Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miaka mitatu baada ya kifo cha Kanumba: Bongo movies ‘Will never be the same again’

Wakati mwingine kuna maswali magumu sana kuweza kuyajibu. Kwa mfano kwanini watu muhimu na wazuri hufa mapema? Kwanini watu wenye umuhimu mkubwa katika jamii huondoka ghafla tena katika wakati ambapo wapo kwenye kilele cha mafanikio yao?

Chukulia mfano Aaliyah, Tupac, Notorious BIG au Stephen Kanumba! Hili ni swali gumu sana kulijibu na hivyo mambo mengine ni ya kumwachia Mungu.

Leo ni April 7, miaka mitatu tangu kifo cha muigizaji mahiri, aliyependwa, aliyekuwa na kipaji cha hali ya juu,...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ATESEKA KITANDANI MIAKA MITATU NI BAADA YA KUPEWA TAARIFA YA KIFO CHA BABA YAKE

Shani Ramadhani na Denis Mtima, Dar es Salaam INASIKITISHA! Johanitha Robert Mulokozi (31) amekuwa kitandani kwa miaka mitatu kutokana na kuugua ugonjwa wa kupooza mwili mzima.Mama huyo mwenye mtoto mmoja amekuwa akisumbuka na ugonjwa huo uliomfanya akose raha licha ya kupata matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Johanitha Robert Mulokozi  amekaa kitandani kwa miaka mitatu kutokana na kuugua ugonjwa wa kupooza...

 

11 years ago

GPL

MIAKA 2 YA KIFO CHA KANUMBA: WASANII WENZAKE WALIVYOMKUMBUKA

Marehemu Steven Kanumba. Flora Mvungi. Florah Mvungi
It has been 2 years since ututoke ndugu yetu,Mungu akupunguzie adhabu,tunakuombea na tunakukumbuka sana kwa mchango wako mkubwa kwenye tasnia ya filamu Tanzania,tunaadhimisha KANUMBA DAY leo tar 7 mwezi wa 4 kwa pamoja tutaenda kanisani temboni saa tatu asubuhi kisha makaburini na baadae dar live,karibuni sana tujumuike pamoja.… ...

 

10 years ago

Bongo Movies

MIAKA 3 KIFO CHA KANUMBA: Wasanii Wamepoteza Ajira

ILIKUWA Aprili 7, 2012 pale nyota iliyong’ara katika tasnia ya filamu ilipozimika ghafla.

Steven Charles Kanumba alikuwa ni msanii, mwongozaji na mtayarishaji wa filamu aliyeifanya tasnia ya filamu nchini kuwa hai.

Kanumba, alikuwa ni zaidi ya mwigizaji kutokana na uwezo wake wa kutengeneza uhalisia wa kile alichokuwa akikifanya katika filamu.

Katika miaka yake ya mwanzo kaburini kila ilipofika Aprili 7 ya kila mwaka kulikuwa na tukio kubwa kwa ajili ya kumbukumbu yake.

Lakini mwaka huu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kanumba Day: Jumbe Mbalimbali za Mastaa wa Bongo Movies

Leo imetimia  miaka mitatu  tangu aliekuwa staa nguli wa Bongo Movies, Steven Kanumba afariki dunia, hizi ni baadhi ya jumbe ambazo mastaa kutoka Bongo Movies wameziandika kuonyesha kumbukumbu zao kwa staa huyo.

Ni siku ambayo siwezi kusahau maisha yangu yote pumzika kwa amani kanumba wangu., nilikupenda ila mungu alikupenda zaidi . Pumzika kwa amani.

Johari

Huwezi kutaja mafanikio ya bongo movies bila kukutaja wewe...tunakuthamini na tunakukumbuka milele

JB

Steven Charles Kanumba pengo...

 

10 years ago

Mwananchi

Papa Francis: Nitakufa baada ya miaka miwili au mitatu

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis kwa mara ya kwanza ametabiri hatima ya maisha yake duniani akisema kuwa anaamini Mungu anaweza kumpa muda wa miaka miwili au mitatu ya kuishi.

 

10 years ago

Bongo5

Papa Francis asema atakufa baada ya miaka miwili au mitatu

Utamaduni wa kuachia madaraka ndani ya kanisa hilo linalotajwa kuwa na waumini wengi duniani uliasisiwa upya mwaka jana na mtangulizi wake, Papa Benedict XVI aliyeng’atuka kutokana na matatizo ya kiafya. Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis kwa mara ya kwanza ametabiri hatima ya maisha yake duniani akisema kuwa anaamini Mungu anaweza kumpa muda wa […]

 

10 years ago

Michuzi

ROSE NDAUKA ASEMA BAADA YA KANUMBA KUFARIKI BONGO MOVIE HAKUNA COMPETITION

STEVE KANUMBA ENZI ZA UHAI WAKE AKIWA NA ROSE NDAUKAKama wewe ni Mmoja wa Wapenzi wa Filamu za Nchini Tanzania na unafuatilia Vizuri basi utakubaliana na Rose Ndauka Kwamba Baada ya Kufariki STEVEN KANUMBARose Ndauka Ameongea na @DjHaazu na kusema Steven Kanumba aliipigania sana Tasnia ya Filamu Nchini Tanzania Haswa kwa jitihada zake kukuza Wasanii wenzake ambapo kwa Moyo wake kwa kushirikiana na Wasanii wenzake Waliifikisha Sanaa ya Filamu Tanzania Hapo ilipo ila hadi sasa Hakuna Hatu...

 

5 years ago

CCM Blog

BAADA YA MIAKA MITATU SASA WANANCHI KAGERA KUIONA MELI, KUTIA NANGA JUNI 28, 2020

Mkuu wa Mkoa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti akizungumza na waendesha bodaboda wa Manispaa ya Bukoba akiwaeleza mambo mbalimbali ikiwemo kuchangamkia fursa meli itakapowasili mjini bukoba na kuanza safari zake za Bukoba –Mwanza.

Na Allawi Kaboyo Bukoba.Wananchi mkoani Kagera na maeneo jirani watakiwa kujiandaa na fursa mbalimbali zitakazojitokeza baada ya meli ya NEW MV VICTORIA HAPA KAZI TU kuanza safari zake za Bukoba-Mwanaza ikiwa ukarabati wake umekamilika kwa asilimia 98%...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani