Adebayor apewa mda wa kusuluhisha mgogoro
Mkufunzi wa kilabu ya Tottenham Emmanuel Adebayor amepewa mapumziko kwa mara ya pili msimu huu lakini hatma yake katika kilabu ya Spurs haijulikani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Rwanda na A.Kusini kusuluhisha mgogoro
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Namna ya kusuluhisha mgogoro katika ajira
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sQLXRFKBvhw/U1t_Kzv3LEI/AAAAAAAA5WQ/ok29kni0djo/s72-c/IMG_5381.jpg)
JUKWAA LA KATIBA WATANGAZA KUSULUHISHA MGOGORO WA BUNGE MAALUM LA KATIBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sQLXRFKBvhw/U1t_Kzv3LEI/AAAAAAAA5WQ/ok29kni0djo/s1600/IMG_5381.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oYAWEZLZzDg/U1uAmdyUXnI/AAAAAAAA5Ws/DW1XJFss-WU/s1600/IMG_5402.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-akWdgh1cWfw/U1uAk_wp02I/AAAAAAAA5Wk/cTVkKXh6jnU/s1600/IMG_5393.jpg)
Waandishi wa Habari wakifuatilia. --- Na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tZHhhMhD8MBTZAla8n8zHIc*ttVdGy5N4E74bE4EUbHJLeNN1plWrLxkD8w9yPoaeK8B-wIN-EPcYHDNy1mxM0YNQuQDs1Ip/ADEBAYOR.jpg?width=550)
SAKATA LA ADEBAYOR NA FAMILIA YAKE: ADEBAYOR KUMWAGA 'UBUYU' MWINGINE WA MDOGO WAKE ROTIMI
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Serikali yateua 10 kusuluhisha Kiteto
10 years ago
Habarileo16 Oct
Tanzania kusuluhisha mgororo Sudan Kusini
TANZANIA imekubali kuwa msuluhishi wa mgogoro wa kisiasa ndani ya chama tawala cha Sudan Kusini cha Sudanese People’s Liberation Movement (SPLM) ulioibuka na kusababisha kuzuka kwa vita ya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.
10 years ago
Habarileo01 May
Vyama vyakataa msajili kusuluhisha migogoro
VYAMA vya siasa nchini vimeiomba Ofisi ya Msajili wa Vyama isihusike kutatua migogoro ya ndani ya vyama kwa kuwa jukumu hilo ni la ndani ya vyama husika vyenye miongozo ya kuitatua.
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Kebwe: Ustawi wa jamii si kusuluhisha ndoa pekee
NAIBU Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Kebwe Stephe Kebwe, amesema ustawi wa jamii haupo kwa ajili ya kusuluhisha masuala ya ndoa pekee, bali kuna mambo mbalimbali kama msongo...
10 years ago
Mtanzania29 Jan
Malecela atamba CCM kusuluhisha Sudan Kusini
NA PENDO MANGALA, DODOMA
MWANASIASA mkongwe na Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM, John Malecela, amesema kitendo cha chama hicho kuwa mwenyeji katika mkutano wa usuluhishi wa mgogoro wa Sudan Kusini, anaamini ni moja ya mambo yatakayokisogeza mbele.
Malecela aliyekuwa msuluhishi wa mgogoro huo, alitoa kauli hiyo jana mjini hapa, wakati akiwashukuru wanaCCM wa Mkoa wa Dodoma kwa mapokezi makubwa, kwani ni heshima kwake na taifa.
“Kiukweli kazi ile ilikuwa ni ngumu sana kwani kusuluhisha watu...