Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Naifananisha CCM na Mnara wa Babeli

Idadi ya waliokuwa watangazania kupitia Chama cha Mapinduzi ilifikia 42. Wengi tulijiuliza je, hii ni demokrasia ya kweli au ni uchu wa madaraka?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Msishangae, CCM imegeuka kuwa mnara wa Babeli!

Sasa ni dhahiri kwamba mwelekeo wa nchi yetu umetufikisha mahali pabaya. Haya tumeyasema, tumeyaandika, wengine tumeyahubiri, lakini serikali yetu tukufu ya CCM haisikiii.

 

10 years ago

Raia Mwema

CCM Kama Babeli, imepoteza sifa na uhalali wa kutawala

KATI ya mwaka 605- 539 Kabla ya kuzaliwa Kristo (KK) na baada ya baada ya gharika, jambo muhimu l

Fred Mpendazoe

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM sasa kama mnara wa Babel

SAS ni dhahiri kwamba mwelekeo wa nchi yetu umetufikisha mahali pabaya. Haya tumeyasema, tumeyaandika, wengine tumeyahubiri, lakini serikali yetu tukufu ya CCM haisikiii. Mara nyingi kwa watu kama hao imeona...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mnara wa damu umesimama

Na Rashid Abdallah Sioni tatizo na wala siogopi kusema kuwa Dr. Ali Mohammed Shein na viongozi wenzake juzi wamezindua mnara wa mauaji ya kimbari ya Wazanzibari wasiokuwa na hatia na tunakaririshwa kuwa tuyaite ‘mapinduzi matukufu’, wakati […]

The post Mnara wa damu umesimama appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Mwananchi

Mlinzi Mnara wa Sokoine aliyetelekezwa

“Ni mita 300 kutoka eneo ambalo gari lililokuwa limembeba Waziri Mkuu, Edward Moringe Sokoine hadi zilipo nyumba zetu, ulisikia mshindo mkubwa wa ulioashiria kuna ajali imetokea katika Barabara Kuu ya Dodoma-Morogoro eneo la Kijiji cha Luhindo, Kata ya Dakawa siku ya Jumatano, Aprili 12 mwaka 1984 mchana ya saa 7. Kumbe ni ajali iliyosababisha kifo cha kiongozi wetu.”

 

11 years ago

Habarileo

Namibia wataka kujenga mnara wa JK Kongwa

RAIS mstaafu wa Namibia, Sam Nujoma amemwambia Rais Jakaya Kikwete kuwa sherehe za Muungano zimethibitisha Tanzania inao uwezo wa kutosha wa kijeshi wa kukabili shambulio lolote kwa Afrika kutoka nje ya bara.

 

9 years ago

Habarileo

Mnara wenye mgahawa wazinduliwa Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein amezindua Mnara wa Kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

 

10 years ago

Michuzi

MNARA WA SAA KATIKATI YA JIJI LA DAR

 Huu ni moja kati ya Minara ya awali kabisa hapa jijini Dar es salaam.Mwenye kujua zaidi juu ya hisroria ya mnara huu atumwagie vitu hapa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zanzibar kujenga mnara miaka 50 ya Muungano

p>SERIKALI ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, imeamua kujenga mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi. Akizungumzana waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani