Ujenzi wa maabara waendelea kupamba moto mkoani Singida
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Manyoni mkoani Singida, Supeet Mseya (kulia), akikagua ujenzi wa vyumba vitatu vya maabara katika kata ya Iseke.(Picha na Nathaniel Limu).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Jan
Wakurugenzi wakalia kaa la moto ujenzi wa maabara
SERIKALI imesema itawafukuza kazi wakurugenzi wa halmashauri na wakuu wa Idara, ambao watashindwa kukamilisha agizo la Rais Jakaya Kikwete la kujenga maabara tatu kwa kila shule, baada ya muda wa nyongeza wa miezi sita.
10 years ago
MichuziUJENZI WA MAABARA: MAHIZA AWATAKA WAKUU WA IDARA WASIKAE OFISINI WAENDE KWENYE KATA,ATAKA MADIWANI WAAHIRISHE VIKAO VYAO HADI UJENZI UTAKAPOKAMILIKA
SUALA la Maabara kwa shule za Sekondari za Kata limeingia kwenye hatua nzito baada ya mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza kuiacha ofisi yake na kuhamia Wilaya ya Bagamoyo ili kuhakikisha agizo la Rais Dk Jakaya Kikwete la kila wilaya iwe imekamilisha ujenzi huo ifikapo Novemba 30 mwaka huu.
Sambamba na hilo mkuu huyo amewataka wakuu wa idara wa Wilaya hiyo kila mmoja kutokaa ofisini na kuchagua kata ya kwenda ili kusimamia ujenzi huo hadi ujenzi wa maabara...
10 years ago
Michuzi
HOMA YA MICHUANO YA KAGAME YAZIDI KUPAMBA MOTO

APR ya Rwanda tayari imeshawasili jijjini Dar es salaam, pamoja na timu za Al Shandy ya Sudan, KMKM ya Visiwani Znzibar, huku timu za Al Malakia ya Sudan Kusini na mabingwa mara tano wa michuano hiyo Gor Mahia wakitarajiwa kuwasili leo saa saa 10 jioni kwa ndege ya Kenya...
10 years ago
Michuzi
MICHUANO YA KAGAME CUP YAZIDI KUPAMBA MOTO

Al Shandy Kagame Cup 2015.
Picha na Bin ZubeiryMichuano ya Kombe la Kagame inayoendelea kutimua vumbi katika viwanja viwili vya Taifa na Karume vilivyopo jijini Dar es salaam, itaendelea kesho kwa michezo miwili itayopigwa katika dimba la Uwanja wa Taifa.
Katika michezo iliyochezwa leo, Malakia ya Sudani Kusini iliibuka na ushindi wa mabao 2- 1 dhidi ya Adama City ya Ethiopia, LLB ya Burundi ikitoka sare ya bila kufungana na Heegan FC ya Somalia mchezo...
11 years ago
BBCSwahili24 Feb
Ligi Kuu England yazidi kupamba moto
10 years ago
GPL
SAKATA LA DK. SLAA KUTAKA KUUAWA LAZIDI KUPAMBA MOTO
10 years ago
VijimamboPAZI REUNION MAMBO YAZIDI KUPAMBA MOTO HOUSTON, TEXAS
Watatu toka kushoto ni Richard Kasesela alipokua akiwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa George Bush Intercontinental uliopo Houston, Texas nchini Marekani kwa ajili ya Pazi Reunion itakayofanyika siku ya Jumamosi March 14, 2015 katika uwanja wa mpira wa kikapu wa Pilgrim uliopo katika kanisa la Lutheran lililopo Houston. Wengine katika picha ni wenyeji wake waliompokea, kutoka kushoto ni Willy Crrusa, Aika na Flora Mochiwa maarufu kama Madikodiko. Mchezaji mwingine anayekuja kwenye...
11 years ago
Dewji Blog04 Jun
Mama Balozi Seif Idd na Khadija Kopa kupamba Miss Singida 2014
Muandaaji wa shindano la Miss Singida 2014 Anti Bora Lemmy, akizungumza na wadhamnini mbalimbali mkoani singida wakati akiwatambulisha Mamiss kwa waandishi wa habari.
Na Hillary Shoo, Singida.
MKE wa Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, mama Assi Balozi seif Idd anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika shindano la kumsaka Miss Redds Singida 2014.
Akizungumza na waandisi wa habari muandaaji wa shindano hilo mkoani Singida, Bora Lemmy alisema mbali na mama Assi , pia...
10 years ago
Michuzi
SHINDANO LA DANCE 100% LAZIDI KUPAMBA MOTO CHINI YA VODACOM TANZANI

