Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM sasa kama mnara wa Babel

SAS ni dhahiri kwamba mwelekeo wa nchi yetu umetufikisha mahali pabaya. Haya tumeyasema, tumeyaandika, wengine tumeyahubiri, lakini serikali yetu tukufu ya CCM haisikiii. Mara nyingi kwa watu kama hao imeona...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CCM sasa yatapatapa kama mfa maji!

AKIWA katika ziara ya kujua matatizo ya wananchi wa maeneo mbalimbali nchini, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, amefichua utendaji mbovu wa watumishi wa serikali inayoongozwa na chama chake. Hayo...

 

10 years ago

Mwananchi

Naifananisha CCM na Mnara wa Babeli

Idadi ya waliokuwa watangazania kupitia Chama cha Mapinduzi ilifikia 42. Wengi tulijiuliza je, hii ni demokrasia ya kweli au ni uchu wa madaraka?

 

10 years ago

Mwananchi

Msishangae, CCM imegeuka kuwa mnara wa Babeli!

Sasa ni dhahiri kwamba mwelekeo wa nchi yetu umetufikisha mahali pabaya. Haya tumeyasema, tumeyaandika, wengine tumeyahubiri, lakini serikali yetu tukufu ya CCM haisikiii.

 

10 years ago

Mwananchi

Maduka Kariakoo sasa biashara kama kawaida

Hatimaye wafanyabiashara wa Kariakoo wamefungua maduka yao baada ya kufikiwa makubaliano kati ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) ya kuunda kamati ya pamoja itakayoshughulikia matatizo yao.

 

9 years ago

Global Publishers

Walikuwa maskini kama wewe, sasa ni matajiri wa kutupwa

Oprah-Winfrey3OPRAH WINFREY.

Hakuna anayezaliwa na fedha, binadamu wote wamekuja duniani wakiwa mikono mitupu kabisa, tena bila nguo. Watu wanapokua, wengi wanakuwa hawana vitu hivyo na hata kula yao wakati mwingine ni ya shida mno.

Wanapofanikiwa, huwa hawakai kimya, wanatamani na wengine wafanikiwe ndiyo maana wengine wamekuwa wazi na kusema: “Kuzaliwa maskini si kosa lako, ila kufa maskini, hilo ni kosa lako.”

Hawa hapa chini ni matajiri wakubwa kwa sasa, ila kabla ya hapo, walikuwa maskini kama wewe...

 

10 years ago

Vijimambo

WAMEZE CHUPA SASA KAMA VIPI BASI JITIRIRISHE NA HII


BAADA YA MANENO MENGI ZARI AMUUA KUONYESHA KI TUMBO CHAKE

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanawake vaeni nguo sasa, kama kuvua mumeshavua imetosha!

Mroki-Mporojost

MOJA ya sifa ya mwandishi ni kusoma, na katika kusoma huko na kupekua pekua hapa na pale unaweza kujifunza na kupata la kuandika kupitia maandiko ya watu wengine na kutoa elimu kwa umma. Leo nimepita pita katika kurasa za marafiki zangu huko katika uso wa kitabu ‘Facebook nikakutana na nasaha ya ndugu yangu Victory Richard, juu ya kuwasihi wanawake kwamba sasa wavae nguo.

Ndugu yangu yule amechoshwa na tabia za dada zetu, wake zetu na hata mama zetu wakati mwingine wanavyotembea uchi,...

 

9 years ago

Bongo Movies

Ommy Dimpoz: Niko Tayari Kuoa Hata Sasa,Kama Nikipata…

Staa wa Bongo Fleva,Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ amesema kuwa yuko tayari kuoa hata sasa hivi kama nikipata mtu sahihi katika maisha yake.

Ommy Dimpoz

Ommy Dimpoz akiwa na Mrembo

Ommy ameyazungumza hayo wakati akiitambulisha video ya ngoma yake mpya iitwayo ‘Achia Bodi’ kwenye kipindi cha Clouds360  cha Clouds Tv wakati alipoulizwa na mtangazaji kipindi hicho Hudson Kamoga kuwa anatarajia kuoa lini.

“Niko tayari kuoa hata sasa hivi kama nikipata mtu sahihi katika maisha yangu” Ommy Dimpoz.

Miezi ya hivi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani