Mnara wenye mgahawa wazinduliwa Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein amezindua Mnara wa Kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMGAHAWA WA BRAKE POINT CANIVOR WAZINDULIWA KWA SHAMRA KIBAO
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Mgahawa wa Brake Point Canivor, Daudi Machumu,(mwenye shati la drafti) akiwa kwenye pozi na wadau wa bia ya Windhoek na wengineo.…
10 years ago
Bongo513 Dec
Picha: Mgahawa mpya ‘VVK’ wa Khadija Mwanamboka wazinduliwa jijini Dar
Mbunifu wa mavazi, Khadija Mwanamboka amezindua mgahawa mpya uitwao VVK pamoja na super market itakayokuwa inatoa huduma ya chakula cha aina mbalimbali pamoja na kuandaa events. Mteja akifanya shopping ndani ya VVK Super Market Akizungumza na Bongo5 jana Kinondoni jijini Dar es salaam, Khadija alisema mgahawa huo pia utakuwa unasambaza chakula kwa order maalum kwa […]
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Mguu bandia wenye hisia wazinduliwa
Watafiti katika chuo kikuu nchini Austria wamevumbua mguu bandia wa kwanza duniani wenye hisia halisi za binadamu.
11 years ago
Michuzi04 Apr
Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Atembelea Mnara wa Kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar Michezani na Uwanja wa mabembea wa Kariakoo Mjini Unguja
![](https://3.bp.blogspot.com/-OL279nW9uvc/Uz1zvwQU1PI/AAAAAAACtyo/acaJtwiGJMU/s1600/IMG_9328.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/--SlP6p7LWRM/Uz1zs2m6WfI/AAAAAAACtyU/9bKJDwWuU4g/s1600/IMG_9309.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yhCsS*vRHKhE1lYAb3TOlDXX8CSu8yPVrlywmLqsJHclqevIKkfnD4hRAU9RbsVxzbWn5iPSRSx8mqHQ-uKec1ZagcrSdh3a/DSCF0652.jpg?width=650)
MCHAKATO WA TUZO ZA WANAWAKE WENYE MAFANIKIO TANZANIA WAZINDULIWA RASMI LEO JIJINI DAR
Rais wa Taasisi ya kijamii ya Wanawake wenye Mafanikio Tanzania (Tanzania Women of Achievement ),Bi. Irene Kiwia (kulia) akisisitiza jambo mbele ya wanahabari (hawapo pichani) juu ya utoaji wa Tuzo za Wanawake wenye Mafanikio Tanzania ambazo zitafanyika Machi 7,2015 kwa mara ya nne tangu kuanzishwa kwake, ikiwa na lengo la kuwatambua na kuwapongeza wanawake ambao wamechangia maendeleo ya nchi katika nyanja tofauti.… ...
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Zanzibar kujenga mnara miaka 50 ya Muungano
p>SERIKALI ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, imeamua kujenga mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi. Akizungumzana waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-H5Tk4XuV65o/Vec4JWCyjLI/AAAAAAAC-YE/bNPjMwlvKSo/s72-c/DSC_0092%2B%25281%2529.jpg)
MNARA WA KUMBUKUMBU WA MIAKA 50 YA MAPINDUZI WAFUNGULIWA ZANZIBAR.
![](http://3.bp.blogspot.com/-H5Tk4XuV65o/Vec4JWCyjLI/AAAAAAAC-YE/bNPjMwlvKSo/s640/DSC_0092%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sRLAijAuna8/Vec4IgQaFLI/AAAAAAAC-X8/IvfGsHcPuqM/s640/DSC_0104%2B%252813%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-T6oX3L1rn0s/Vec4U3eyseI/AAAAAAAC-Ys/Jh4iQfIUItI/s640/DSC_0151%2B%252834%2529.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-bVhudCm9ifg/Vebo80K_mFI/AAAAAAABGoc/_dCc_v3o1MU/s72-c/046.jpg)
DR. SHEIN AZINDUA MNARA WA MIAKA 50 YA MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-bVhudCm9ifg/Vebo80K_mFI/AAAAAAABGoc/_dCc_v3o1MU/s640/046.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hU1XZNBODiI/Vebo9OzgfpI/AAAAAAABGos/MgvbQMZLGt0/s640/047.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TG6uv20dei8/Vebo9BJAS5I/AAAAAAABGok/trEKS0l1fiM/s640/065.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ahXeV9CSWuk/XkV5TIQlEvI/AAAAAAALdTE/qX0tso-ZE04O8gTbRXYWU3oT7XCj4UopwCLcBGAsYHQ/s72-c/06a85e28-9df0-4a2f-83a1-3c149d722005.jpg)
Mawaziri wenye dhamana ya Manejimentiya Maafa wa SADC kukutana Zanzibar
![](https://1.bp.blogspot.com/-ahXeV9CSWuk/XkV5TIQlEvI/AAAAAAALdTE/qX0tso-ZE04O8gTbRXYWU3oT7XCj4UopwCLcBGAsYHQ/s320/06a85e28-9df0-4a2f-83a1-3c149d722005.jpg)
Mkutano wa kwanza wa kamati ya Mawaziri wanaohusika na Menejimenti ya Maafa kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) utafanyika tarehe 18-21 Februari visiwani Zanzibar, 2020 ukiwa na lengo la kuchochea juhudi zilizopo katika kupunguza madhara ya maafa ambapo mgeni rasmi atakuwa Rais wa Zanzibar, Mhe.Dkt. Ali Mohamed Shein.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Kazi,Ajira,Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania