Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watumishi wa afya waonywa

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid akizungumza wakati za uzinduzi wa Mpango wa Maboresho kwa Wafanyakazi wa Sekta ya Afya (HRHSP 2014/2019), uliofanyika Dar es Salaam jana.

Baadhi ya wadau wa afya wakifuatilia uzinduzi wa wa Mpango wa Maboresho kwa Wafanyakazi wa Sekta ya Afya (HRHSP 2014/2019), uliofanyika Dar es Salaam jana. Picha na Joseph Zablon.
Wafanyakazi katika sekta ya afya wanadaiwa kutumia muda wa asilimia 20 na isiyozidi 30 kwa mwa mwezi jambo ambalo ni...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Watumishi wasioripoti vituo vya kazi waonywa

WATUMISHI wa Serikali katika kada mbalimbali wilayani Kaliua Mkoa wa Tabora wanaokwepa kuripoti katika vituo vyao vipya vya kazi kwa visingizio mbalimbali, wametakiwa kuacha tabia hiyo mara moja, kwani kama mtumishi wa serikali unatakiwa kuwa tayari kutumika sehemu yoyote ile.

 

9 years ago

Habarileo

Wataalamu wa afya mkoa wa Kilimanjaro waonywa

SERIKALI mkoani Kilimanjaro imetishia kuwawajibisha wataalamu wa sekta ya afya katika halmashauri zote za wilaya mkoani hapa iwapo watazembea na kusababisha ugonjwa wa kipindupindu kuingia mkoani hapa.

 

10 years ago

Michuzi

WLF YAKABIDHI NYUMBA ZENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 156 KWA AJILI YA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KITUO CHA AFYA NGURUKA WILAYANI UVINZA

 .Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya kushoto Akishirikiana na Mkurugenzi Mkuu wa World Lung Foundation(wa pili kushoto)Dr Nguke Mwakatundu kukata utepe wakati wa Uzinduzi wa Nyumba za Watumishi wa Afya katika kituo cha Afya Nguruka Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma. Mkuu wa mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya  akikata utepe Ikiwa ni Ishara ya ufunguzi wa Nyumba zilizo jengwa kwa hisani ya WLF kwa ajili ya watumishi wa Afya katika kituo cha Nguruka Wilayani Uvinza Mkoani...

 

9 years ago

Mwananchi

Watumishi afya wanaomiliki hospitali kuchunguzwa

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ameagiza kufanyike uchunguzi dhidi ya waganga na wauguzi, wanaomiliki hospitali, kliniki na maduka ya dawa baridi ili kubaini kama wanahusika na upotevu wa dawa kwenye hospitali za Serikali.

 

10 years ago

StarTV

Watumishi wa afya waendelea kunyooshewa kidole.

Na Sudi Shaaban,

Mwanza.

Sekta ya afya nchini imetajwa kuwa chanzo kikubwa cha kuisabishia serikali lawama kutoka kwa wananchi kutokana na utendaji mbovu wa watumishi ambao umekuwa ukilalamikiwa kila kukicha bila kuchukuliwa hatua yeyote.

 

Pia sekta hiyo imeendelea kukabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa vifaa tiba pamoja na dawa jambo ambalo bado ni kilio kikubwa kwa serikali na wananchi.

 

Nia ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo ni kuhakikisha mkoa unapiga hatua katika...

 

9 years ago

Mwananchi

Uhaba watumishi afya waitesa Lindi

Upungufu wa watumishi wa sekta ya afya mkoani hapa unadaiwa kuchangia huduma duni katika hospitali, zahanati na vituo vya afya vya Serikali na kuhatarisga maisha ya wagonjwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tatizo la watumishi sekta ya afya lapungua

NAIBU Katibu Mkuu anayeshughulika na afya katika Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Dk. Deo Mtasiwa, amesema tatizo la ukosefu wa watumishi wa sekta...

 

11 years ago

Dewji Blog

Singida yakabiliwa na Upungufu wa watumishi sekta ya Afya

DSC09892

Mkuu wa wilaya ya Singida.Queen Mlozi, akizungumza kwenye kikao cha mrejesho wa utafiti uliofanywa na timu ya ufuatiliaji na uwajibikaji jamii (Social Accountability Monitoring-SAM) kilichofanyika mjini Singida.Timu ya SAM kwa kushirikiana na baadhi ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Singida,kwa pamoja walifanya utafiti juu ya uwajibikaji kwenye vituo vya kutolea huduma ya afya.Kushoto ni mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida,Idd Mnyampanda nas kulia ni mwenyekiti wa kikao...

 

9 years ago

StarTV

Watumishi Wizara ya Afya wahimizwa kuwahi ofisini

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Hamis Kigwangala amesema ni marufuku kwa mtumishi wa wizara hiyo kuchelewa kazini ili kuendana na kasi ya maendeleo.

Uamuzi huo umekuja baada ya Naibu waziri huyo kuingia kazini saa 12 na robo asubuhi na kukuta Waziria, Katibu Mkuu na Mkurugenzi wa rasilimali watu kuwa miongoni mwa  watumishi waliowahi wakati watumishi wengine wakiwa bado hawajafika ofisini.

 Zama za uwajibikaji, ndio hali halisi iliyojitokeza katika lango kuu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani