KIFO CHA MKE WA NOORAH CHAWALIZA WASANII

KIFO cha mke wa msanii wa Chamber Squard, Noorah aitwaye Anna Kingwalu aliyefariki dunia Jumanne ya wiki hii mkoani Morogoro, kimewaliza wasanii wengi katika tasnia ya muziki Bongo. Msanii wa Chamber Squard, akiwa na marehemu mkewe Anna Kingwalu siku ya harusi yao. Akizungumza na Centre Spread, kiongozi wa Kundi la Chamber Squard, Dark Master alisema kuwa kwa kipindi kifupi ndani ya mwaka huu kundi lao limepata pigo kubwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
MKE WA NOORAH AFARIKI DUNIA
10 years ago
Bongo503 Mar
Mke wa rapper Noorah, Camila afariki dunia
11 years ago
GPL
UNDANI KIFO CHA MKE WA ALI CHOKI
10 years ago
GPLKIFO CHA MZEE SYKES NA MKE WA MSANII KITIME
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Wasanii walivyoguswa na kifo cha ‘MCD’
TASNIA ya muziki wa dansi Jumanne ya wiki hii imepata pigo baada ya kumpoteza mpiga tumba maarufu, Soud Mohamed ‘MCD’, aliyezikwa juzi nyumbani kwao Majengo, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro....
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Kifo cha mke wa askari aliyefia kwa dereva wa bodaboda utata
10 years ago
GPL
MKE WA MTIKILA AMUOMBA KIKWETE KUUNDA TUME YA KUCHUNGUZA KIFO CHA MUMEWE
11 years ago
Mwananchi13 Sep
Miaka 18 ya kifo cha Tupac wasanii mmejifunza nini?
11 years ago
GPL
MIAKA 2 YA KIFO CHA KANUMBA: WASANII WENZAKE WALIVYOMKUMBUKA