mkoani Morogoro kupitia hospitali ya wilaya hiyo inatarajia kuanza utekelezaji wa mpango wa kuwafanyia uchunguzi wa afya wazee wanaoishi vijijini ili kuwakinga na maradhi.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete aenda Marekani

Rais Jakaya Kikwete ameondoka Jumatatu usiku kwenda Marekani kuanza ziara ya wiki mbili nchini humo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Matumla Jr ‘amtandika vibayaa’ bondia wa China Wang Xin Hua, aenda kupigana Marekani

5

Mohamed Matumla Junior akimtupia makonde Mchina Wang Xiu Hua.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Bondia anayetoka kwenye familia yenye kusifika kwenye mchezo huo wa ngumi hapa Nchini Mohamed Matumla Junior usiku wa kuamkia leo Machi 28, ameweza kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania katika mchezo huo baada ya  kumshinda bondia mwenzake kutoka China, Wang Xiu Hua katika pambano la kuwania ubingwa wa Super Bantam wa WBF Eliminator. Mchezo uliochezwa  Ndani ya Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es...

 

9 years ago

Michuzi

mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Stars Malimi Mayunga aenda marekani, kuimba na akon

Nalimi Mayunga , mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Stars Afrika, ameondoka nchini Jana kuelekea nchini Marekani kwa lengo la kupata mafunzo na kurekodi nyimbo yake Nalimi ameondoka usiku usiku wa kuamkia leo  kwenda kufanya kazi na nguli wa mzuki wa R&B nchini Marekani Bwana Akon ambapo anatarajiwa kukaa muda wa wiki moja kisha kurejea nyumbani tarehe 24 Novemba. Akiongea wakati halfa ya kumuaga, Afisa habari mwandamizi wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Aristide Kwizera alisema”...

 

10 years ago

Habarileo

Malala apata Tuzo ya Nobel

RAIA wa Pakistan, Malala Yousafzai na wa India, Kailash Satyarthi kwa pamoja leo wametunukiwa Tuzo ya Nishani ya Amani ya Nobel kwa juhudi zao za kupambana na ukandamizaji wa vijana na kutetea haki ya watoto kusoma.

 

9 years ago

Michuzi

MO APATA TUZO NYINGINE AFRIKA YA KUSINI


DSC_4663Mwanzilishi na mchapishaji wa jarida la Forbes Afrika, Bw. Rakesh Wahi ( wa pili kushoto) akikamkabidhi Mfanyabiashara maarufu nchini Tanzania na Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji (wa pili kulia) tuzo ya Heshima Barani Afrika "2015 Forbes Africa Person of the Year" iliyotolewa na Jarida la Forbes Afrika kwa kutambua mchango wake katika kusaidia jamii ikiwemo kutoa ajira kwa zaidi ya watu 26,000 nchini na mambo mengine yanayoigusa jamii. Wanaoshuhudia tukio hilo...

 

10 years ago

Mtanzania

Rais Namibia apata Tuzo ya Mo Ibrahim

POHAMBAMwandishi Wetu na Mashirika ya Habari
RAIS anayemaliza muda wake nchini Namibia, Hifikepunye Pohamba, ameshinda tuzo ya Mo Ibrahim inayotolewa kwa kiongozi wa Afrika aliyeonyesha uongozi bora.
Tuzo hiyo yenye thamani ya dola za Marekani milioni tano (sawa na Sh bilioni 9.2 za Tanzania) ni kubwa zaidi duniani kutolewa kwa mtu mmoja mmoja.
Fedha hizo hutolewa kila mwaka kwa kiongozi wa kuchaguliwa aliyetawala vizuri kwa kuinua viwango vya maisha ya raia wake na kisha kuondoka madarakani kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani