Utoaji huduma za afya bure waendelea kuvutia wengi Sabasaba
Baadhi ya wateja kwenye Maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam wakiwa wamepanga foleni kusubiri kumuona daktari ndani ya Banda la NSSF walipotembelea banda hilo.
Mmoja wa madaktari (kushoto) akimuhudumia mteja alipokuwa akipatiwa huduma za afya bure zinazotolewa na NSSF. Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linatoa huduma za afya bure kwa wateja mbalimbali watakaotembelea katika Banda la shirika hilo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog01 Jul
NSSF yatoa huduma za afya bure Maonesho ya Sabasaba
![Mmoja wa Maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mbele aliyekaa akitoa huduma katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba. viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam wakiwahudumia wateja wao.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_0098.jpg)
Mmoja wa Maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mbele aliyekaa akitoa huduma katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba. viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam wakiwahudumia wateja wao.
Dk. Suzan Lymo toka Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam (wa kwanza kulia) akimuhudumia mteja akipatiwa huduma za afya bure zinazotolewa na NSSF.
![Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakitoa huduma katika Banda la NSSF kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba. viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam tayari kwa kuwahudumia wateja wao.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_01042.jpg)
Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakitoa huduma...
11 years ago
MichuziPPF WAENDELEA KUTOA HUDUMA KWA WAKATI KATIKA MAONYESHO YA 38 YA SABASABA
11 years ago
MichuziWATANZANIA WAENDELEA KUMIMINIKA KATIKA BANDA LA PPF SABASABA KUJIPATIA HUDUMA MBALIMBALI
11 years ago
GPLWATANZANIA WAENDELEA KUMIMINIKA KATIKA BANDA LA PPF SABASABA KUJIPATIA HUDUMA MBALIMBALI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Cc0InBfyVJ0/XvebnuK01AI/AAAAAAALvtY/oRePEI_VlPUZGmXcpqvno2DNn6mUqo-CQCLcBGAsYHQ/s72-c/001.jpg)
Hospitali ya Mirembe yaboresha utoaji wa huduma za afya
Huduma kuanza saa 1:00 asubuhi badala ya saa 2:00 asubuhi
Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe imefanya mabadiliko katika utoaji wa huduma za matibabu kwa wagonjwa wa nje, ambapo muda wa kuanza kutoa matibabu ni saa moja asubuhi badala ya saa mbili asubuhi.
Lengo la uongozi wa hospitali kufanya mabadiliko hayo ni kuboresha huduma za afya ili kuwezesha watu mbalimbali kupata huduma za matibabu mapema zaidi na kwa wakati.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili...
11 years ago
Mwananchi26 May
Ripoti: Wazee hawapati huduma za afya bure
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PEYHtTzMREo/VQFNTghULiI/AAAAAAAAqwE/CwhbD_Z0JgI/s72-c/unnamedA.jpg)
NHIF yaombwa kuendelea na huduma ya upimaji wa afya bure
![](http://3.bp.blogspot.com/-PEYHtTzMREo/VQFNTghULiI/AAAAAAAAqwE/CwhbD_Z0JgI/s1600/unnamedA.jpg)
Na Catherine Kameka
WADAU wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wameuomba Mfuko huo kuendeleza programu za upimaji wa afya bure ili kuwasaidia wanachama wake na wananchi kwa ujumla kujua hali za afya zao lakini...
11 years ago
MichuziNHIF yapongezwa kwa huduma za upimaji Afya bure
![](http://2.bp.blogspot.com/-buaMBo1cfRI/UuvlzPh5hQI/AAAAAAAFJ_k/FrptGBLZySI/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VaCvRIp1-EE/UuvlzAHwH6I/AAAAAAAFJ_o/yJpGC1Jvlgo/s1600/3.jpg)
11 years ago
Dewji Blog10 Apr
Huduma ya BURE ya kukagua afya kwa waishio DMV, Marekani
![](http://2.bp.blogspot.com/-mDcUyIhI1RE/U0O_Ny9U2nI/AAAAAAAAG5g/3CqyPtlZAcA/s1600/Free+health+screening.png)
Wataalam wa afya DMV (HCP Metro DC) wanatuleta huduma ya afya kwa wale wasiokuwa na bima ya afya. Huduma hii itatolewa kwa usawa bila kujali dini,rangi,umri,uraia au uchumi.
Kama una rafiki, ndugu au mzazi asiyekuwa na bima ya afya tunaomba mshiriki ili tuwe na jamii inayoshamiri na yenye afya njema. Zoezi hili litachukuwa hatua ya kuwaona wale watakaokuwa na hali pungufu ya afya njema mara moja kwa mwezi.
Tarehe: 04/12/2014 (Jumamosi)
Saa 3:00 asubuhi hadi mchana 7:00 (waweza kuja...