UNDANI KIFO CHA MKE WA ALI CHOKI
![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN54PtB0UELqHmOAFODQZonUePpw3w9cVSziR2F4qendMri21YYvbHCRVYbmpU0HcB*BcQKxmiijrnJ71n7TNaxp/alichoki.jpg)
Stori: Gladness Mallya Majonzi! Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ali Choki amepata pigo kubwa la kufiwa na mkewe, Shuea Hamis ‘Mama Shuu’ baada ya kuugua kwa muda mrefu. Aliyekuwa mke wa Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ali Choki, marehemu Shuea Hamis ‘Mama Shuu’. Akizungumza na Ijumaa Wikienda kwa masikitiko, Choki alisema kwamba...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HfUvPSttO0KvlXKPRYzFmIw2EQFyVzzJw2ufZDNdH9RUcPm2dE1wSjE7dhUKh*1qVKbx4ZBmMS1kk9KTOIGkJSqvrx7YPtPT/madiba2.jpg?width=650)
UNDANI KIFO CHA MANDELA
SIYO habari tena, kwani dunia nzima inajua kuhusu kifo cha shujaa wa Afrika, nembo ya mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi, komredi aliyefungwa jela miaka 27 akitetea usawa baina ya wananchi wa Afrika Kusini, Nelson Rolihlahla Mandela.
Risasi Jumamosi, kwa msaada wa vyanzo mbalimbali, linamulika kwa undani chanzo hasa cha kifo cha Mandela, aliyefikwa na mauti usiku wa kuamkia jana, Desemba 5, mwaka huu akiwa na umri wa miaka 95. ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qyn*Uz1WnG89vxSgAswCC9QN-3Um7-TXAknth*iFsZVcvZ21eaYBEJIk3NoTVel-J9bIwrSPLJ4UDMmewna6fryHP3hYsIoz/11.jpg?width=650)
UNDANI WA KIFO CHA KEPTENI JOHN KOMBA!
Marehemu Kapteni Komba. Picha ya kwanza ya Marehemu komba mara baada ya kufariki dunia.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-3i3rVffQH1GGo-T*n8mN2qKAQqFsBcjSpXGsIh1WoCPjiGv79NShdq-HARFIIfLWuA5UeooyJ6TZvBYenukniXvzCfsqShn/choki.jpg)
MAISHA YA HUZUNI YA CHOKI BAADA YA KIFO CHA MKEWE!
Makala: Gladness Mallya
Ni maisha ya huzuni! Zikiwa zimepita siku kadhaa tangu aondokewe na mkewe kipenzi, Shuea Hamis ’Mama Shuu’, Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ali Choki, kwa mara ya kwanza amefunguka mazito kuhusiana na maisha anayoishi sasa. Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ali Choki . Mke wa Choki alifariki dunia hivi karibuni baada...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PJvK9UyuR4UNKfEsTxhwxYjB0NuMXUOLrs16*ZsutY-da4*GKOU4UuG-pSMZumY72k9b27R04Ra5N3UudUt2Akp/Noorah.jpg)
KIFO CHA MKE WA NOORAH CHAWALIZA WASANII
KIFO cha mke wa msanii wa Chamber Squard, Noorah aitwaye Anna Kingwalu aliyefariki dunia Jumanne ya wiki hii mkoani Morogoro, kimewaliza wasanii wengi katika tasnia ya muziki Bongo. Msanii wa Chamber Squard, akiwa na marehemu mkewe Anna Kingwalu siku ya harusi yao. Akizungumza na Centre Spread, kiongozi wa Kundi la Chamber Squard, Dark Master alisema kuwa kwa kipindi kifupi ndani ya mwaka huu kundi lao limepata pigo kubwa...
10 years ago
GPLKIFO CHA MZEE SYKES NA MKE WA MSANII KITIME
RAMBIRAMBI KWA KIFO CHA MKE WA MWANAMUZIKI JOHN KITIME NA BABA YAKE MSANII DULLY SYKES Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limepokea kwa masikitiko na majonzi makubwa kifo cha Mke wa Msanii mkongwe wa muziki wa dansi na Mjumbe wa Bodi ya BASATA Bw. John Kitime kilichotokea mwishoni mwa wiki iliyopita usiku wa kuamkia Ijumaa ya Tarehe 13/02/2014. Aidha, BASATA linatoa salamu rambirambi kwa kifo cha Baba Mzazi wa Msanii Dully Sykes,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
ALI CHOKI AFIWA NA MKEWE
Mkurugenzi wa Extra Bongo, Ali Choki akipozi ndani ya Global TV Online. MKURUGENZI wa bendi ya Extra Bongo, Ali Choki amepata pigo la kuondokewa na mke wake, Shuea Hamis ‘Mama Shuu’ baada ya kuugua kwa muda mrefu Usiku wa kuamkia leo. Akizungumza kwa masikitiko Ali Choki alisema mke wake ameugua kwa muda wa miezi tisa akiwa anasumbuliwa na mguu ambapo alitibiwa nchini India ikashindikana akarudishwa nyumbani...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-mAFF2ts31no/VQ_suGEgB6I/AAAAAAADdYg/911RBXlYNZY/s72-c/1de974c36de6955a237bafec6097edf7.jpg)
ALI CHOKI APAGAWISHA JAPAN
![](http://4.bp.blogspot.com/-mAFF2ts31no/VQ_suGEgB6I/AAAAAAADdYg/911RBXlYNZY/s1600/1de974c36de6955a237bafec6097edf7.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-19Qq6h0M0mk/VQ_suhtqtgI/AAAAAAADdYk/NFK1SHcltnE/s1600/1f0c807b2622f311aa233edc21afe9fa.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-l6kJkstt-Jg/VQ_svGAt1kI/AAAAAAADdY4/RVyBK28bfe4/s1600/2a68bc23c2317934c439ecb71e9f8b59.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vOzxOtZYas0/VQ_swQI340I/AAAAAAADdZI/YRL7pVcwVmM/s1600/3b301df54b55a1e7d88c78cf99284d8b.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-s_TOuIKQcx4/VQ_suCazN1I/AAAAAAADdZA/lnUG_JkdKAw/s1600/0c45523cb5afab52f84d2250347eea75.jpg)
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Kifo cha mke wa askari aliyefia kwa dereva wa bodaboda utata
>Wingu zito limegubika kifo cha mke wa askari polisi wa wilayani Mwanga, Kilimanjaro aliyefia chumbani kwa dereva wa bodaboda. Uchunguzi wa awali wa polisi unadai kuwa mwanamke huyo alilala chumbani huko usiku mzima wa kuamkia Jumapili, siku ambayo maiti yake iligunduliwa saa 12 jioni.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Mke-wa-marehemu-Mch.Mtikila-katikati-GEOGEA-MTIKILA-akizungumza-na-wanahabri-pichani-hawapo..jpg)
MKE WA MTIKILA AMUOMBA KIKWETE KUUNDA TUME YA KUCHUNGUZA KIFO CHA MUMEWE
Mke wa marehemu Mch. Mtikila, Georgia Mtikila (katikati) akizungumza na wanahabari. Hapawapo pichani. Wanahabari wakichukua tukio hilo. Georgia Mtikila akisoma taarifa yake pembeni yake…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania