Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mke wa rapper Noorah, Camila afariki dunia

Mke wa rapper Noorah, Camila Kingwalu amefariki dunia jana nyumbani kwao Morogoro baada ya kuugua kwa muda mrefu. Akizungumza na Bongo5, ndugu wa karibu wa marehemu ambaye hakutaka kutajwa jina lake, amesema Camila baada ya kuanza kuugua alirudi nyumbani kwao mpaka mauti yalipomkuta hapo jana. “Kweli amefariki alikuwa kwao Morogoro na bado haikujulikana alikuwa anaumwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MKE WA NOORAH AFARIKI DUNIA

Msanii wa Bongo Fleva Noorah akiwa na mke wake Anna Kingwalu siku ya ndoa yao. Mke wa msanii wa Bongo Fleva Noorah, Anna Kingwalu, amefariki leo nyumbani kwao Morogoro amethibitisha Dark Master. Noorah na Anna walifunga ndoa Juni 8, 2013 nyumbani kwao Shinyanga.…

 

11 years ago

Habarileo

Mke wa Lubuva afariki dunia India

MKE wa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji mstaafu Damian Lubuva amefariki akiwa nchini India alikokuwa akitibiwa ugonjwa wa kisukari. Rais Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi, Lubuva kutokana na kifo hicho cha Martha Lubuva kilichotokea Januari 17 katika Hospitali ya Apollo iliyopo New Delhi, India.

 

10 years ago

GPL

MKE WA AFANDE SELE AFARIKI DUNIA

Picha ya familia: Kutoka kulia ni Asha Mohammed Shiengo ‘Mama Tunda’ enzi za uhai wake, Selemani Msindi ‘Afande Sele’, Asantesana Selemani na Tunda Selemani. Mke wa mwanamuziki Selemani Msindi ‘Afande Sele’, Asha Mohammed Shiengo 'Mama Tunda' amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Mkoa Morogoro kwa kwa ugonjwa wa… ...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MSIBA: MKE WA PROF MLEKWA WA UDSM AFARIKI DUNIA

Familia ya Prof Victor Mlekwa wa  Savery Mlalakuwa, Dar Es Salaam

Inasikitika kutangaza kifo cha mama yao Febronia Mshomba Mlekwa kilichotokea tarehe 16/02/2015 Katika Hospitali ya Kairuki, Dar Es Salaam.
Mazishi yatafanyika tarehe19/02/2015 Alhamisi, Goba Dar Es Salaam.
Wale wote watakao kuungana penda na wafiwa, wanakaribishwa nyumbani kwa Mrehemu Savery mapema. Wote tunawatakia pole ya msiba.

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA MKE WA NOORAH CHAWALIZA WASANII

KIFO cha mke wa msanii wa Chamber Squard, Noorah aitwaye Anna Kingwalu aliyefariki dunia Jumanne ya wiki hii mkoani Morogoro, kimewaliza wasanii wengi katika tasnia ya muziki Bongo. Msanii wa Chamber Squard, akiwa na marehemu mkewe Anna Kingwalu siku ya harusi yao. Akizungumza na Centre Spread, kiongozi wa Kundi la Chamber Squard, Dark Master alisema kuwa kwa kipindi kifupi ndani ya mwaka huu kundi lao limepata pigo kubwa...

 

10 years ago

Michuzi

MKE WA MWANAHABARI WA KAMPUNI YA GUARDIAN NA NIPASHE, THOBIAS MWANAKATWE AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI JIJINI DAR ES SALAAM JANA

 Mke wa Thobias Mwanakatwe, Levina Michael Genda, enzi za uhai wake.Mwanahabari Thobias Mwanakatwe, \
akiwa na mke wake enzi za uhai wake.

Dotto Mwaibale
MWANAHABARI wa Kampuni ya The Guardian na Nipashe, Thobias Mwanakatwe, amepoteza mke wake baada ya kugongwa na gari eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam jana usiku majira ya saa 2:30.
Akizungumza na mtandao wa www.habari za jamii.com. Mwanakatwe amesema kifo cha ghafla cha mke wake ni pigo kubwa kwake na familia...

 

10 years ago

Vijimambo

MKE WA MWANAHABARI WA KAMPUNI YA GUARDIAN NA NIPASHE, THOBIAS MWANAKATWE AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI NJE YA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE DAR ES SALAAM JANA

 Mke wa Thobias Mwanakatwe, Levina Michael Genda, enzi za uhai wake.Mwanahabari Thobias Mwanakatwe, akiwa na mke wake enzi za uhai wake.

Dotto Mwaibale

MWANAHABARI wa Kampuni ya The Guardian na Nipashe, Thobias Mwanakatwe, amepoteza mke wake baada ya kugongwa na gari eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam jana usimu majira ya saa 2;30.

Akizungumza na mtandao wa www.habari za jamii.com. Mwanakatwe amesema kifo cha ghafla cha mke wake ni pigo kubwa kwake na familia...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia

>Mtume wa Kanisa la World Message Last Warning ambaye alitabiri kwamba mwaka 2000 utakuwa mwisho wa dunia, Wilson Bushara (53) amefariki dunia.

 

9 years ago

Bongo5

Rapper wa S.A Cassper Nyovest amshirikisha rapper wa U.S.A The Game kwenye album yake mpya, ‘Refiloe’

Rapper wa Afrika Kusini ametoa orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yake mpya ‘Refiloe’ anayotarajia kuitoa hivi karibuni, na miongoni mwa nyimbo 14 zinazoikamilisha album hiyo imo collabo na rapper wa Marekani, The Game. Wimbo namba 14 kwenye album hiyo ya pili ya Cassper uitwao ‘Cooking in da Kitchen’ ndio aliomshirikisha The Game. Cassper ametoa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani