Fahamu taratibu zinazofuatwa baada ya kifo cha rais
Kufuatia kufariki kwa rais mstaafu Daniel Toroitich Arap Moi tunakufahamisha kuhusu taratibu zinazofuatwa baada ya kifo cha rais
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-aR_btM6ynds/XuXywl5T8_I/AAAAAAABMXI/4KCJQIP4YhwzX0bonbrbXSYGEmOFalYOwCLcBGAsYHQ/s72-c/EadnFvpXkAAa2Gm.jpeg)
RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA KIFO CHA ALIYEKUWA RAIS WA BURUNDI, NKURUNZIZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-aR_btM6ynds/XuXywl5T8_I/AAAAAAABMXI/4KCJQIP4YhwzX0bonbrbXSYGEmOFalYOwCLcBGAsYHQ/s400/EadnFvpXkAAa2Gm.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-YN9dOei-atc/XuXywi-rqjI/AAAAAAABMXA/rIwB8d19V-A0iZay7SEKWHvtSOaAcy5BACLcBGAsYHQ/s400/EadnFviXQAAMI0g.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-fuSZEj6KE40/XuXywtUVV6I/AAAAAAABMXE/cNN-D3X69SQOG7CHIboW1doEHShG3VxRACLcBGAsYHQ/s400/JK.jpeg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/G*FQiZBcgZ3VeZsCJoz8c5oEiWiJrjTvnVTs95LtVuavFsyjh*-oL8rlSDny8PkcJDxPOt6d*fnpt7OCTttUqdlLw0T5p89l/president_julius_nyerere.jpg?width=650)
KIFO CHA MWALIMU BAADA YA MATESO-5
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYh8yBenSJhi2NkvKA96NrRaRAmHLASsH*drGb6HkksJJca2yqoyKidV*JpZbgnZvOClkC89vaCzqjHF8ZvYISe-/president_julius_nyerere.jpg?width=650)
KIFO CHA MWALIMU BAADA YA MATESO- 2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVIP19hT7jVJMM2eKu7yAL*O3HKcCf7-wbu4EEqLpWiFhH*HTl79TbiTgQWg3GftCP9ZoNOLM3NS4IGRKpy3C08I/nyerere.jpg?width=650)
KIFO CHA MWALIMU BAADA YA MATESO-4
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-3i3rVffQH1GGo-T*n8mN2qKAQqFsBcjSpXGsIh1WoCPjiGv79NShdq-HARFIIfLWuA5UeooyJ6TZvBYenukniXvzCfsqShn/choki.jpg)
MAISHA YA HUZUNI YA CHOKI BAADA YA KIFO CHA MKEWE!
10 years ago
Bongo Movies07 Apr
Miaka mitatu baada ya kifo cha Kanumba: Bongo movies ‘Will never be the same again’
Wakati mwingine kuna maswali magumu sana kuweza kuyajibu. Kwa mfano kwanini watu muhimu na wazuri hufa mapema? Kwanini watu wenye umuhimu mkubwa katika jamii huondoka ghafla tena katika wakati ambapo wapo kwenye kilele cha mafanikio yao?
Chukulia mfano Aaliyah, Tupac, Notorious BIG au Stephen Kanumba! Hili ni swali gumu sana kulijibu na hivyo mambo mengine ni ya kumwachia Mungu.
Leo ni April 7, miaka mitatu tangu kifo cha muigizaji mahiri, aliyependwa, aliyekuwa na kipaji cha hali ya juu,...
10 years ago
Dewji Blog30 Oct
Rais Kikwete aomboleza kifo cha aliyekuwa Rais wa Zambia Michael Sata
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameshtushwa na kusononeshwa sana na taarifa za kifo cha Rais wa Jamhuri ya Zambia, Mheshimiwa Michael Chilufya Sata (pichani) ambacho kimetokea jana, Jumanne, Oktoba 28, 2014 kwenye Hospitali ya King Edward VII, London, Uingereza, ambako alikuwa anatibiwa akiwa na umri wa miaka 77.
Katika salamu ambazo amempelekea Makamu wa Rais wa Zambia, Mheshimiwa Dkt. Guy Scott kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-4VMRNRbkPgw/XuRXrF1bq0I/AAAAAAACNIg/bR7KihQb1uYRXD-gAD3Fv6h086iCkjIAQCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
RAIS MAGUFULI ATANGAZA MAOMBOLEZO YA SIKU TATU YA KIFO CHA RAIS NKURUNZIZA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4VMRNRbkPgw/XuRXrF1bq0I/AAAAAAACNIg/bR7KihQb1uYRXD-gAD3Fv6h086iCkjIAQCLcBGAsYHQ/s400/images.jpeg)
Rais Dk. John Magufuli ametangaza maombolezo ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia kesho Juni 13, 2020 kufuatia kifo cha Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kilichotokea Juni 09, 2020 nchini Burundi.
Taarifa iliyotolewa na Ikulu jijini Dodoma imesema katika kipindi chote cha siku tatu za maombolezo hayo ambayo yataanza leo, hadi keshokuwa bendera zote zitapeperushwa nusu mlingoti.
Taarifa hiyo imesema, Rais Magufuli ameeleza kuwa Tanzania inatoa heshima hiyo kwa kifo...