Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rose Ndauka: Pengo la Kanumba bado lipo

roseNA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
NYOTA wa kike wa filamu nchini, Rose Ndauka, amesema pengo la msanii mwenzake, marehemu Steven Kanumba, litaendelea kuwepo kutokana na mchango wake mkubwa alioutoa kwenye tasnia hiyo.
Wakati jana ikiwa ni kumbukumbu ya miaka mitatu tangu Kanumba afariki dunia, Rose alizungumza na MTANZANIA na kusema kwamba msanii huyo aliikuza tasnia hiyo kwa kutumia wasanii chipukizi, akishirikiana na nyota wengine wenye majina makubwa.
“Pengo la Kanumba litaendelea kuwepo...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

ROSE NDAUKA KANUMBA FEKI, WAZUA GUMZO!

GUMZO! Waigizaji vinara ndani ya Bongo Movies, Rose Ndauka na Rammy Gallis ‘Kanumba Feki’ wameibua gumzo na minong’ono kufuatia kugandana na mara nyingi kuonekana peke yao huku mazungumzo na mapozi yao yakikoleza hisia kwamba, huenda ni wapenzi, Amani lilikuwepo. Waigizaji vinara ndani ya Bongo Movies, Rose Ndauka na Rammy Gallis ‘Kanumba Feki’ wakikata keki. Gumzo hilo liliibuka Oktoba 7, mwaka huu ndani ya Ukumbi wa...

 

10 years ago

Michuzi

ROSE NDAUKA ASEMA BAADA YA KANUMBA KUFARIKI BONGO MOVIE HAKUNA COMPETITION

STEVE KANUMBA ENZI ZA UHAI WAKE AKIWA NA ROSE NDAUKAKama wewe ni Mmoja wa Wapenzi wa Filamu za Nchini Tanzania na unafuatilia Vizuri basi utakubaliana na Rose Ndauka Kwamba Baada ya Kufariki STEVEN KANUMBARose Ndauka Ameongea na @DjHaazu na kusema Steven Kanumba aliipigania sana Tasnia ya Filamu Nchini Tanzania Haswa kwa jitihada zake kukuza Wasanii wenzake ambapo kwa Moyo wake kwa kushirikiana na Wasanii wenzake Waliifikisha Sanaa ya Filamu Tanzania Hapo ilipo ila hadi sasa Hakuna Hatu...

 

10 years ago

Bongo5

Rose Ndauka na Chiwaman waachana, ndoto za ndoa zayeyuka, Rose athibitisha

Msanii wa filamu Rose Ndauka ambaye alikuwa mbioni kufunga ndoa na mzazi mwenzake, msanii wa kundi la TNG, Malick Bandawe maarufu kama King Chiwaman wameachana kutokana na kutoelewana ndani ya mahusiano yao. Rose Ndauka na Chiwaman Akizungumza na bongo5 leo, Rose amesema wamejaribu kukaa chini na kuyaweka sawa mahusiano yao lakini imeshindika na kuona sulihisho […]

 

10 years ago

GPL

ALIYEKUWA MCHUMBA WA ROSE NDAUKA, MALICK BANDAWE ATEMBELEA GPL, AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA NA ROSE

Mwanamuziki Chiwa Malick Bandawe wakati akihojiwa na Global TV Online leo. Malick akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari wakati akihojiwa na Global TV Online.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tatizo la ukatili wa kijinsia bado lipo

HIVI karibuni vyombo vya habari vimeripoti vitendo vya uka tili wa kijinsia mkoani Kagera kuongezeka. Taarifa hiyo iliyotolewa na Jeshi la Polisi  ilieleza kuwa ukatili wa kijinsia umeongezeka kutoka matukio...

 

11 years ago

GPL

JOHARI AZUNGUMZIA PENGO LA KANUMBA

Msanii wa Filamu Bongo, Johari. Wikiiliyopita tulianza makala haya yamhusuyo maisha ya msanii wa Filamu Bongo, Johari, sasa endelea kufuatilia mahojiano yake mwandishi wetu Sifael Paul. Sifael: Wewe ni miongoni mwa waigizaji wachache wakongwe, je, hadi sasa umecheza filamu ngapi?
Johari: Ni nyingi sana lakini nilizocheza kama main character (mhusika mkuu) ni zaidi ya filamu thelathini.
Sifael: Hapo katikati kulipita ukimya...

 

10 years ago

GPL

ROSE NDAUKA HAKAMATIKI

Stori: Musa Mateja
Acha kabisa! Baada ya kuachana na aliyekuwa mchumba’ke, Malick Bandawe kisha kurudi kwao, Kigogo jijini Dar, staa grade one wa Bongo Movies, Rose Donatus Ndauka anadaiwa hivi sasa hakamatiki hivyo hakauki viwanja. Staa grade one wa Bongo Movies, Rose Donatus Ndauka akiinjoi uhuru wa kuwa 'Single' Viwanja. Uchunguzi wa Ijumaa Wikienda ambalo limekuwa likimnyatia kwa ukaribu Rose unaonesha kwamba tangu...

 

11 years ago

GPL

ROSE NDAUKA AJIFUNGUA

Stori: Imelda Mtema
STAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka amejifungua mtoto wa kike kwa njia ya upasuaji mwanzoni mwa wiki hii katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili iliyopo jijini Dar. Rose Ndauka. Akizungumza na gazeti hili, Rose Ndauka alisema anamshukuru sana Mungu kwa kumjaalia kujifungua salama huku mwanaye huyo akiwa na afya njema. “Ki ukweli kabisa namshukuru sana Mungu kwa zawadi ya mtoto kwa maana nimejifungua...

 

11 years ago

GPL

ROSE NDAUKA AYACHANA MAKUNDI

Na Rhoda Josiah MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Rose Ndauka ameweka wazi kwamba kinachomfanya aishi vizuri na wenzake ni kutoendekeza makundi. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Rose Ndauka. Akipiga stori na mwandishi wa gazeti hili, Rose alisema anampenda na atampenda mtu yeyote atakayekuwa tayari kuwa na urafiki naye kwa sababu hiyo ndiyo staili yake ambayo inamfanya hata wanaomchukia katika makundi hayo wampende....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani