Tatizo la ukatili wa kijinsia bado lipo
HIVI karibuni vyombo vya habari vimeripoti vitendo vya uka tili wa kijinsia mkoani Kagera kuongezeka. Taarifa hiyo iliyotolewa na Jeshi la Polisi ilieleza kuwa ukatili wa kijinsia umeongezeka kutoka matukio...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo31 Jul
Ukatili wa kijinsia bado kero Manyara
UKATILI wa kijinsia dhidi ya wanawake na wasichana ni moja ya vikwazo vya maendeleo mkoani Manyara, vinavyochangiwa na mila na desturi potofu katika jamii hiyo.
10 years ago
Dewji Blog04 Feb
Tatizo la saratani ‘lipo ndani ya uwezo wetu’
Tarehe 4 ya mwezi wa pili, inatukumbusha kwamba tunapaswa kupambana na ugonjwa wa saratani, ambao ni tatizo kubwa sana duniani kwa sasa. Mwaka huu, siku hii maalum imepangwa kufikia matokeo chanya juu ya vita dhidi ya saratani, kupitia kauli mbiu inayosisitiza kuwa ufumbuzi wakutokomeza saratani upo ndani ya uwezo wetu. Kampeni ya mwaka huu 2015, Siku ya Saratani Dunia inalenga katika kuchagua kudumisha maisha yenye afya, kutoa, upimaji kwa wakati, tiba kwa watu wote na kuongeza ubora wa...
10 years ago
Mtanzania08 Apr
Rose Ndauka: Pengo la Kanumba bado lipo
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
NYOTA wa kike wa filamu nchini, Rose Ndauka, amesema pengo la msanii mwenzake, marehemu Steven Kanumba, litaendelea kuwepo kutokana na mchango wake mkubwa alioutoa kwenye tasnia hiyo.
Wakati jana ikiwa ni kumbukumbu ya miaka mitatu tangu Kanumba afariki dunia, Rose alizungumza na MTANZANIA na kusema kwamba msanii huyo aliikuza tasnia hiyo kwa kutumia wasanii chipukizi, akishirikiana na nyota wengine wenye majina makubwa.
“Pengo la Kanumba litaendelea kuwepo...
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Ukatili wa kijinsia ukomeshwe
MASHIRIKA matano yanayojishughulisha na utetezi wa haki za kijinsia kupitia mradi wao wa GEWE II, ambao ni mpango wa kutokomeza ukatili na unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto...
10 years ago
Michuzi11 Apr
TATIZO LA RUSHWA YA NGONO BADO NI TATIZO TANZANIA.
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Ukatili wa kijinsia jeshini ukomeshwe
11 years ago
Habarileo20 Feb
Ukatili wa kijinsia wachochea Ukimwi
IMEELEZWA kuwa ukatili wa kijinsia ni mojawapo ya njia kuu inayoeneza Ukimwi na ongezeko lolote la vitendo hivyo linachochea pia ongezeko la maambukizo. Kauli hiyo imetolewa na Meneja mradi wa kupambana na ukatili wa kijinsia ili kupunguza maambukizi ya virusi vya Ukimwi, Muhammad Hassan kutoka Shirika la WOWAP.
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Ukatili wa kijinsia unakandamiza wanawake
UKATILI wa kijinsia ni msemo mpana sana. Unagusa binadamu wote wanawake na wanaume. Lakini ni ukweli usiopingika kwamba ukatili wa kijinsia unawaathiri kwa asilimia kubwa wanawake na wasichana kuliko ilivyo...
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Mwanamke anayepambana na ukatili wa kijinsia