MICHUANO YA KAGAME CUP YAZIDI KUPAMBA MOTO
![](http://1.bp.blogspot.com/-1nHQ1SyBe18/VawjLe3jlGI/AAAAAAAHqlY/jePQgTtXg4s/s72-c/1.jpg)
Mechi kati ya APR ya Rwanda na
Al Shandy Kagame Cup 2015.
Picha na Bin ZubeiryMichuano ya Kombe la Kagame inayoendelea kutimua vumbi katika viwanja viwili vya Taifa na Karume vilivyopo jijini Dar es salaam, itaendelea kesho kwa michezo miwili itayopigwa katika dimba la Uwanja wa Taifa.
Katika michezo iliyochezwa leo, Malakia ya Sudani Kusini iliibuka na ushindi wa mabao 2- 1 dhidi ya Adama City ya Ethiopia, LLB ya Burundi ikitoka sare ya bila kufungana na Heegan FC ya Somalia mchezo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yBO7M96AQ3w/VaekhdIVhEI/AAAAAAAHqGQ/ELusmWgiuUU/s72-c/tff_LOGO1.jpg)
HOMA YA MICHUANO YA KAGAME YAZIDI KUPAMBA MOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-yBO7M96AQ3w/VaekhdIVhEI/AAAAAAAHqGQ/ELusmWgiuUU/s400/tff_LOGO1.jpg)
APR ya Rwanda tayari imeshawasili jijjini Dar es salaam, pamoja na timu za Al Shandy ya Sudan, KMKM ya Visiwani Znzibar, huku timu za Al Malakia ya Sudan Kusini na mabingwa mara tano wa michuano hiyo Gor Mahia wakitarajiwa kuwasili leo saa saa 10 jioni kwa ndege ya Kenya...
11 years ago
BBCSwahili24 Feb
Ligi Kuu England yazidi kupamba moto
10 years ago
VijimamboPAZI REUNION MAMBO YAZIDI KUPAMBA MOTO HOUSTON, TEXAS
Watatu toka kushoto ni Richard Kasesela alipokua akiwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa George Bush Intercontinental uliopo Houston, Texas nchini Marekani kwa ajili ya Pazi Reunion itakayofanyika siku ya Jumamosi March 14, 2015 katika uwanja wa mpira wa kikapu wa Pilgrim uliopo katika kanisa la Lutheran lililopo Houston. Wengine katika picha ni wenyeji wake waliompokea, kutoka kushoto ni Willy Crrusa, Aika na Flora Mochiwa maarufu kama Madikodiko. Mchezaji mwingine anayekuja kwenye...
10 years ago
MichuziPazi ReUnion USA. Mabo yazidi kupamba moto Houston Texas
Mdau Richard Kasesela ( Wapili kulia) alipokua akiwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa George Bush Intercontinental uliopo Houston, Texas nchini Marekani kwa ajili ya Pazi Reunion itakayofanyika siku ya Jumamosi March 14, 2015 katika uwanja wa mpira wa kikapu wa Pilgrim uliopo katika kanisa la Lutheran lililopo Houston. Wengine katika picha ni wenyeji wake waliompokea, kutoka kushoto ni Willy Crrusa, Aika na Flora Mochiwa maarufu kama Madikodiko. Mchezaji mwingine anayekuja kwenye...
10 years ago
Raia Mwema05 Aug
Michuano ya Kagame imekosa ubunifu
PAZIA la michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati Kagame Cup, lilifungwa mwishoni mwa wi
Mwandishi Wetu
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z5-8fcFduXY/VaO7Z5BjJ_I/AAAAAAAHpWo/7ie6X0eHtfk/s72-c/logo.png)
MICHUANO YA KAGAME KUANZA JUMAMOSI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z5-8fcFduXY/VaO7Z5BjJ_I/AAAAAAAHpWo/7ie6X0eHtfk/s1600/logo.png)
Mashindano ya CECAFA Kagame Cup ni mashindano makongwe barani Afrika ambayo yalianza mwaka 1967 kwa kushirikisha timu za ukanda wa Afrika...
10 years ago
Mtanzania19 May
Michuano ya Kagame kuifunza Yanga
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans van Der Pluijm, amesema atatumia michuano ya Kombe la Kagame kujifunza mbinu za kukisaidia kikosi chake katika michuano ya kimataifa ya Klabu Bingwa Afrika na siyo usajili.
Michuano ya Kagame inatarajiwa kufanyika hapa jijini Dar es Salaam Julai mwaka huu, kwa kushirikisha mabingwa wa klabu ambao ni wanachama wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA).
Akizungumza na MTANZANIA jana akiwa nchini Ghana kwa...
10 years ago
BBCSwahili14 Jul
Michuano ya Kagame kuanza kutimua vumbi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KuL1hinl0lY/VbECXj5FCAI/AAAAAAABeEQ/scX5VIksls8/s72-c/Picha%2Bya%2BPg.24%2BJulai%2B24.jpg)
MICHUANO YA KAGAME, APR YAICHAPA LLBA FC YA BURUNDI 2-1
![](http://4.bp.blogspot.com/-KuL1hinl0lY/VbECXj5FCAI/AAAAAAABeEQ/scX5VIksls8/s640/Picha%2Bya%2BPg.24%2BJulai%2B24.jpg)