Tatizo la watumishi sekta ya afya lapungua
NAIBU Katibu Mkuu anayeshughulika na afya katika Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Dk. Deo Mtasiwa, amesema tatizo la ukosefu wa watumishi wa sekta...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog05 Jul
Singida yakabiliwa na Upungufu wa watumishi sekta ya Afya
Mkuu wa wilaya ya Singida.Queen Mlozi, akizungumza kwenye kikao cha mrejesho wa utafiti uliofanywa na timu ya ufuatiliaji na uwajibikaji jamii (Social Accountability Monitoring-SAM) kilichofanyika mjini Singida.Timu ya SAM kwa kushirikiana na baadhi ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Singida,kwa pamoja walifanya utafiti juu ya uwajibikaji kwenye vituo vya kutolea huduma ya afya.Kushoto ni mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida,Idd Mnyampanda nas kulia ni mwenyekiti wa kikao...
9 years ago
MichuziWAZIRI UMMY MWALIMU AWATAKA WATUMISHI WA SEKTA YA AFYA KUTOFANYA KAZI KWA MAZOEA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5iDjKD_ecs8/VIgx1gWRV8I/AAAAAAACwMw/Y7X8ISdv77M/s72-c/unnamed.jpg)
Wadau wa Sekta ya Afya kutoka Tanzania Washiriki Maonyesho ya Sekta ya Afya jijini Istanbul -Uturuki. Dec 2014.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7Nr85iToPjE/Xuyv5d67UeI/AAAAAAALuls/wCd5IV8DjSY6B1VFHKTGao_2YiwXs4GPACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-19%2Bat%2B1.39.54%2BPM.jpeg)
SEKTA BINAFSI YACHANGIA SERIKALI BILIONI 2.1 KWA AJILI YA KUBORESHA SEKTA YA AFYA
Na. WAMJW-DSM
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepokea kiasi cha shilingi bilioni 2.1 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini kutoka kwa wadau wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF).
Akiongea wakati wa makabidhiano hayo Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi ameishukuru TPSF kwa uratibu wao kwa sekta binafsi kuchangia vifaa tiba hivyo ili vituo vya afya kuwa na vifaa muhimu vya kutolea...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Il8yaLfWT58/Xs5DRVoCh9I/AAAAAAACGM0/hly_GmlxY-UAblLbi3XG4qc4lboLMegGgCK4BGAsYHg/s72-c/md%2B1.jpg)
Naibu Waziri wa Afya aipongeza Benki ya CRDB uwezeshaji Sekta ya Afya
![](https://1.bp.blogspot.com/-Il8yaLfWT58/Xs5DRVoCh9I/AAAAAAACGM0/hly_GmlxY-UAblLbi3XG4qc4lboLMegGgCK4BGAsYHg/s320/md%2B1.jpg)
====== ====== ======
10 years ago
MichuziWLF YAKABIDHI NYUMBA ZENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 156 KWA AJILI YA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KITUO CHA AFYA NGURUKA WILAYANI UVINZA
10 years ago
MichuziSerikali imejipanga kutatua tatizo la makazi kwa watumishi wa umma
Serikali imejipanga kutatua tatizo la makazi kwa watumishi wa umma kwa kujenga nyumba Elfu 10 za gharama nafuu kote nchini.
Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Bw.Elius Mwakalinga wakati wa ziara ya waandishi wa habari katika miradi mbalimbali inayotekelezwa na wakala huo jijini Dar es Salaam na Pwani.
Mwakalinga alisema kuwa mradi huo wa nyumba elfu 10 unaogharimu zaidi ya shilingi bilioni 18 unahusisha nyumba...
10 years ago
MichuziWatumishi wa afya waonywa
Baadhi ya wadau wa afya wakifuatilia uzinduzi wa wa Mpango wa Maboresho kwa Wafanyakazi wa Sekta ya Afya (HRHSP 2014/2019), uliofanyika Dar es Salaam jana. Picha na Joseph Zablon.
Wafanyakazi katika sekta ya afya wanadaiwa kutumia muda wa asilimia 20 na isiyozidi 30 kwa mwa mwezi jambo ambalo ni...