Ommy Dimpoz: Niko Tayari Kuoa Hata Sasa,Kama Nikipata…
Staa wa Bongo Fleva,Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ amesema kuwa yuko tayari kuoa hata sasa hivi kama nikipata mtu sahihi katika maisha yake.
![Ommy Dimpoz](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/ommydimpoz.jpg)
Ommy Dimpoz akiwa na Mrembo
Ommy ameyazungumza hayo wakati akiitambulisha video ya ngoma yake mpya iitwayo ‘Achia Bodi’ kwenye kipindi cha Clouds360 cha Clouds Tv wakati alipoulizwa na mtangazaji kipindi hicho Hudson Kamoga kuwa anatarajia kuoa lini.
“Niko tayari kuoa hata sasa hivi kama nikipata mtu sahihi katika maisha yangu” Ommy Dimpoz.
Miezi ya hivi...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies22 Feb
Le Projectii:Wema Sasa Ampikia na Kumpakulia Ommy Dimpoz
Wakati mwanamziki wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz akiendelea kupepesa macho na kutikisa masikio kukanusha kuwa hana mahusiano ya kimapenzi na mwingizaji wa Bongo Movie, Wema Sepetu ukaribu wao bado unatia mashaka na kuendeleza sintofahamu miongoni mwa mashabiki na wapambe wao.
Japo kuwa Ommy alielezakuwa yeye na Wema ni marafiki toka kitambo kabla hata ya wema kuwa na mahusiano na mwanamziki Diamond, lakini hii imezidiii.
Mbali na kuonekana wawili hawa kuwa pamoja sehemu mablimbali za starehe...
10 years ago
CloudsFM25 Feb
Chris Brown kama Ommy Dimpoz, azuiwa kuingia nchini Canada
Staa wa muziki nchini Marekani,Chris Brown alizuiwa katika mpaka wa Canada ikiwa ni masaa kadhaa kabla ya kwenda kutumbuiza katika tamasha maalumu la ziara ya muziki ya Chris Brown na Trey wakisindikizwa na Tyga.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/5V71o8UxWRU/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMmXvns0Aey6n2rYxL2cH*N1SCOwkJ0s-lLclVr6kJOMjG-VaN3QSsalEGdFHBZpmfzSYwCN1rfhlyxvBaUc3fFW/hires177995507manchesterunitedmanagerdavidmoyesandchelsea_crop_exact.jpg?width=650)
MOURINHO YUPO TAYARI KUIFUNDISHA UNITED HATA LEO KAMA MOYES AKIFUKUZWA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/mGytmWX5VY4/default.jpg)
9 years ago
Bongo512 Oct
Vanessa Mdee awashauri wasanii kuwekeza kwenye muziki kama yeye, Diamond na Ommy Dimpoz
10 years ago
Bongo Movies13 Mar
Ommy Dimpoz:Diamond si yupo na Zari au? Sidhani kama amemind mimi kufanya kazi na Wema
Mwanamziki Ommy Dimpoz ameyasema hay oleo kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM alipokuwa anautambulisha wimbo wake wa Wanjera ambao mrembo Wema Sepetu amecheza kama Wanjera kwenye video wa wimbo huo na kushiriki kupiga picha za kuutangaza wimbo huo.
Ommy alisema haoni kama kuna tatizo lolote kati yake na swahiba wake huyo licha ya Diamond kutoandika chochote kuhusiana na wimbo huo kama ambavyo amekuwa akifanya kwa wasanii wengine.
“Labda hajaposti yupo busy na simu yake, hata mimi kuna...
9 years ago
Bongo516 Oct
Ommy Dimpoz amuongeza Abby kwenye management yake, sasa ana mameneja wawili