JS Kabylie yaadhabiwa kwa kifo cha Ebosse
Klabu ya Algeria, JS Kabylie imepigwa marufuku kushiriki katika mechi za nyumbani hadi mwaka 2015 kufuatia kifo cha mchezaji wa Cameroon Albert Ebosse mwezi jana. Mashabiki wa Kabylie pia wamepigwa marufuku kuhudhuria mechi zozote za nyumbani hadi mwanzoni mwa mwaka 2015. Ebosse alifariki baada ya kugongwa na kombora tarehe 23 mwezi Agosti, baada ya JS Kabilye kushindwa na USM Alger kwa mabao mawili kwa moja katika mechi ya ligi. Marufuku hiyo imetolewa na shirikisho la soka ya kulipwa...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Sep
JS Kabylie aadhabiwa kwa kifo cha Ebosse
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/77548000/jpg/_77548097_454084290.jpg)
Kabylie punished over Ebosse death
5 years ago
BBCSwahili30 May
Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani
10 years ago
Vijimambo17 Mar
AY ATUMA SALAM ZA POLE KWA JOSE CHAMELEONE KWA KIFO CHA AK47
![](https://hivisasa.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/ay1.jpg)
Marehemu Emmanuel Mayanja maarufu kwa jina la AK47 amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa hospitali baada ya kuanguka akiwa bafuni.
Taarifa zimeeleza kuwa kabla ya mauti kumkuta, AK47 alikuwa katika baa moja ya usiku iliyopo eneo la Kabalagala pamoja na marafiki zake.
Imeelezwa kuwa alidondoka akiwa bafuni wakati akiongea na simu na kukimbizwa katika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7p-J*XN4NvpqVJ2DDdmy4dj*BLu2bPiJq*TMtpQQQicWXaYWmsHgpDhlcIdgY-vbtYSPUfSBFSa60EFS45fagMb/mgimwa.jpg?width=650)
KIFO CHA WAZIRI MGIMWA, KWA NINI...
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Dewani mahakani kwa kifo cha mkewe
9 years ago
Mwananchi29 Oct
Jela kwa kifo cha ‘mtoto wa boksi’
9 years ago
Habarileo16 Oct
Handeni wahuzunika kwa kifo cha Dk Kigoda
WAKAZI wa Halmashauri ya wilaya ya Handeni wamesema wamepokea kwa masikitiko makubwa msiba wa aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo, Dk Abdallah Kigoda aliyefariki India alikokuwa akipatiwa matibabu.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/MAWAZO-NEW-1024x603.jpg)
WANNE MBARONI KWA KUHUSIKA NA KIFO CHA MAWAZO