Rais Kikwete aenda Marekani
Rais Jakaya Kikwete ameondoka Jumatatu usiku kwenda Marekani kuanza ziara ya wiki mbili nchini humo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog29 Apr
Rais Kikwete akutana na Rais mstaafu wa Marekani Bill Clinton jijini Dar
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kisha kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Marekani Mhe Bill Clinton Ikulu jijini Dar es salaam jana April 28, 2015. Rais huyo wa 42 wa Marekani yuko nchini kukagua miradi ya maendeleo na afya inayofadhiliwa na taasisi za Clinton Development Initiative (CDI) na Clinton Health Access Initiative (CHAI).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete jana, Jumanne, Aprili 28, 2015, amekutana na kufanya mazungumzo ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fIDaZ43XkK0/VAd2lkYMifI/AAAAAAACp90/77TZZGS0Rno/s72-c/unnamed.jpg)
RAIS Kikwete akutana na Bibi yake Rais Obama wa Marekani,jijini Nairobi leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-fIDaZ43XkK0/VAd2lkYMifI/AAAAAAACp90/77TZZGS0Rno/s1600/unnamed.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Bibi yake Rais wa Marekani,Mh. Barack Obama,Mama Sarah Obama walipokutana Leo kwenye hoteli ya Villa Rosa Kempiski jijini Nairobi, Kenya, wakati Rais Kikwete akijiandaa kurejea nchini.Mama Sarah Obama anatarajia kuzindua taasisi ya kusaidia elimu kijijini Kogelo nchini Kenya,alikozaliwa Baba yake na Rais Obama wa Marekani itakayofahamika kama (Sarah Obama foundation) ambapo atajenga shule kuanzia za awali mpaka sekondari. Rais kikwete sasa hivi ...
10 years ago
Dewji Blog03 Sep
Rais Kikwete akutana na Bibi yake Rais Obama wa Marekani, jijini Nairobi leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Bibi yake Rais wa Marekani,Mh. Barack Obama,Mama Sarah Obama walipokutana Leo kwenye hoteli ya Villa Rosa Kempiski jijini Nairobi, Kenya, wakati Rais Kikwete akijiandaa kurejea nchini.Mama Sarah Obama anatarajia kuzindua taasisi ya kusaidia elimu kijijini Kogelo nchini Kenya,alikozaliwa Baba yake na Rais Obama wa Marekani itakayofahamika kama (Sarah Obama foundation) ambapo atajenga shule kuanzia za awali mpaka sekondari. Rais kikwete sasa hivi yuko...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zMVqlkuLQ2A/U-MtMV_-8sI/AAAAAAAF9r8/UjTZ7prWzgI/s72-c/m2.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA MALAWI PROFESA PETER MUTHARIKA JIJINI WASHINGTON DC, MAREKANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-zMVqlkuLQ2A/U-MtMV_-8sI/AAAAAAAF9r8/UjTZ7prWzgI/s1600/m2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3NpjmwA*I6Uj1fHhr*khwyEESg0ZbAx0hEQqRHPG21T330M6TeXT3x6TCzdUXqQG7ABssrkzLlR17a8WiP74ZsK/c1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS MSTAAFU WA MAREKANI BILL CLINTON JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Michuzi28 Apr
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS MSTAAFU WA MAREKANI BILL CLINTON JIJINI DAR ES SALAAM APRIL 28, 2015.
![01](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/0115.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/256.jpg)
11 years ago
Mwananchi20 Dec
JK aenda kuchunguzwa afya Marekani, mkewe apata tuzo
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ttpNXv5qk7w/VBid68O8SFI/AAAAAAAGkAY/vbpxJB3ZSBk/s72-c/New%2BPicture%2B(2).bmp)
RAIS KIKWETE ZIARANI NCHINI MAREKANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ttpNXv5qk7w/VBid68O8SFI/AAAAAAAGkAY/vbpxJB3ZSBk/s1600/New%2BPicture%2B(2).bmp)
Mbali na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York, Rais Kikwete pia atahudhuria mikutano muhimu katika mji mkuu wa Marekani, Washington, D.C.
Mjini New York, Rais Kikwete atashiriki katika mikutano...
9 years ago
VijimamboRais Kikwete Apewa Tuzo Marekani