ZEC imepoteza sifa kusimamia uchaguzi Zanzibar-ADC
Mwenyekiti wa chama cha ADC, Said Miraaj Abdulla amesema Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) haiwezi kusimamia tena uchaguzi wa Zanzibar baada ya siku 90 kwa sababu ina mapungufu mengi kama yaliyobainishwa na mwenyekiti wake, Jecha Salim Jecha wakati akitangaza kufuta matokeo ya uchaguzi huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
9 years ago
VijimamboMGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KWA TIKETI YA CHAMA CHA ADC, MH. HAMAD RASHID ACHUKUA FOMU ZEC
11 years ago
Mwananchi24 Jul
MAADILI: MAT: IMTU imepoteza sifa
9 years ago
Mwananchi28 Oct
Lipumba aishukia ZEC kufuta uchaguzi Zanzibar
10 years ago
Mwananchi12 May
ZEC yamjibu Maalim Seif uchaguzi Zanzibar
9 years ago
Mwananchi28 Oct
ZEC yafuta uchaguzi na matokeo yake Zanzibar
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-PNVRyv5mSmM/Xu4IoW_tn4I/AAAAAAAAWOo/pVGwsWWBxv8a4-b1gKpIoNKeCZw9P_HywCLcBGAsYHQ/s72-c/a7761dd6-979b-48df-ae2f-d7327d719d11.jpg)
MWENYEKITI WA ZAMANI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI ZANZIBAR (ZEC), JECHA SALUM JECHA AOMBA KUWANIA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-PNVRyv5mSmM/Xu4IoW_tn4I/AAAAAAAAWOo/pVGwsWWBxv8a4-b1gKpIoNKeCZw9P_HywCLcBGAsYHQ/s400/a7761dd6-979b-48df-ae2f-d7327d719d11.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JbxPLMB_LgA/Xu4I63DHchI/AAAAAAAAWPA/130ugm-Kdl4vZ_joVzrRtMksKijXZ9hhQCLcBGAsYHQ/s400/8638efdf-368b-4032-8215-5648a0fc8cf6.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-YXKMBT1aT2c/Xu4IpRwpJ1I/AAAAAAAAWOw/95AS9HmbUTIxzBAIl8U8aHGbzg2dpGrlgCLcBGAsYHQ/s400/fbb5e42d-81c7-427a-ad82-18b91b0e0e8b.jpg)
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
CCM Kama Babeli, imepoteza sifa na uhalali wa kutawala
KATI ya mwaka 605- 539 Kabla ya kuzaliwa Kristo (KK) na baada ya baada ya gharika, jambo muhimu l
Fred Mpendazoe
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8e0m82BHkpkaf4ORHaewZf4tMU3B5wozn7g4CC-28oelVzGBYDYeZi*IQua0YAHFPfPe6YhFwGjjI46FIVDz3xQ34nnLsSm2/BREAKINGNEWS3.gif)
BREAKING NEWS: ZEC YAFUTA MATOKEO YA UCHAGUZI ZANZIBAR