Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAISHA YA HUZUNI YA CHOKI BAADA YA KIFO CHA MKEWE!

Makala: Gladness Mallya
Ni maisha ya huzuni! Zikiwa zimepita siku kadhaa tangu aondokewe na mkewe kipenzi, Shuea Hamis ’Mama Shuu’, Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ali Choki, kwa mara ya kwanza amefunguka mazito kuhusiana na maisha anayoishi sasa. Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ali Choki . Mke wa Choki alifariki dunia hivi karibuni baada...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

UNDANI KIFO CHA MKE WA ALI CHOKI

Stori: Gladness Mallya
Majonzi! Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ali Choki amepata pigo kubwa la kufiwa na mkewe, Shuea Hamis ‘Mama Shuu’ baada ya kuugua kwa muda mrefu. Aliyekuwa mke wa Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ali Choki, marehemu Shuea Hamis ‘Mama Shuu’. Akizungumza na Ijumaa Wikienda kwa masikitiko, Choki alisema kwamba...

 

10 years ago

Vijimambo

CHUMBA CHA HABARI CHA GAZETI LA JAMBO LEO NA STAA SPOTI CHAZIZIMA KWA HUZUNI BAADA YA KUFIWA NA MENEJA WAO MZEE RAMADHANI KIBANIKE

 Marehemu  Ramadhani Kibanike enzi za uhai wake. Mhariri Mkuu wa Gazeti la Jambo Leo, Julian Msacky na Mwandishi wa Habari, Stela Kessy (kulia), wakiendelea na kazi huku wakiwa na hudhuni baada ya kupokea taarifa ya kifo cha Kibanike leo jioni. Mwanahabari Celina Mathew akilia kwa uchungu baada ya kupokea taarifa hiyo.
 Ofisa Matangazo, Kinai akiwa amepigwa butwaa kutokana na  kifo hicho. Wanahabari Nyendo Mohamed (katikati), Edith Msuya (kulia) na  Magendela Hamisi wakiwa katika hali ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Dewani mahakani kwa kifo cha mkewe

Familia ya mwanamke aliyeuawa nchini Afrika Kusini akiwa kwenye fungate inasema inataka ukweli mmewe akisimama kizimbani leo

 

10 years ago

GPL

ALI CHOKI AFIWA NA MKEWE

Mkurugenzi wa Extra Bongo, Ali Choki akipozi ndani ya Global TV Online. MKURUGENZI wa bendi ya Extra Bongo, Ali Choki amepata pigo la kuondokewa na mke wake, Shuea Hamis ‘Mama Shuu’ baada ya kuugua kwa muda mrefu Usiku wa kuamkia leo. Akizungumza kwa masikitiko Ali Choki alisema mke wake ameugua kwa muda wa miezi tisa akiwa anasumbuliwa na mguu ambapo alitibiwa nchini India ikashindikana akarudishwa nyumbani...

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA MWALIMU BAADA YA MATESO-5

Naendelea kuwaletea mfululizo wa matukio ya kuumwa kwa Mwalimu Nyerere hadi kifo chake.
Mwalimu alikuwa na desturi ya kufanya mazoezi na alikuwa mtu aliyefuata masharti na ushauri aliokuwa akipewa na madaktari. Daktari wa kwanza aliyekuwa anamhudumia Mwalimu baada ya Uhuru alikuwa ni Profesa Mhonoli. Kuanzia mwaka 1979 alihudumiwa na Profesa Makene akisaidiwa na Profesa Mtulia na Profesa Mwakyusa. Mwalimu alipostaafu mwaka 1985...

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA MWALIMU BAADA YA MATESO-4

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Naendelea kukuletea mambo yaliyojiri wakati Mwalimu Nyerere alipokuwa akiugua nchini Uingereza hadi alifariki dunia. Awali, madaktari walitaka kibali cha familia ili mashine hizo zizimwe au ziachwe.
“Madaktari walitupatia muda wa kuamua kuhusu nini kifanyike. Ulikuwa uamuzi mgumu sana kwa familia. Hapakuwapo na mgawanyiko isipokuwa ulikuwapo mjadala ambalo ni jambo la kawaida katika...

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA MWALIMU BAADA YA MATESO- 2

Naendelea kuwaletea mambo yaliyojiri wakati Mwalimu Nyerere alipotoka kijijini kwake Mwitongo, Butiama kwenda kutibiwa nchini Uingereza hadi kifo chake. Agosti 26 na 27, 1999, vyombo vya habari Tanzania, kwa mara ya kwanza viliripoti wazi kwa umma kuwa hali ya Mwalimu Nyerere haikuwa nzuri, lakini wasaidizi wake walipata kigugumizi kusema ukweli, kwa kusingizia kuwa wao hawakuwa madaktari. MWANZO HADI MWISHO
Septemba, Mosi...

 

10 years ago

Vijimambo

JITIRIRISHE ALICHOKISEMA LE MUTUZ JUU YA KIFO CHA KOMBA NA MAISHA YA WATU WA UGHAIBUNI

LE MUTUZ NATION LIVE STRAIGHT TALK!!;- Morning people U know binadam mwenye akili siku zote hujifunza kwa kuona bila kusubiri kuambiwa.....sihitaji kuambiwa kulichomuua Captain Komba for sure after all is said and done kilichomuua ni UNENE tu hamna lolote lingine I mean kama ni ugonjwa ulianzia kwenye UNENE....now I took a note na tayari nimeshaanza mazoezi tena leo asubuhi I realiza that nilikuwa nimejizembea sana toka nirudi bongo lakini now I got a wake up call na msiba wa Komba.....na it...

 

5 years ago

BBCSwahili

Fahamu taratibu zinazofuatwa baada ya kifo cha rais

Kufuatia kufariki kwa rais mstaafu Daniel Toroitich Arap Moi tunakufahamisha kuhusu taratibu zinazofuatwa baada ya kifo cha rais

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani