Miaka mitatu baada ya kifo cha Kanumba: Bongo movies ‘Will never be the same again’
Wakati mwingine kuna maswali magumu sana kuweza kuyajibu. Kwa mfano kwanini watu muhimu na wazuri hufa mapema? Kwanini watu wenye umuhimu mkubwa katika jamii huondoka ghafla tena katika wakati ambapo wapo kwenye kilele cha mafanikio yao?
Chukulia mfano Aaliyah, Tupac, Notorious BIG au Stephen Kanumba! Hili ni swali gumu sana kulijibu na hivyo mambo mengine ni ya kumwachia Mungu.
Leo ni April 7, miaka mitatu tangu kifo cha muigizaji mahiri, aliyependwa, aliyekuwa na kipaji cha hali ya juu,...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFUBYqpa*JOBR0zE-C7g-fAzMdyHetWbYVzSgiUZRomqU2nHqwruhZI5hKtKucQD3eZe5DKVIjjegKFHxUq2qmYR/ateseka.jpg)
ATESEKA KITANDANI MIAKA MITATU NI BAADA YA KUPEWA TAARIFA YA KIFO CHA BABA YAKE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IlN0UevPKmZDN*lXy2aHgyYWnmFuoTQiF9ENiotUmWXyoH*oH0DJF8XmNPENOMHQc1MkGCvsIq3le3MPYb7hUwwtABAF1sHU/rip_kanumba.jpg?width=650)
MIAKA 2 YA KIFO CHA KANUMBA: WASANII WENZAKE WALIVYOMKUMBUKA
10 years ago
Bongo Movies17 Apr
MIAKA 3 KIFO CHA KANUMBA: Wasanii Wamepoteza Ajira
ILIKUWA Aprili 7, 2012 pale nyota iliyong’ara katika tasnia ya filamu ilipozimika ghafla.
Steven Charles Kanumba alikuwa ni msanii, mwongozaji na mtayarishaji wa filamu aliyeifanya tasnia ya filamu nchini kuwa hai.
Kanumba, alikuwa ni zaidi ya mwigizaji kutokana na uwezo wake wa kutengeneza uhalisia wa kile alichokuwa akikifanya katika filamu.
Katika miaka yake ya mwanzo kaburini kila ilipofika Aprili 7 ya kila mwaka kulikuwa na tukio kubwa kwa ajili ya kumbukumbu yake.
Lakini mwaka huu...
10 years ago
Bongo Movies07 Apr
Kanumba Day: Jumbe Mbalimbali za Mastaa wa Bongo Movies
Leo imetimia miaka mitatu tangu aliekuwa staa nguli wa Bongo Movies, Steven Kanumba afariki dunia, hizi ni baadhi ya jumbe ambazo mastaa kutoka Bongo Movies wameziandika kuonyesha kumbukumbu zao kwa staa huyo.
Ni siku ambayo siwezi kusahau maisha yangu yote pumzika kwa amani kanumba wangu., nilikupenda ila mungu alikupenda zaidi . Pumzika kwa amani.
Johari
Huwezi kutaja mafanikio ya bongo movies bila kukutaja wewe...tunakuthamini na tunakukumbuka milele
JB
Steven Charles Kanumba pengo...
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Papa Francis: Nitakufa baada ya miaka miwili au mitatu
10 years ago
Bongo520 Aug
Papa Francis asema atakufa baada ya miaka miwili au mitatu
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V-eO-GzID3o/VSQcm9g64MI/AAAAAAAHPig/lQQMLGEQrHY/s72-c/dec7.gif)
ROSE NDAUKA ASEMA BAADA YA KANUMBA KUFARIKI BONGO MOVIE HAKUNA COMPETITION
![](http://1.bp.blogspot.com/-V-eO-GzID3o/VSQcm9g64MI/AAAAAAAHPig/lQQMLGEQrHY/s1600/dec7.gif)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-BRhM5uQmTM0/XvXjbPEJPfI/AAAAAAACOhQ/3ck599CSX3M4jNGI4l30L17wuSVbi15EgCLcBGAsYHQ/s72-c/22.jpg)
BAADA YA MIAKA MITATU SASA WANANCHI KAGERA KUIONA MELI, KUTIA NANGA JUNI 28, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-BRhM5uQmTM0/XvXjbPEJPfI/AAAAAAACOhQ/3ck599CSX3M4jNGI4l30L17wuSVbi15EgCLcBGAsYHQ/s400/22.jpg)
Na Allawi Kaboyo Bukoba.Wananchi mkoani Kagera na maeneo jirani watakiwa kujiandaa na fursa mbalimbali zitakazojitokeza baada ya meli ya NEW MV VICTORIA HAPA KAZI TU kuanza safari zake za Bukoba-Mwanaza ikiwa ukarabati wake umekamilika kwa asilimia 98%...