Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakurugenzi wakalia kaa la moto ujenzi wa maabara

Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey MwanriSERIKALI imesema itawafukuza kazi wakurugenzi wa halmashauri na wakuu wa Idara, ambao watashindwa kukamilisha agizo la Rais Jakaya Kikwete la kujenga maabara tatu kwa kila shule, baada ya muda wa nyongeza wa miezi sita.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Ujenzi wa maabara waendelea kupamba moto mkoani Singida

DSC02467

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Manyoni mkoani Singida, Supeet Mseya (kulia), akikagua ujenzi wa vyumba vitatu vya maabara katika kata ya Iseke.(Picha na Nathaniel Limu).

DSC02469

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Escrow kaa la moto



NA THEODOS MGOMBA, DODOMA KASHFA ya madai ya kuchotwa mabilioni ya shilingi kwenye akaunti ya ESCROW, imezidi kuwa moto kutokana na kuibua mjadala mkali bungeni kila kukicha. Tayari serikali iliagiza kufanyika kwa uchunguzi wa kina ili kubaini iwapo malipo hayo kwa Kampuni ya PAP, iliyonunua IPTL, yalifanyika kihalali, ambapo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), imepewa jukumu hilo. Hata hivyo, habari za kuaminika...

 

11 years ago

Habarileo

Bajeti kaa la moto bungeni

KAMATI ya Kudumu ya Bajeti imeonesha wasiwasi kuhusu ongezeko la haraka la deni la taifa na kusema hali hiyo inatishia ukuaji endelevu wa uchumi. Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Andrew Chenge aliliambia Bunge jana, ongezeko la ghafla la deni la taifa kutoka Sh trilioni 23.67 Machi mwaka jana, hadi Sh trilioni 30.56 Machi, mwaka huu, linadhihirisha wasiwasi wa matumizi mabaya ya fedha za umma.

 

11 years ago

Mwananchi

Fedha za IPTL kaa la moto

>Tuhuma za ufisadi wa zaidi ya Sh200 bilioni katika akaunti ya Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zinaonekana kuwa kaa la moto na jana zilitikisa Bunge na kuibua mvutano mkali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Posho kaa la moto bungeni

KINARA wa kudai nyongeza za posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Richard Ndassa, jana aliwashambulia waandishi wa habari kwa kuandika habari zinazowagombanisha na wananchi.  Alisema vyombo hivyo vinalitumia...

 

9 years ago

Raia Tanzania

Ubunge Arusha kaa la moto

HARAKATI za uchaguzi zimeanza rasmi katika Jimbo la Arusha Mjini baada ya vyama vikubwa viwili vyenye ushindani; Chama Cha Mapinduzi ( CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuzindua rasmi kampeni zao mwishoni mwa wiki.

Katika uzinduzi wa kampeni hizo, kwa mara nyingine wapiga kura walishuhudia ahadi lukuki zikitolewa na wagombea wa nafasi za ubunge na udiwani wa vyama vyote viwili ambazo zimekuwa zikitekelezwa nusu nusu au zisitekelezwe kabisa.

Hata hivyo, ushindani wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Katiba Simba kaa la moto

>Wakati mkutano wa mabadiliko ya Katiba ya Simba umepangwa kufanyika Machi 16 suala kubwa linalowapasua vichwa wanachama ni kipengele cha kutaka mtu aliyefungwa asiruhusiwe kugombea nyadhifa ndani ya klabu hiyo.

 

10 years ago

Mtanzania

Posho za Bunge kaa la moto

Bunge

Bunge

NA MWANDISHI WETU, DODOMA

OFISI ya Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma, imetoa ufafanuzi juu ya taarifa zilizotolewa kwenye vyombo vya habari kuhusu kuchelewa kwa malipo ya posho za wajumbe wa Bunge hilo.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Mkurugenzi wa Habari na Itifaki wa Bunge Maalumu, Jossey Mwakasiyuka, alisema ofisi ya Bunge hilo imekerwa na baadhi ya vyombo vya habari kuchapisha taarifa hizo.

Alisema taarifa hizo ni za upotoshaji na zina lengo la kuwadhalilisha...

 

9 years ago

Mtanzania

Unaibu Spika kaa la moto

tulia ackson>Jenister Mhagama ajitosa kumvaa Dk. Tulia Akson

>Wabunge washtukia figisufigisu ya mgombea kubebwa
>Ndugai apita bila kupingwa, Ukawa wamteua Medeye

NA WAANDISHI WETU, DODOMA

BAADA ya jana wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumpitisha aliyekuwa Naibu Spika wa Bunge la 10, Job Ndugai, kuwania kiti cha uspika, vita kubwa inaonekana kuanza katika nafasi ya Naibu Spika.

Taarifa zilizopatikana jana mjini hapa, zinasema kuwa katika nafasi hiyo, baadhi ya vigogo wa Serikali wanataka Dk. Tulia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani