Dewani mahakani kwa kifo cha mkewe
Familia ya mwanamke aliyeuawa nchini Afrika Kusini akiwa kwenye fungate inasema inataka ukweli mmewe akisimama kizimbani leo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-3i3rVffQH1GGo-T*n8mN2qKAQqFsBcjSpXGsIh1WoCPjiGv79NShdq-HARFIIfLWuA5UeooyJ6TZvBYenukniXvzCfsqShn/choki.jpg)
MAISHA YA HUZUNI YA CHOKI BAADA YA KIFO CHA MKEWE!
Makala: Gladness Mallya
Ni maisha ya huzuni! Zikiwa zimepita siku kadhaa tangu aondokewe na mkewe kipenzi, Shuea Hamis ’Mama Shuu’, Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ali Choki, kwa mara ya kwanza amefunguka mazito kuhusiana na maisha anayoishi sasa. Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ali Choki . Mke wa Choki alifariki dunia hivi karibuni baada...
5 years ago
BBCSwahili30 May
Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani
Afisa akamatwa kwa mauaji ya Mmarekani mweusi aliyekuwa amekamatwa na polisi
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ccywt8_t4fM/VLgZrst0BuI/AAAAAAAAmh8/8dpuoWtOo78/s72-c/kova1.jpg)
Panya Road 119 Waachiwa Kwa Kukosa Ushahidi, 959 Wafikishwa Mahakani
![](http://4.bp.blogspot.com/-ccywt8_t4fM/VLgZrst0BuI/AAAAAAAAmh8/8dpuoWtOo78/s640/kova1.jpg)
10 years ago
Vijimambo17 Mar
AY ATUMA SALAM ZA POLE KWA JOSE CHAMELEONE KWA KIFO CHA AK47
![](https://hivisasa.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/ay1.jpg)
Marehemu Emmanuel Mayanja maarufu kwa jina la AK47 amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa hospitali baada ya kuanguka akiwa bafuni.
Taarifa zimeeleza kuwa kabla ya mauti kumkuta, AK47 alikuwa katika baa moja ya usiku iliyopo eneo la Kabalagala pamoja na marafiki zake.
Imeelezwa kuwa alidondoka akiwa bafuni wakati akiongea na simu na kukimbizwa katika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7p-J*XN4NvpqVJ2DDdmy4dj*BLu2bPiJq*TMtpQQQicWXaYWmsHgpDhlcIdgY-vbtYSPUfSBFSa60EFS45fagMb/mgimwa.jpg?width=650)
KIFO CHA WAZIRI MGIMWA, KWA NINI...
Na Mwandishi Wetu
WAKATI taifa likiwa katika msiba kufuatia kifo cha Waziri wa Fedha, Mipango na Uchumi, Dk. William Mgimwa, wananchi wameitaka serikali kueleza kwa nini kwa kipindi chote cha kuumwa kwake, ugonjwa uliomuua ulifanywa siri. Marehemu Dk. William Mgimwa. Waziri Mgimwa alifariki dunia Jumatano (juzi) saa 5:20 asubuhi kwa saa za Afrika Kusini (Tanzania saa 6:20) katika Hospitali ya Mediclinic Klooff jijini...
10 years ago
BBCSwahili12 Sep
JS Kabylie aadhabiwa kwa kifo cha Ebosse
Mchezaji wa Algeria, JS Kabylie hatashirki katika mechi za nyumbani hadi mwaka 2015 kufuatia kifo cha mchezaji wa Cameroon Ebosse
10 years ago
KwanzaJamii16 Sep
JS Kabylie yaadhabiwa kwa kifo cha Ebosse
Klabu ya Algeria, JS Kabylie imepigwa marufuku kushiriki katika mechi za nyumbani hadi mwaka 2015 kufuatia kifo cha mchezaji wa Cameroon Albert Ebosse mwezi jana.
Mashabiki wa Kabylie pia wamepigwa marufuku kuhudhuria mechi zozote za nyumbani hadi mwanzoni mwa mwaka 2015.
Ebosse alifariki baada ya kugongwa na kombora tarehe 23 mwezi Agosti, baada ya JS Kabilye kushindwa na USM Alger kwa mabao mawili kwa moja katika mechi ya ligi.
Marufuku hiyo imetolewa na shirikisho la soka ya kulipwa...
9 years ago
Mwananchi29 Oct
Jela kwa kifo cha ‘mtoto wa boksi’
Mahakama Kuu Kanda ya Morogoro, imewahukumu watu wawili kutumikia kifungo cha miaka 15 jela kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kumuua bila ya kukusudia Nasrah Mvungi maarufu kama ‘mtoto wa boksi’ wakati akiwa na umri wa miaka minne.
9 years ago
Habarileo16 Oct
Handeni wahuzunika kwa kifo cha Dk Kigoda
WAKAZI wa Halmashauri ya wilaya ya Handeni wamesema wamepokea kwa masikitiko makubwa msiba wa aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo, Dk Abdallah Kigoda aliyefariki India alikokuwa akipatiwa matibabu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania