KIFO CHA MTOI NINI KILITOKEA
Aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Lushoto mkoani Tanga, Mohamed Mtoi.
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, pamoja na makada wengine wa chama hicho, wanatarajiwa kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Lushoto mkoani Tanga, Mohamed Mtoi (39), aliyefariki dunia juzi usiku kwa ajali ya gari.
Kwa mujibu wa Mkuu wa Idara ya Mawasiliano wa Chadema, Tumaini Makene, mazishi hayo yanatarajiwa kufanyika leo saa 7:00 mchana katika kijiji cha...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-briaFfofQfU/VfSnRDWeLOI/AAAAAAAAVM8/x8p1lIQrHg4/s72-c/FB_IMG_1441873402402.jpg)
SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA KAMANDA MOHAMED MTOI KANYAWANA
![](http://1.bp.blogspot.com/-briaFfofQfU/VfSnRDWeLOI/AAAAAAAAVM8/x8p1lIQrHg4/s1600/FB_IMG_1441873402402.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wYDHNQtVwm4/VfSnRCl_QeI/AAAAAAAAVM4/AJhcJZgtWdo/s1600/IMG-20150912-WA0193.jpg)
NACHUKUA fursa hii kwa masikitiko makubwa sana kutoa Salamu za Rambirambi kwa Familia na Uongozi wa Juu wa Chadema Makao makuu kwa msiba wa Kamanda mwenzetu, Mpiganaji wa kweli, Kijana mwenzetu Ndugu Mohamed Mtoi Kanyawana aliyefariki kwa ajali ya Gari iliyotokea huko Tanga. Kwa kweli bado tulikuwa tunamhitaji sana kamanda...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vuUh0rgUyT7NeqhlE9GXB-Ohp4zIJ-QR6yTDECVb8mlpJ3*R8r3FSNMczc9Gvay*fqNydqbSCjfd9aStXCvcDNa5aK0GFvm6/10.jpg)
WEMA, AUNT NINI KILITOKEA PALE MSIBANI?
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Ni kweli Kidumu ameokoka? nini hasa kilitokea? nimempata mwenyewe kujibu hii
Jina lake lilianza kutajwa na Watanzania wengi kupitia hit single zake kama ya ‘haturudi nyuma’ ft Juliana ni miaka imepita toka wimbo wake wa mwisho uwe kwenye TOP 10 ya Radio za Tanzania, sasa juzi zikatufikia habari kwamba Kidumu ameokoka na sasa hatoonekana akiimba muziki tuliozoea kumuona nao, ni kweli? ni kitu gani kilitokea hasa? […]
The post Ni kweli Kidumu ameokoka? nini hasa kilitokea? nimempata mwenyewe kujibu hii appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Tunajifunza nini kifo cha Betty Ndejembi?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7p-J*XN4NvpqVJ2DDdmy4dj*BLu2bPiJq*TMtpQQQicWXaYWmsHgpDhlcIdgY-vbtYSPUfSBFSa60EFS45fagMb/mgimwa.jpg?width=650)
KIFO CHA WAZIRI MGIMWA, KWA NINI...
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Miaka 18 ya kifo cha Tupac wasanii mmejifunza nini?
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Uchaguzi wa Tanzania 2020: Nini mustakabali wa upinzani baada ya 'kifo' cha UKAWA?
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Kifo cha George Floyd: Tunafahamu nini kuhusu maafisa 4 wa polisi waliohusika?
5 years ago
BBCSwahili30 May
Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani