MAISHA YA HUZUNI YA CHOKI BAADA YA KIFO CHA MKEWE!
![](http://api.ning.com:80/files/-3i3rVffQH1GGo-T*n8mN2qKAQqFsBcjSpXGsIh1WoCPjiGv79NShdq-HARFIIfLWuA5UeooyJ6TZvBYenukniXvzCfsqShn/choki.jpg)
Makala: Gladness Mallya Ni maisha ya huzuni! Zikiwa zimepita siku kadhaa tangu aondokewe na mkewe kipenzi, Shuea Hamis ’Mama Shuu’, Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ali Choki, kwa mara ya kwanza amefunguka mazito kuhusiana na maisha anayoishi sasa. Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ali Choki . Mke wa Choki alifariki dunia hivi karibuni baada...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN54PtB0UELqHmOAFODQZonUePpw3w9cVSziR2F4qendMri21YYvbHCRVYbmpU0HcB*BcQKxmiijrnJ71n7TNaxp/alichoki.jpg)
UNDANI KIFO CHA MKE WA ALI CHOKI
Stori: Gladness Mallya
Majonzi! Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ali Choki amepata pigo kubwa la kufiwa na mkewe, Shuea Hamis ‘Mama Shuu’ baada ya kuugua kwa muda mrefu. Aliyekuwa mke wa Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ali Choki, marehemu Shuea Hamis ‘Mama Shuu’. Akizungumza na Ijumaa Wikienda kwa masikitiko, Choki alisema kwamba...
10 years ago
VijimamboCHUMBA CHA HABARI CHA GAZETI LA JAMBO LEO NA STAA SPOTI CHAZIZIMA KWA HUZUNI BAADA YA KUFIWA NA MENEJA WAO MZEE RAMADHANI KIBANIKE
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Dewani mahakani kwa kifo cha mkewe
Familia ya mwanamke aliyeuawa nchini Afrika Kusini akiwa kwenye fungate inasema inataka ukweli mmewe akisimama kizimbani leo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
ALI CHOKI AFIWA NA MKEWE
Mkurugenzi wa Extra Bongo, Ali Choki akipozi ndani ya Global TV Online. MKURUGENZI wa bendi ya Extra Bongo, Ali Choki amepata pigo la kuondokewa na mke wake, Shuea Hamis ‘Mama Shuu’ baada ya kuugua kwa muda mrefu Usiku wa kuamkia leo. Akizungumza kwa masikitiko Ali Choki alisema mke wake ameugua kwa muda wa miezi tisa akiwa anasumbuliwa na mguu ambapo alitibiwa nchini India ikashindikana akarudishwa nyumbani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/G*FQiZBcgZ3VeZsCJoz8c5oEiWiJrjTvnVTs95LtVuavFsyjh*-oL8rlSDny8PkcJDxPOt6d*fnpt7OCTttUqdlLw0T5p89l/president_julius_nyerere.jpg?width=650)
KIFO CHA MWALIMU BAADA YA MATESO-5
Naendelea kuwaletea mfululizo wa matukio ya kuumwa kwa Mwalimu Nyerere hadi kifo chake.
Mwalimu alikuwa na desturi ya kufanya mazoezi na alikuwa mtu aliyefuata masharti na ushauri aliokuwa akipewa na madaktari. Daktari wa kwanza aliyekuwa anamhudumia Mwalimu baada ya Uhuru alikuwa ni Profesa Mhonoli. Kuanzia mwaka 1979 alihudumiwa na Profesa Makene akisaidiwa na Profesa Mtulia na Profesa Mwakyusa. Mwalimu alipostaafu mwaka 1985...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVIP19hT7jVJMM2eKu7yAL*O3HKcCf7-wbu4EEqLpWiFhH*HTl79TbiTgQWg3GftCP9ZoNOLM3NS4IGRKpy3C08I/nyerere.jpg?width=650)
KIFO CHA MWALIMU BAADA YA MATESO-4
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Naendelea kukuletea mambo yaliyojiri wakati Mwalimu Nyerere alipokuwa akiugua nchini Uingereza hadi alifariki dunia. Awali, madaktari walitaka kibali cha familia ili mashine hizo zizimwe au ziachwe.
“Madaktari walitupatia muda wa kuamua kuhusu nini kifanyike. Ulikuwa uamuzi mgumu sana kwa familia. Hapakuwapo na mgawanyiko isipokuwa ulikuwapo mjadala ambalo ni jambo la kawaida katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYh8yBenSJhi2NkvKA96NrRaRAmHLASsH*drGb6HkksJJca2yqoyKidV*JpZbgnZvOClkC89vaCzqjHF8ZvYISe-/president_julius_nyerere.jpg?width=650)
KIFO CHA MWALIMU BAADA YA MATESO- 2
Naendelea kuwaletea mambo yaliyojiri wakati Mwalimu Nyerere alipotoka kijijini kwake Mwitongo, Butiama kwenda kutibiwa nchini Uingereza hadi kifo chake. Agosti 26 na 27, 1999, vyombo vya habari Tanzania, kwa mara ya kwanza viliripoti wazi kwa umma kuwa hali ya Mwalimu Nyerere haikuwa nzuri, lakini wasaidizi wake walipata kigugumizi kusema ukweli, kwa kusingizia kuwa wao hawakuwa madaktari. MWANZO HADI MWISHO
Septemba, Mosi...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-G_J8BMUcJQE/VPQ6qVxAncI/AAAAAAAApSA/zsxVlaFgbqM/s72-c/lemutuzzzzsss.jpg)
JITIRIRISHE ALICHOKISEMA LE MUTUZ JUU YA KIFO CHA KOMBA NA MAISHA YA WATU WA UGHAIBUNI
![](http://4.bp.blogspot.com/-G_J8BMUcJQE/VPQ6qVxAncI/AAAAAAAApSA/zsxVlaFgbqM/s640/lemutuzzzzsss.jpg)
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Fahamu taratibu zinazofuatwa baada ya kifo cha rais
Kufuatia kufariki kwa rais mstaafu Daniel Toroitich Arap Moi tunakufahamisha kuhusu taratibu zinazofuatwa baada ya kifo cha rais
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania