Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vyama vyakataa msajili kusuluhisha migogoro

Msajili wa vyama vya siasa, Jaji Fransis Mutungi.VYAMA vya siasa nchini vimeiomba Ofisi ya Msajili wa Vyama isihusike kutatua migogoro ya ndani ya vyama kwa kuwa jukumu hilo ni la ndani ya vyama husika vyenye miongozo ya kuitatua.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAJA VYAMA VYA SIASA VYENYE USAJILI WA KUDUMU AMBAVYO VINASTAHILI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Monica Laurent (kushoto), akizungumza na wanahabari wakati akimkaribisha msemaji wa mkutano huo kuzungumza na waandishi.Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa nchini, Sisty Nyahoza (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu ambavyo ninastahili kushiriki uchaguzi mkuu. Kulia ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tadea walia na msajili wa vyama

MWENYEKITI Mstaafu wa Chama cha Tanzania Democratic Alliance (Tadea), Joachim Mwingira, amempa siku 30 Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi, achukue hatua na kumaliza mgororo wa uongozi uliopo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ofisi ya Msajili wa Vyama yapigwa ‘tafu’

SERIKALI kupitia Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, imepokea msaada wa vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Teknohama), vyenye thamani ya zaidi ya sh milioni 200. Vifaa hivyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msajili wa vyama afute usajili wa CCM

WAHENGA walisema “mkataa kikoa ni mchawi.” Mtu anayekataa kushirikiana na wenzake ni kama mchawi. Methali hii yatunasihi tusiwe na tabia ya kutoshirikiana na wenzetu. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeonyesha dhahiri...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msajili avionya vyama vya siasa

MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, amevionya vyama vya siasa kujiepusha na vurugu, lugha za matusi, maandamano yasiyozingatia utaratibu uliowekwa kisheria na vitendo vya rushwa. Jaji Mutungi...

 

10 years ago

Habarileo

Wataka Msajili awezeshwe kufuta vyama korofi

BAADHI ya Kamati za Bunge Maalumu la Katiba zimependekeza Msajili wa Vyama vya Siasa nchini apewe nguvu na Katiba awe na mamlaka ya kufuta chama chochote cha siasa kinachokiuka masharti ya kusajiliwa, ikiwemo kuleta uchochezi kama njia ya kufikia malengo yake ya kisiasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani