Miaka 18 ya kifo cha Tupac wasanii mmejifunza nini?
Leo dunia nzima inaadhimisha miaka 18 ya kifo cha nguli wa muziki wa kizazi kipya aliyewahi kuitikisa dunia ya vijana kwa miaka isiyozidi minane akiwa kinara na kisha kuaga dunia kwa kupigwa risasi na mahasimu wake na kufariki dunia siku ya saba baada ya kupoteza damu nyingi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IlN0UevPKmZDN*lXy2aHgyYWnmFuoTQiF9ENiotUmWXyoH*oH0DJF8XmNPENOMHQc1MkGCvsIq3le3MPYb7hUwwtABAF1sHU/rip_kanumba.jpg?width=650)
MIAKA 2 YA KIFO CHA KANUMBA: WASANII WENZAKE WALIVYOMKUMBUKA
10 years ago
Bongo Movies17 Apr
MIAKA 3 KIFO CHA KANUMBA: Wasanii Wamepoteza Ajira
ILIKUWA Aprili 7, 2012 pale nyota iliyong’ara katika tasnia ya filamu ilipozimika ghafla.
Steven Charles Kanumba alikuwa ni msanii, mwongozaji na mtayarishaji wa filamu aliyeifanya tasnia ya filamu nchini kuwa hai.
Kanumba, alikuwa ni zaidi ya mwigizaji kutokana na uwezo wake wa kutengeneza uhalisia wa kile alichokuwa akikifanya katika filamu.
Katika miaka yake ya mwanzo kaburini kila ilipofika Aprili 7 ya kila mwaka kulikuwa na tukio kubwa kwa ajili ya kumbukumbu yake.
Lakini mwaka huu...
9 years ago
Vijimambo14 Sep
KIFO CHA MTOI NINI KILITOKEA
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Moha-14Sept2015.png)
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, pamoja na makada wengine wa chama hicho, wanatarajiwa kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Lushoto mkoani Tanga, Mohamed Mtoi (39), aliyefariki dunia juzi usiku kwa ajali ya gari.
Kwa mujibu wa Mkuu wa Idara ya Mawasiliano wa Chadema, Tumaini Makene, mazishi hayo yanatarajiwa kufanyika leo saa 7:00 mchana katika kijiji cha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7p-J*XN4NvpqVJ2DDdmy4dj*BLu2bPiJq*TMtpQQQicWXaYWmsHgpDhlcIdgY-vbtYSPUfSBFSa60EFS45fagMb/mgimwa.jpg?width=650)
KIFO CHA WAZIRI MGIMWA, KWA NINI...
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Tunajifunza nini kifo cha Betty Ndejembi?
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Wasanii walivyoguswa na kifo cha ‘MCD’
TASNIA ya muziki wa dansi Jumanne ya wiki hii imepata pigo baada ya kumpoteza mpiga tumba maarufu, Soud Mohamed ‘MCD’, aliyezikwa juzi nyumbani kwao Majengo, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PJvK9UyuR4UNKfEsTxhwxYjB0NuMXUOLrs16*ZsutY-da4*GKOU4UuG-pSMZumY72k9b27R04Ra5N3UudUt2Akp/Noorah.jpg)
KIFO CHA MKE WA NOORAH CHAWALIZA WASANII
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Uchaguzi wa Tanzania 2020: Nini mustakabali wa upinzani baada ya 'kifo' cha UKAWA?
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Kifo cha George Floyd: Tunafahamu nini kuhusu maafisa 4 wa polisi waliohusika?