Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MNARA WA KUMBUKUMBU WA MIAKA 50 YA MAPINDUZI WAFUNGULIWA ZANZIBAR.

 Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na viongozi mbalimbali alipohudhuria katika Ufunguzi wa Mnara wa Kumbukumbu wa Miaka 50 ya Mapinduzi Michenzani mjini Zanzibar. Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein akifungua kitambaa kuashiria ufunguzi wa Mnara wa Kumbukumbu wa Miaka 50 ya Mapinduzi Michenzani mjini Zanzibar. Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akiangalia sehemu za mbali kwa kutumia kamera maalum zilizowekwa juu ya Mnara wa kumbukumbu wa miaka 50 ya Mapinduzi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Atembelea Mnara wa Kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar Michezani na Uwanja wa mabembea wa Kariakoo Mjini Unguja

 Uwanja wa mabembea wa Kariakoo Mjini Unguja ukiwa katika hatua za mwisho katika matengenezo,ambapo Rais wa wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, aliahidiwa kumalizika hivi karibuni wakati alipofanya ziara leo ya kuona maendeleo ya ujenzi huo.    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,atembelea maendeleo ya Ujenzi wa Mnara wa Kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar unaojengwa katika viwanja wa Kisonge Michenzani...

 

10 years ago

Vijimambo

DR. SHEIN AZINDUA MNARA WA MIAKA 50 YA MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBAR

Haiba ya Mnara wa Kumbukumbu ya Miaka Hamsini ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Mwaka 1964 inavyoonekana baada ya kumalizika kujengwa hapo katika Majumba ya Maendeleo Michenzani Mjini Zanzibar. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ali Mohammed Shein akikata utepe kuashirika kuufungua Rasmi Mnara wa Kumbu kumbu ya Miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Mwaka 1964 hapo Michenzani Mjini Zanzibar. Mshauri wa Ujenzi wa Mnara wa wa Kumbu kumbu ya Miaka 50 ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zanzibar kujenga mnara miaka 50 ya Muungano

p>SERIKALI ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, imeamua kujenga mnara wa kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi. Akizungumzana waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zanzibar na miaka 51 ya Mapinduzi

Zanzibar yaadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi, yalioung'owa utawala wa Sultani.

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka 51 Mapinduzi ya Zanzibar

Chini ya uongozi wa Karume, Zanzibar inatajwa kama nchi iliyokuwa ikipiga hatua nzuri hasa katika maendeleo ya uchumi kuliko nchi zote za Afrika Mashariki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani