Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ROSE NDAUKA ASEMA BAADA YA KANUMBA KUFARIKI BONGO MOVIE HAKUNA COMPETITION

STEVE KANUMBA ENZI ZA UHAI WAKE AKIWA NA ROSE NDAUKAKama wewe ni Mmoja wa Wapenzi wa Filamu za Nchini Tanzania na unafuatilia Vizuri basi utakubaliana na Rose Ndauka Kwamba Baada ya Kufariki STEVEN KANUMBARose Ndauka Ameongea na @DjHaazu na kusema Steven Kanumba aliipigania sana Tasnia ya Filamu Nchini Tanzania Haswa kwa jitihada zake kukuza Wasanii wenzake ambapo kwa Moyo wake kwa kushirikiana na Wasanii wenzake Waliifikisha Sanaa ya Filamu Tanzania Hapo ilipo ila hadi sasa Hakuna Hatu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Rose Ndauka: Pengo la Kanumba bado lipo

roseNA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
NYOTA wa kike wa filamu nchini, Rose Ndauka, amesema pengo la msanii mwenzake, marehemu Steven Kanumba, litaendelea kuwepo kutokana na mchango wake mkubwa alioutoa kwenye tasnia hiyo.
Wakati jana ikiwa ni kumbukumbu ya miaka mitatu tangu Kanumba afariki dunia, Rose alizungumza na MTANZANIA na kusema kwamba msanii huyo aliikuza tasnia hiyo kwa kutumia wasanii chipukizi, akishirikiana na nyota wengine wenye majina makubwa.
“Pengo la Kanumba litaendelea kuwepo...

 

9 years ago

GPL

ROSE NDAUKA KANUMBA FEKI, WAZUA GUMZO!

GUMZO! Waigizaji vinara ndani ya Bongo Movies, Rose Ndauka na Rammy Gallis ‘Kanumba Feki’ wameibua gumzo na minong’ono kufuatia kugandana na mara nyingi kuonekana peke yao huku mazungumzo na mapozi yao yakikoleza hisia kwamba, huenda ni wapenzi, Amani lilikuwepo. Waigizaji vinara ndani ya Bongo Movies, Rose Ndauka na Rammy Gallis ‘Kanumba Feki’ wakikata keki. Gumzo hilo liliibuka Oktoba 7, mwaka huu ndani ya Ukumbi wa...

 

10 years ago

GPL

ROSE NDAUKA ASEMA UCHUMBA WAKE NGANGARI

Stori: Gladness Mallya
MWIGIZAJI nyota wa filamu, Rose Ndauka ameibuka na kukanusha vikali uvumi uliozagaa kuwa uchumba wake na Malick Bandawe umevunjika na kusema siyo kweli kwani bado upo ngangari kuliko kawaida. Mwigizaji nyota wa filamu Bongo, Rose Ndauka akipopzi. Akistorisha na gazeti hili juzikati, mwigizaji huyo anayeishi na mchumba wake huyo, alisema uvumi huo hauna msingi kwa sababu asubuhi ya siku hiyo (Jumatatu)...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nyuma ya Kamera: KALEKWA Ndio Jina la Movie Mpya ya Richie na Rose Ndauka

Hizi ni baadhi ya picha za nyuma ya kamera zilizopiga wakiwa ON SET kwenye utengenezaji wa filamu mpya itakayoitwa KALEKWA, inayofanyika chini ya kampuni ya Bulls Entertainment.

Movie hii mpya itawajumisha waigizaji wakali wengi wakiwemo  Single matambalike “Richie”ambae ndio mwongozaji wa filamu hii na pia ni mkurugenzi wa kampuni ya Bulls Entertainment na mwanadada Rose Ndauka amabao kwa pamoja wamekuwa wakitoa vitu vikali sana.

Tunaisubiri kwa hamu!!!.

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Asema Wasanii Wengi wa Bongo Movie Hawajieliwi, Tofauti na Bongo Fleva

Mrembo na muigizaji wa filamu za kibongo, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ amesema wasanii wengi wa filamu hawana mawazo ya maana na hawafikiriimambo makubwa kuhusu wanachokifanya. Bali hufanya tu kwa sababu  wapo katika jamii na ahahisi wale wa bongo fleva wanafikiri zaidi yao

“ Unawaza kwanza kIsha unatenda, wasanii wa filamu hatuna mawazo mazuri zaidi ya ubishoo tu, hatuoni  mbali  hatuna wivu wa kimaendeleo leo unakuta msanii wa Bongo Fleva wanatoka nnje na wanarudi na tuzo lakini sisi tumekaa...

 

10 years ago

GPL

BAADA YAKUACHIKA: ROSE NDAUKA AANGUSHA SHEREHE!

SIKU chache baada muigizaji nyota wa filamu nchini, Rose Ndauka kutemana na bwana wake, Malik Bandawe, Jumanne iliyopita aliangusha bonge la sherehe iliyofana ndani ya Ukumbi wa Hoteli ya Collosseum, iliyopo Kariakoo jijini Dar na kuhudhuriwa na mastaa kibao, Ijumaa lilikuwepo. Msanii nyota wa filamu nchini, Jack wa Chuz (kushoto) akimtunza msanii mwenzake, Rose Ndauka (kulia)
Sherehe hiyo ya Rose, ambaye alizaliwa siku moja...

 

10 years ago

Bongo5

PAPASO: Florah Mvungi adai Bongo Movie hawapendani na AT asema Bongo Fleva imejaa majungu tupu

Muigizaji wa filamu za Bongo ambaye naye ameingia kwenye Bongo Fleva, Florah Mvungi a.k.a H.Mama na msanii wa muziki wa mduara AT ambao hivi karibuni wametoa wimbo wa pamoja ‘Mkazurule’ , walikuwa wageni kwenye kipindi cha Papaso kupitia TBC Fm. Miongoni mwa vitu ambavyo Florah ambaye pia ni mke wa H.Baba alivisema ni kuwa waigizaji […]

 

11 years ago

Daily News

'Bongo Movie' to celebrate 3 years, honour Kanumba


Daily News
'Bongo Movie' to celebrate 3 years, honour Kanumba
Daily News
MEMBERS of the domestic film industry, 'Bongo Movie', will mark three years anniversary cerebrations on March 28, this year, when some actors/actress stars, including the late Steven Kanumba and several others, will be honoured. This was announced in ...

 

10 years ago

Bongo Movies

Majibu ya Mwigizaji Rose Ndauka Baada ya Kuhusishwa na Matatizo ya Ndoa ya Shetta

Baada ya kuenea kwa taarifa kuwa ndoa ya msanii wa bongo fleva, Shetta  imevunjika baada ya taarifa kumfikia mke wake kuwa  msanii huyo anamahusiano na staa mrembo wa Bongo Movies, Rose Ndauka.

Akijibu shutuma hizo, Rose Ndauka  alijibu haya alipoulizwa na Soudy Brown wa Clouds FM kwenye kipindi cha XXL.

  “Kwanza kitu ambacho ningependa kumuambia asipende kusikiliza watu.. la pili kitu chochote ambacho kinahusiana na mahusiano sio vizuri kupeleka kwenye public… hata ingekuwa ni ukweli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani