WEMA, AUNT NINI KILITOKEA PALE MSIBANI?
![](http://api.ning.com:80/files/vuUh0rgUyT7NeqhlE9GXB-Ohp4zIJ-QR6yTDECVb8mlpJ3*R8r3FSNMczc9Gvay*fqNydqbSCjfd9aStXCvcDNa5aK0GFvm6/10.jpg)
Diva wa filamu za Kibongo, 'Wema sepetu' akilia wakati wa mazishi ya Kuambiana. NIMEWAHI kumzungumzia Wema Sepetu mara kadhaa, ingawa hii itakuwa mara yangu ya kwanza kumleta katika safu hii Aunt Ezekiel. Nimeamua kuwazungumzia kwa pamoja kutokana na tukio lililotokea hivi karibuni la kufariki na kuzikwa kwa mmoja wa watu muhimu sana kwenye filamu Tanzania, Adam Kuambiana. Nimemfahamu Wema kwa muda mrefu kidogo, tokea pale...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies18 May
Maoni:Unamshauri Nini Aunt Ezekiel Kuhusu Ugomvi na Wema?
Kwa kuangalia historia ya Wema Sepetu na Aunt Ezekiel ni zaidi ya marafiki ambao walikuwa maswahiba walioshibana kiasi kwamba hakuna mtu anaeweza kujua kama leo watakuwa maadui. Na urafiki huu ulikomaa zaidi pale Madame Wema alipokuwa amerudiana na Diamond Platinumz kiasi kwamba hata safari za nje za Wema na Diamond na Aunt nae alikuwa anasafiri na hatukujua alikuwa anasafiri kwa gharama ya nani.
Kwa ukaribu huu wa Wema na Diamond kulimfanya Dogo wetu Moses Iyobo kupata bahati ya mtende...
9 years ago
Vijimambo14 Sep
KIFO CHA MTOI NINI KILITOKEA
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Moha-14Sept2015.png)
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, pamoja na makada wengine wa chama hicho, wanatarajiwa kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Lushoto mkoani Tanga, Mohamed Mtoi (39), aliyefariki dunia juzi usiku kwa ajali ya gari.
Kwa mujibu wa Mkuu wa Idara ya Mawasiliano wa Chadema, Tumaini Makene, mazishi hayo yanatarajiwa kufanyika leo saa 7:00 mchana katika kijiji cha...
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Ni kweli Kidumu ameokoka? nini hasa kilitokea? nimempata mwenyewe kujibu hii
Jina lake lilianza kutajwa na Watanzania wengi kupitia hit single zake kama ya ‘haturudi nyuma’ ft Juliana ni miaka imepita toka wimbo wake wa mwisho uwe kwenye TOP 10 ya Radio za Tanzania, sasa juzi zikatufikia habari kwamba Kidumu ameokoka na sasa hatoonekana akiimba muziki tuliozoea kumuona nao, ni kweli? ni kitu gani kilitokea hasa? […]
The post Ni kweli Kidumu ameokoka? nini hasa kilitokea? nimempata mwenyewe kujibu hii appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Mtanzania27 Apr
Aunt Ezekiel: Msibani si kwa kuonyesha urembo
NA RHOBI CHACHA
STAA wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amewaponda wasanii wanaokwenda misibani wakiwa wamejipara kupita kiasi.
Msanii huyo aliwaponda wasanii wenzake wenye tabia ya kutumia sehemu za misiba kugeuza uwanja wa kuonyesha mavazi na vito vya thamani katika miili yao.
“Wenye tabia hizo acheni kujipodoa katika msiba, tunakera wenzetu ndiyo maana linaongelewa kila siku tuishi kulingana na utamaduni wetu tusiige,’’ alisema huku akifafanua zaidi.
“Wenzetu wakiwa katika majonzi nasi...
10 years ago
Bongo Movies19 Jan
Hapa na Pale:‘Wema Aniachie Bob Junior Wangu'
UBUYU! Siku chache baada ya kuripotiwa kwa tukio la staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu kunaswa kimalovee na Rais wa Masharobaro, Raheem Rummy Nanji ‘Bob Junior’, mwigizaji chipukizi, Bozi ameibuka na kudai ‘Wema niachie Bob Junior wangu’.
Kwa mujibu wa chanzo cha GPL, mara baada ya habari hiyo kuruka hewani kupitia gazeti tumbo moja na hili, Amani la wiki iliyopita, mrembo huyo alipoziona picha za wawili hao alipoteza fahamu.
Akizungumza na GPL huku akiangua kilio, Bozi alisema...
10 years ago
Bongo Movies03 Mar
Mapenzi Yamerogwa: Wema Sepetu Pale Kati.....Akitaka Kutolewa Roho na Mboto!
Filamu mpya inayokwenda kwa jina la Mapenzi Yamerogwa, iliyowajumuisha waigizaji wakali kama Wema Sepetu, Mboto, Hemmed PHD, Riyama na Aunty Ezekiel inatarajiwa kuingia sokoni tarehe 23 mwezi huu.
“Mapenzi Yamerogwa pale kati Wema Sepetu na mustach wake mpnz Fontana akitaka kutolewa roho na Mboto aliyechoshwa na ahadi za Hemmed aliyezidiwa na mapenzi ya Faudhia aliyefundwa unyagoni na Riyama nahitaji support yenu...kazi hii itakuwa sokoni kuanzia tarehe 23 mwezi huu....tukisambaza wenyewe...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQKtZpfuL7-se8J4ZvLVVrurmmVag8UQCciD1vrZ4A7hM74-Ly7Cm2Znpvl9p4Zgnr8fneW1OREy-zhzKdeo1CV3/wema.jpg?width=650)
UCHAFU WA WEMA, AUNT
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjNGbqPiQugHzHSJUfiL0nzBDtIfD2m5KnigxtKzQovbLZ3pMFAaNvZKp3TT5BGkkWnmrspm-qQdg5zUZVYpwYUs/auntycopy.jpg?width=650)
AUNT: SITAMZIKA WEMA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q7T2q86GkzWpSvXMSjRb2Xrxl9VIL9IOQrMJyaeijXx6wjqsPjTwlAqMZVH-GSO5QUQybmt0vuU1*D*7n-OHEZA262pF*pej/jb.jpg)
WEMA, AUNT WAMWINGIZA MKENGE JB